Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

Wakuu kwema?Nadhani Leo 17 November,Payroll zimeshawafikia wakuu wa idara huko kwenye Halmashauri mbalimbali nchi nzma.

Itapendeza zaidi Maafisa Utumishi au Wakuu wa idara mkitujuza kuhusu Orodha za malipo ya Mishahara mipya kuanzia November hii kama Mkulu alivoahidi!Je kuna ongezeko?Na kama lipo Ningependa kufahamu scales zake zimekaaje kuanzia Madaraja ya chini mpaka juu.

Ahsanteni,nawasilisha!!
Upo kama mwezi uliopita
 
Ongezeko lipo na limebase kwenye annual increment ya salary scale ya mtumishi husika.
 
Wakuu kwema?Nadhani Leo 17 November,Payroll zimeshawafikia wakuu wa idara huko kwenye Halmashauri mbalimbali nchi nzma.

Itapendeza zaidi Maafisa Utumishi au Wakuu wa idara mkitujuza kuhusu Orodha za malipo ya Mishahara mipya kuanzia November hii kama Mkulu alivoahidi!Je kuna ongezeko?Na kama lipo Ningependa kufahamu scales zake zimekaaje kuanzia Madaraja ya chini mpaka juu.

Ahsanteni,nawasilisha!!
Ongezeko lipo ila ni kiduchu sana. Ongezeko lenyewe ni lile la stahiki yaani increment.
 
Kuna mtumishi namdai na ameniaidi kunilipa salary ikitoka. Hivyo kama mshahara umetoka naombeni mnijulishe
 
Siyo unamdai wewe utakuwa mwalimu yani mnakera nyie kila mwisho wa mwezi mnaanza kujaza ujinga wenu humu,, hivi kujiongeza hakuwezi? Mpaka mtegemee hivyo vi laki?
Hivi siku serikali ikisema hailipi mtafanya nini?
Kuweni na tabiya ya kujiongeza na msitegemee salary tuu kuishi unatakiwa uwe na another source of income mbali na salary,,
 
Back
Top Bottom