moto wa maji
JF-Expert Member
- Mar 25, 2016
- 4,174
- 3,006
Siwezi poteza muda kutongoza bibi kizee sitaki laana mimi
hiyo kwenye avatar ndio picha yako??????😀😀😀😀😀😀😀😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳ili nijue pakuanziaNataka niwafundiahe heshima na adabu ya kuheshimu nyuzi na mada za watu. Utakuta jukwaa la siasa mtu eti anakutongoza. Alaaa.
Afadhali umeahirisha, nawafahamu wakazi wa mji huo:ni mabaria.
Kuna siku unakuja na mada za dini, siku zingine sijui unakumbwa na nini.....Nataka niwafundiahe heshima na adabu ya kuheshimu nyuzi na mada za watu. Utakuta jukwaa la siasa mtu eti anakutongoza. Alaaa.
😂😂😂😂😂😂😂😂
utazame uzi kwa jicho yakini utagundua alichomaanisha vijana hawana nidhamu kabisaKuna siku unakuja na mada za dini, siku zingine sijui unakumbwa na nini.....
Itaqillah..... Muogope Allah.
Usitafute umaarufu ukajikuta unajiingiza matatani.
Sent from my MHA-L29 using JamiiForums mobile app
Kwani bibi sio mwanamke tunatongoza tuu atujali....Watu wanajitakia laana za bure mchana kweupe sasa hii tabia ya kutongoza maajuza imeanza lini au ndo kuzidiwa kwa usongo,nyegezi au ugonjwa wa akili?
.
.
Kuweni na huruma na bibi za watu jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaaap kumbe hata wewe umempata vizur.utazame uzi kwa jicho yakini utagundua alichomaanisha vijana hawana nidhamu kabisa
Arafu ww una uhakika gani kama Faiza ni ajuza???Ebu acha watu tutongoze bhana...Watu wanajitakia laana za bure mchana kweupe sasa hii tabia ya kutongoza maajuza imeanza lini au ndo kuzidiwa kwa usongo,nyegezi au ugonjwa wa akili?
.
.
Kuweni na huruma na bibi za watu jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
kabisa ila kwa huzuni kubwa vijana hawajampata hata wanaendelea kujichorsha hapa,tuna mtihani mkubwa wa malezi
Arafu ww una uhakika gani kama Faiza ni ajuza???Ebu acha watu tutongoze bhana...
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Wow, Thank you.hahahhaha nimependa last comment!!!
btw happy new year and miss you plenty!!!!
Nipo hapa nianze na mstari gani?Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Kama yeye mwenyewe anapenda kutongozwa nani wa kuzuia ila jiandae kukiss na mtu asiye na jino hata mojaKwani bibi sio mwanamke tunatongoza tuu atujali....
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Umenifikirisha sana na kadri nilivyozidi kusoma michango iliyofuatia nikajikuta napata kitu.
Heshima kwenu wakongwe wa JF!
midomo ibaki kula, kuongea waongee wengineShukraan jazilan!
Tunajua mengi sana ila hatuyasemi tu.
Habari Dada faiza?? M sitak kukutongoza bal natafuta make was kuoa
Sent using Jamii Forums mobile app