Hiyo ndio habari za hao jamaa
Big NO! Kuwa wakili hakufanyi mtu awe mhalifu au kupata adhabu ya kufariki. Tena huu ni unafiki mkubwa sana. Kuna mijizi ya mali za umma inayofanya watu wafe kwa maelfu na inadunda tu. Hivi unajua kwanza kazi ya wakili ni nini? Kazi ya wakili ni kushirikiana na hakimu/jaji pamoja na upande wa mashtaka kuhakikisha kesi inafanyika kwa kufuata utaratibu uliowekwa.
 
Back
Top Bottom