Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Oohhhh Faiza hakika umeumbika wewe mwanamke kwangu hujazeeka nakuona kama binti wa miaka19
Uzuri wa sura yako na macho yako vinanipa tafsiri ya mwanamke mrembo dunia nzima hakika sijaona mwanamke mrembo na mzuri kama wewe..
Napenda ngozi yako vile imechanua na harufu yake ya kiutu uzima vinafanya nizame kwenye penzi lako Faiza fox..
Umbo lako maridadi lenye asili ya kiafrika halinichoshi kukutazama nakupenda sana faiza foxy
Nakuomba unipe ridhaa nikae japo ndani ya kongosho lako naaminii badae utanipandisha cheo na kuniweka ndani ya moyo wako
Faiza foxy nakupenda naomba unipe heshima niwe mpenzi wako wa kudumu,naahidi kukupa mapenzi na mahitaji yote ya moyo wako..
 
Oohhhh Faiza hakika umeumbika wewe mwanamke kwangu hujazeeka nakuona kama binti wa miaka19
Uzuri wa sura yako na macho yako vinanipa tafsiri ya mwanamke mrembo dunia nzima hakika sijaona mwanamke mrembo na mzuri kama wewe..
Napenda ngozi yako vile imechanua na harufu yake ya kiutu uzima vinafanya nizame kwenye penzi lako Faiza fox..
Umbo lako maridadi lenye asili ya kiafrika halinichoshi kukutazama nakupenda sana faiza foxy
Nakuomba unipe ridhaa nikae japo ndani ya kongosho lako naaminii badae utanipandisha cheo na kuniweka ndani ya moyo wako
Faiza foxy nakupenda naomba unipe heshima niwe mpenzi wako wa kudumu,naahidi kukupa mapenzi na mahitaji yote ya moyo wako..
Faiza huyo jamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Niambie mwandani wangu, kisosi cha marashi ya mwambao, sharubati ya mchanganyiko wa mahaba na penzi la dhati itulizayo kiu yangu ya kupenda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Aah! Mahabubha, barafu wa moyo, kipepeo cha nafsiiiiiii.
Ebu kula kitu cha Ya Nour El Ain.

Ila mi ni mjusi kafiri(mgalatia), nafasisha mtaro.
 
Heshima kwako FaizaFoxy. Leo umewaweza wote. Kuanzia mkubwa hadi mdogo, wote wanaokutongozaga leo kule Zenj wanasema; Wameufyata. Yaani wameubania miguuni. Dah! Haya vidume mpo wapi leo? Nadhani changio hii ni ya 20 mbona hakuna hata mmoja amethubutu?? Yaani, aliyejifanya tu ka anajikuna?
Basi lieni "Poo" kwa bibi yenu
 
Back
Top Bottom