MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 3,697
- 5,032
Faiza foxy nakotogagwa ngikulu
Kabisa hata mm nimeona hiloo...wanaume ni watu wenye wivu wakaona wamkomeshe genta kwa kumchagua bi Faiza...Zile promo na tambo za Genta ndio zilifanya Lee asishinde, kura ziende kwa Faiza.
Humu ni unafiki tuu...mnatujua? Mngetujua hizo kura zingekua virse versa...
Nina miaka 15mambo ya jando, njoo tuyaongelee hapa.
Ulienda jando ukiwa na miaka mingapi?
🤣😁Kabisa hata mm nimeona hiloo...wanaume ni watu wenye wivu wakaona wamkomeshe genta kwa kumchagua bi Faiza...
🤣😁😁Andika Kiswahili wewe poyoyo, unaandika lugha hata google inashindwa kutafsiri. Munio.
Nafaa sana kama unabisha tujaribuHufai.
Jinsi unavyoandika unaonesha ni wa kuhurumiwa tu.Andika Kiswahili wewe poyoyo, unaandika lugha hata google inashindwa kutafsiri. Munio.
Wewe Mama Munio kwa Wahehe na Wabena ni uchi wa mwanamke.Andika Kiswahili wewe poyoyo, unaandika lugha hata google inashindwa kutafsiri. Munio.
Nipe mambo nikuonyeshe nilichofunzwaSi unaona umekiri kuwa kuwa hufai. Kuna mwanamme anajaribu? Unanchekesha. Mwanamme hajaribu, una mapungufu makubwa ya uwanamme.
Wajulishe wanajukwaa kwanza jinsi nilivyokukula sikuile Ubungompaka ukaanza kunisumbua unataka kila siku.Haya mwengine huyu, jukwaa la kutongozana unaulizia Kiswahili. Hapa tongoza hata kichina.
Kitendo cha kupatwa na hisia za kimapenzi juu ya mwanamke ambaye hata hujawahi kumwona ila tu umevutiwa na nyuzi zake, comments zake n.k ni ishara ya wazi kuwa ni mwanaume mwenye hisia, wanaume wenye hisia n wachache ila ni watu wenye upendo na roho ndogo kwenye mahusiano hta unapowakera kmahisiano uhis uchungu na maumivu makal kweny mioyo yao.Wakuu mimi nampenda huyu Faiza naombeni maujuzi ya wapi nimwone live
Acha kumchafua demu wanguWajulishe wanajukwaa kwanza jinsi nilivyokukula sikuile Ubungompaka ukaanza kunisumbua unataka kila siku.