Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,716
- 39,803
biashara ya mtandaoni ni kama biashara ya mziki au filamu, unatoa movie watu wasipoipenda movie itafeli lakini wakiipenda utapata hela ya kutosha, hivyo mapato ya movie yanategemea na jinsi itakavyopendwa inaweza kuwa shilingi 100 au milioni au bilioni au trilioni.
same kwenye youtube unaweza publish video wakaangalia watu 100 tu na usipate faida yoyote, then mwengine akaeka video ikaenda viral mamilioni ya watu wakaiangalia akapata mamilioni ya hela.
hivyo kama una uhakika una idea ukieka tu video watu kibao wataziangalia, usisite fanya hii biashara itakulipa. ila kama huna hata idea unategemea video za wenzako copy and paste wala usihangaike fanya tu biashara nyengine
same kwenye youtube unaweza publish video wakaangalia watu 100 tu na usipate faida yoyote, then mwengine akaeka video ikaenda viral mamilioni ya watu wakaiangalia akapata mamilioni ya hela.
hivyo kama una uhakika una idea ukieka tu video watu kibao wataziangalia, usisite fanya hii biashara itakulipa. ila kama huna hata idea unategemea video za wenzako copy and paste wala usihangaike fanya tu biashara nyengine