Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Miss JF 2023 FaizaFoxy: Wanaonitongoza waje hapa

Wale wote wanaojidai kunitongoza majukwaa ambayo hayahusiani na mahusiano, waje hapa kwenye jukwaa mahsusi kwa ajili hiyo.

Wacheni kuharibu nyuzi na mada za watu kwenye majukwaa yasiyohusiana na kutongozana

Hii inawahusu na wale wanaokuja kunikera PM... Karibuni hapa, mshindane kunitongoza.
Tujage tukichime nkima wane

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tobaaa
c1b63a24669d4040ec3e4fe5abfeb663.jpg


Sent from my SM using Tapatalk
 
Faizafoxy ni takribani miaka mi NNE sasa nakuona humu, Nyuzi yangu ya kwanza ulikuwa mtu wa 3 kucoment... Tangu wakati huo ulilipua Cheche za upendo wangu juu yako nikaapa nitasoma kila nyuzi yako lakini zaidi nizame ktk penzi lako.... Ningekupata vipi? Nashkuru leo hii nafasi adhwiimu imeniangukia tafadhari naomba niwekeze penzi langu kwako Cc Faizafoxy
 
Mambo yamekuwa Mambo na Mambo Yamezua Jambo..

Wazee na vijana Wa JF kazi ipo Mezani,

Usipo sema leo jiulize utasema lini...??

Mimi nimetulia na Jimama huku,Jimama limenishika sihemi na pumua nusu-nusu mithili ya mgonjwa wa Pumu.

Utundu Wake limeuzidisha Mikao mipya kila siku,Linanipa masaji linanipa utundu Moyoni nabaki najisemea-

"Ninavyeti sina kazi,Jimama endelea kunipoza,Nipe tamu nipe ngoma kisha Nife"


Mambo yamekuwa Mambo,
Mambo Yemezua Jambo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom