Wakongwe wa Jamiforums akina Nyani Ngabu wanaweza kukupa jibu
Wakongwe wa Jamiforums akina Nyani Ngabu wanaweza kukupa jibu
Nani alikutongoza na alikutongozaje?Nataka niwafundiahe heshima na adabu ya kuheshimu nyuzi na mada za watu. Utakuta jukwaa la siasa mtu eti anakutongoza. Alaaa.
hahahhaha nimependa last comment!!!Nikinywa maji nakuona kwenye glasi, nikijiangalia kwenye kioo naona sura yako, macho yako mazuri yananiita ita. Rangi yako ya chocolate naipenda sana
Nikilala sipati usingizi mpaka niangalie picha yako, mapigo yangu ya moyo yanadunda kwa kutaja jina lako, unajina zuri sana natamani kila muda nikuite.
Kama ingekuwa naweza kuufungua moyo wangu ningekuonyesha nilivyokuhifadhi moyoni mwangu, uone jinsi gani ninavyokupenda.
Nakupenda sana mrembo.
(Just joking, usije ukanikubalia)
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakongwe wa Jamiforums akina Nyani Ngabu wanaweza kukupa jibu
Watu wanajitakia laana za bure mchana kweupe sasa hii tabia ya kutongoza maajuza imeanza lini au ndo kuzidiwa kwa usongo,nyegezi au ugonjwa wa akili?
.
.
Kuweni na huruma na bibi za watu jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahamamaaaa nakufaaaaa liquid itabaki kilele itabaki juu
pico
Watu wanajitakia laana za bure mchana kweupe sasa hii tabia ya kutongoza maajuza imeanza lini au ndo kuzidiwa kwa usongo,nyegezi au ugonjwa wa akili?
.
.
Kuweni na huruma na bibi za watu jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app






Oooh...! Mimi nikinywa maji nakuona kwenye grass. Halafu unajuaaaa mama hapa nilipo huu mchana nakuota wewe,nikitembea nakuota wewe tu. Nimemaliza. Aaah...! Nilisahau na hili nionee huruma na hili nalo sijui umenipa nini?Pm huwa sijibu upuuzi, tongoza hapa hapa, usiwe domo zege.
Mzee baba upo unafatilia nyendo za mtalaka wako.Mtalaka hatongozwi
Jr![]()