Na huyo Revocatus Everist Muyella naye kachomoka!! Hatma ya kesi ya msingi ikoje? Kama hahusiki, muuaji halisi ni nani? Miaka 8 kwa nini serikali imekomaa na watuhumiwa ambao hawana ushahidi nao wa kutosha?

Nadhani kuna uzembe kwa wapelelezi wetu! Ila pia Wakili Msomi Peter Kibatala na jopo lakr watakuwa wametisha sana. Maana wameigaragaza Jamhuri kwa mara nyingine tena.
Kibatara ni pesa Yako tu hata ukikutwa na kisu chenye damu,kesi ni biashara
 
Kuna Afisa mtendaji wa kata aliua mtu kijijini kwetu tena dogo wa miaka 10 alikuwa mchunga, sasa yule afisa kwakuwa shamba lake liliwahi kutiwa mifugo akawa na hasira na wachunga akawa akiwaona anawafukuza ili awashike wakawa wanamkimbia sasa siku ya siku ndipo akamshika huyo dogo akamgeuza kichwa chini miguu juu akawa anamtikisa baadae akamuacha ila wakati huo wenzie waliokimbia wakaja kusimulia kijijini kuwa fulani kashikwa baada ya muda dogo karudi hata kuongea hawezi wakamkimbiza hospital akafariki,,kesi ikaenda mahakamani afisa akashinda kwasababu hakukuwa na ushahidi wa kumtia hatiani...ndugu wakakaa pamoja wakaja kwenye mahakama ya jadi yule jamaa aliumwa sana akaja kuomba radhi kwasababu hospital hauonekani ugonjwa mpaka akaja kufariki kwa mateso sana
 
Sheria haioni ndani kweli pesa. Mawakili wetu wanajua kuchangamkia fursa. Ndio maana Magu alikuwa hataki ujinga
Jamaa walikuwa wanavuta muda kidogo watanzania wasahau
Tafuta pesa sana Utaipenda hii nchi. Kesi ni Biashara nzuri Tanzania
Kwa nini wengi wanapinga hii hukumu utadhani wana uhakika kuwa ni yeye aliua? kwani huyo dada wa ''bilionia'' aliyeuawa ndugu zake hawana fedha? Wazazi hawakubakia na chochote?
 
Kwa nini wengi wanapinga hii hukumu utadhani wana uhakika kuwa ni yeye aliua? kwani huyo dada wa ''bilionia'' aliyeuawa ndugu zake hawana fedha? Wazazi hawakubakia na chochote?
true. wanamhukumu kwa kabila lake kisa mchaga wa machame.
anyway kuna murder case nyingi hapa duniani zitabaki unsolved. killer or killers will be punished by the true punisher, God in hereafter.
 
Back
Top Bottom