Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 70,485
- 167,275
We ni sawa na bibi yangu kulingana na maoni mbali mbali ya wanajukwaa je naweza kuwa mjukuu anekula tunda la bibieeee,
Sent using Jamii Forums mobile app




limoja hili
hapa
Watu wanajitakia laana za bure mchana kweupe sasa hii tabia ya kutongoza maajuza imeanza lini au ndo kuzidiwa kwa usongo,nyegezi au ugonjwa wa akili?
.
.
Kuweni na huruma na bibi za watu jamani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
