Baby Doll
JF-Expert Member
- Aug 9, 2017
- 4,880
- 22,053
Mimi nina miaka 30 sasa na mtoto wangu wa kwanza nilizaa na beki tatu nikiwa na miaka 15 tu.Kwamba mtu wa miaka 40 wewe anaweza kuwa baba/ mama yako...daah hum ndani humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Oohhhh Faiza hakika umeumbika wewe mwanamke kwangu hujazeeka nakuona kama binti wa miaka19
Uzuri wa sura yako na macho yako vinanipa tafsiri ya mwanamke mrembo dunia nzima hakika sijaona mwanamke mrembo na mzuri kama wewe..
Napenda ngozi yako vile imechanua na harufu yake ya kiutu uzima vinafanya nizame kwenye penzi lako Faiza fox..
Umbo lako maridadi lenye asili ya kiafrika halinichoshi kukutazama nakupenda sana faiza foxy
Nakuomba unipe ridhaa nikae japo ndani ya kongosho lako naaminii badae utanipandisha cheo na kuniweka ndani ya moyo wako
Faiza foxy nakupenda naomba unipe heshima niwe mpenzi wako wa kudumu,naahidi kukupa mapenzi na mahitaji yote ya moyo wako..









Faiza huyo jamaniNiambie mwandani wangu, kisosi cha marashi ya mwambao, sharubati ya mchanganyiko wa mahaba na penzi la dhati itulizayo kiu yangu ya kupenda.Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Hahaha ni kweli mkuu? Ulizaa ukiwa na 15?Mimi nina miaka 30 sasa na mtoto wangu wa kwanza nilizaa na beki tatu nikiwa na miaka 15 tu.
Unafikiri nikifikisha miaka 40 mwanangu hawezi kuwa member humu?
Aah! Mahabubha, barafu wa moyo, kipepeo cha nafsiiiiiii.Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.
Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana
Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Eti tushindane kumtongoza. Hahahaaaaa
Haki faiza ananifurahishaga!
Watu wanajitakia laana za bure mchana kweupe sasa hii tabia ya kutongoza maajuza imeanza lini au ndo kuzidiwa kwa usongo,nyegezi au ugonjwa wa akili?ujue nao n wazee kwan ye amekwambua hapo kuwa n vjana au wazee..?
.
.
Kuweni na huruma na bibi za watu jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio utani yaani hapa najua nitaitwa babu kabla sijafika hata miaka 40 hasa ukizingatia mtoto mwenyewe wa kike na mwaka huu kaingia form 3 bwana haahahaha!