Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,759
- 218,380
2006 nipo darasa la pili jamia nooria. Naishi ukwamani hapo home. Hii stori ilitrend sana mtaani
2006 nipo darasa la pili jamia nooria. Naishi ukwamani hapo home. Hii stori ilitrend sana mtaani
Mwanzo wa danadana ...nchi ya siasa kila konaalisogelea dirishani na kutoa bastola yake na kuanza kugonga dirisha kwa kutumia bastola yake, huku akimwamuru ashuke ndipo ghafla alifyatua risasi moja ambayo ilivunja kioo cha dirisha na kumjeruhi Hassan Mbonde kichwani
🤣Mtuhumiwa Ukiwaona Ramadhani Mwinshehe Ditopile Mzuzuri
Kweli mkuu, tena na picha zilisambaa sana hasa za damu kwenye gari. Alafu mshikaji wa kitaa familia yake home kwao kawe mwisho.[emoji38
DuhMsenge sana huyu Ukiwaona.
Now umekuwa kada mtiifu wa chama cha mapinduziKulikoni: Pole maana inabidi uwe na roho ngumu kuitete serikali ya CCM.
Kwa kuongezea pale waliposema Kazi na MKJJ, suala hili ni la kisera kisha kisheria. Serikali inayoongozwa na chama chenye akili na inayotaka kuzingatia utawala wa sheria na haki za binadamu, ingeandaa sera na kisha mswada wa sheria wenye kuanisha waziwazi muda wa kukamilika kwa kesi na kama ushahidi haupo nini kifanyike. Sasa hili mahakama haiwezi kufanya; mahakama haiwezi kutunga sheria na kutoa hukumu hapohapo, wewe si jana umeongelea mgawanyo wa madaraka, leo tena umeshasahau?
Sasa kama mtu anakaa mahabusu for six years, what happens akipatikana hana hatia? Hatuoni kuwa tunawaadhibu watu mara mbili?
Tunakuomba ulione hili kama tatizo na uwashawishi wenzako serikali litafutiwe ufimbuzi wa kiutendaji na kisheria pia.
Yani watu wanadili mpaka na Maiti ya jamaaa
Karibu sana MkuuKulikoni: Pole maana inabidi uwe na roho ngumu kuitete serikali ya CCM.
Kwa kuongezea pale waliposema Kazi na MKJJ, suala hili ni la kisera kisha kisheria. Serikali inayoongozwa na chama chenye akili na inayotaka kuzingatia utawala wa sheria na haki za binadamu, ingeandaa sera na kisha mswada wa sheria wenye kuanisha waziwazi muda wa kukamilika kwa kesi na kama ushahidi haupo nini kifanyike. Sasa hili mahakama haiwezi kufanya; mahakama haiwezi kutunga sheria na kutoa hukumu hapohapo, wewe si jana umeongelea mgawanyo wa madaraka, leo tena umeshasahau?
Sasa kama mtu anakaa mahabusu for six years, what happens akipatikana hana hatia? Hatuoni kuwa tunawaadhibu watu mara mbili?
Tunakuomba ulione hili kama tatizo na uwashawishi wenzako serikali litafutiwe ufimbuzi wa kiutendaji na kisheria pia.
na Wakala Mkuu wa DP WORLDNow umekuwa kada mtiifu wa chama cha mapinduzi
Umeifufua thread ili kumtukana tu Ditopile? Mtu aliyekufa hatukanwi bwana. Hayo ni maadili gani?Msenge sana huyu Ukiwaona.