peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,973
- 21,674
Unautafuta kupoteza roho yako.Nampenda mke wa Marehemu bilionea Msuya.
Unautafuta kupoteza roho yako.Nampenda mke wa Marehemu bilionea Msuya.
Unajua kazi ya wakili? Wewe unakuja na hisia zako au una ushahidi? Na ni nani kasema Aneth Msuya hakuuawa?Hii kesi ni aibu tupu Kwa serikali 🫢.
Kweli Aneth Msuya hakuuwawa?
Kibatala hii kesi , ukumbuke una watoto na mungu atakupa wajukuu na vitukuu ila hii kesi haitawaacha.
Wengi Huwa wanakufa vifo vibaya na vya aibu!!Unajua kazi ya wakili? Wewe unakuja na hisia zako au una ushahidi? Na ni nani kasema Aneth Msuya hakuuawa?
Atahitajika kupewa ulinzi, vinginevyo andika tarehe ya leo.Watoto walikuwa yatima, bora mzazi mmoja awepo
katika hii dunia jitahidi uwezavyo kulinda uhai wako; ukishakufa thamani yako inapotea.Haya sasa,muuwaji halisi ni nani
Ova
Ni kweli chuki inaweza kuwepo kwa wakwe, lakini pia wajue kuna wajukuu; niliwaona hawafai pale walipoingilia mali za watotoAtahitajika kupewa ulizi, vinginevyo andika tarehe ya leo.
Hizi ni hisia zako. Ukweli ni kwamba mtu hata mbaya au muuaji, anaweza kuishi maisha mazuri na marefu kuliko hata mtu mwema. Ndiyo maana ni muhimu kuwa na nchi yenye viongozi wenye maono, wanaoweza kuifanya nchi iwe na vyombo vya kuoa haki vinavyoaminika.Wengi Huwa wanakufa vifo vibaya na vya aibu!!
Pesa inasaidia kupata wakili mbobeziLabda uwe na mafungamano na siasa.
Lakini pesa haisaidii chochote
Hivi Lamwai anaendeleaje?Hizi ni hisia zako. Ukweli ni kwamba mtu hata mbaya au muuaji, anaweza kuishi maisha mazuri na marefu kuliko hata mtu mwema. Ndiyo maana ni muhimu kuwa na nchi yenye viongozi wenye maono, wanaoweza kuifanya nchi iwe na vyombo vya kuoa haki vinavyoaminika.
Du Lamwai ni marehemu siku nyingi. Alifariki mwaka 2020 au 2021 kama nakumbuka vizuri. Alifariki kwa korona, kipindi inaanza.Hivi Lamwai anaendeleaje?
Hiyo ndio habari za hao jamaaDu Lamwai ni marehemu siku nyingi. Alifariki mwaka 2020 au 2021 kama nakumbuka vizuri. Alifariki kwa korona, kipindi inaanza.
Vita ikaleta vifoamani ilileta pesa ;pesa imeleta vita..
Hii kesi ni aibu tupu Kwa serikali 🫢.
Kweli Aneth Msuya hakuuwawa?
Kibatala hii kesi , ukumbuke una watoto na mungu atakupa wajukuu na vitukuu ila hii kesi haitawaacha.
Big NO! Kuwa wakili hakufanyi mtu awe mhalifu au kupata adhabu ya kufariki. Tena huu ni unafiki mkubwa sana. Kuna mijizi ya mali za umma inayofanya watu wafe kwa maelfu na inadunda tu. Hivi unajua kwanza kazi ya wakili ni nini? Kazi ya wakili ni kushirikiana na hakimu/jaji pamoja na upande wa mashtaka kuhakikisha kesi inafanyika kwa kufuata utaratibu uliowekwa.Hiyo ndio habari za hao jamaa