Amekaa ndoani miaka 40 ,sio ana miaka 40Kwamba mtu wa miaka 40 wewe anaweza kuwa baba/ mama yako...daah hum ndani humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Hapo ndiyo nashangaa mimi.
Watu wana nyege mshindo. Hao ndiyo ukisikia hata kuku wanabaka.
Darsa ni neno la kiswahili fasaha? Hekima mnasema hekma ,jaman ninyi si waarabu kama msivyo wamarekaniDarasa na darsa ni vitu tofauti.
Darasa ni lile lenye kuta nne. Darsa ni somo unalopewa popote pale. Kumbuka hilo.
Huwa sikisii.
Hawajui kuwa wewe ni dume ila umejibadili ili utetee watu wa lumumba na chama kizee ccm.Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Kuna babu mwenzie AsprinJesus take the wheel...
Kama wanatongoza njemba mbabu kabisa je?
Nyakati zingine muwe mnatusikiliza sie wakongwe humu.....
Shauri yenu!
Sometimes huwa tunalumbana na vijana wetu aisee!Kwamba mtu wa miaka 40 wewe anaweza kuwa baba/ mama yako...daah hum ndani humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa umeona id ipi nyingine zaidi ya hiyo?
AsanteeeeeeId yangu moja tu.
Basi taratibu bibi, hata mbuyu ulianza kama mchicha.Hueleweki. Andika Kiarabu au andika kiswahili kwa kutimia herufi za kiarabu. Vyote nasoma lakini si huo utumbo sijuwi wa google translate ulioweka hapo.
Watu mbona mnakuwa wagumu sana kuelewa hebu soma tena nilichoandika na yule niliyemquote kaandika nini. Root kasema Faiza ana miaka 40 ndoani kwa hiyo ni bibi yake...kwa maana mtoto wa kwanza wa Faiza tunamkadiria ana miaka 40 au chini ya hapo, ina maana huyu mtoto wa Faiza anatosha kuwa mzazi wa huyu mwanaJf mwenzetuAmekaa ndoani miaka 40 ,sio ana miaka 40