Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

mimi nakupenda hadi nabanwa na haja ndogo,nikinywa maji nakuona kwa glass
usiku silali nakuota wewe tu
nikitembea naskia kama unaniita
ukinikubali ntakuletea zawadi ya perememnde na juice
nipe nafasi nikuweke moyoni...
dah ....ntaendelea
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
 
FaizaFoxy mimi sijaja hapa kukutongoza, ila nimekumbuka tu ile harufu ya udi una marashi yako hadi leo mtu akiingia chumbani ananiuliza hii harufu ni ya perfume gani? Huwa nawajibu ni bibie faiza, kama hutojali leo jioni njoo hapa kisutu zanzibar hotel nikupe ile zawadi yako!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapenda hela kila nukta wacha wapumzishwe kwanza...waanzie sub..
Wacha bi mkbw aanze kikosi cha kwanza....
Watu wanajitakia laana za bure mchana kweupe sasa hii tabia ya kutongoza maajuza imeanza lini au ndo kuzidiwa kwa usongo,nyegezi au ugonjwa wa akili?
.
.
Kuweni na huruma na bibi za watu jamani.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu katika siku umeanzisha nyuzi ya kitoto ni leo?

Hii nyuzi imekaa kikahaba sana, hua nimekueka group la wanawake wenye ubongo mkubwa sana humu Jf ...but not anymore

Naanza kuamini wengi wa wasichana jf hawana utofauti na wale wa badoo,sema ndo vile baadhi wanajitahidi sana kujificha hadharani ila ukimuotea angle yake utakuta ni walewale...leo mkuu umeteleza sana,au ulikua unapost ktk ID ya matukio bahati mbaya umepost kwa ID yako ya heshima?

Narudia tena...Huu uzi ni wa kitoto mno...

Sent using Jamii Forums mobile app
PUNGUZA WIVU
 
Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Bibi, yaani hadi umri huo hujui kama mtongozo ni siri ya mtongozaji na anayetongozwa? Sasa hapa si kila kitu utakataa? tutolee upuuzi wako hapa, nadhani umeenda shule kusomea ujinga
 
Back
Top Bottom