Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

Nyongeza ya anko , sidhani kamaitakuwa kubwa sana . hana mapenzi mema na watumishi...
Tunalenga kuboresha maisha ya watanzania wa kawaida waliowengi sio nyinyi wafanyakazi wachache. Kama mnaona haziwatoshi acheni kazi, tutaleta wachina hapa wachukue nafasi zetu. Kwanza Wafanyakazi wenyewe ni wavivu, wezi, walalamishi, wachelewaji, wazinzi wasio na shukrani. Wakulima, wafugaji, na wavuvi nani atawaongezea mapato yao?
 
Tunalenga kuboresha maisha ya watanzania wa kawaida waliowengi sio nyinyi wafanyakazi wachache. Kama mnaona haziwatoshi acheni kazi, tutaleta wachina hapa wachukue nafasi zetu. Kwanza Wafanyakazi wenyewe ni wavivu, wezi, walalamishi, wachelewaji, wazinzi wasio na shukrani. Wakulima, wafugaji, na wavuvi nani atawaongezea mapato yao?
unaandika ukiwa unakunya kwenye choo cha shmo kilichojaa mavi mpaka mdomon halafu ukishusha kimba unaruka pemben kwanza
 
Nipo halmshauri hapa na bwana utumishi now, nyongeza ni 183,921 (one hundred eighty three thousand nine hundred twenty one only?)

Najua wengi won't believe lakini ndiyo baba J keshaamua hivyo..
Nyongeza huwa haiko-flat mkuu ni x.%ya mshahara wa kila mmoja ambayo pia haifanani. So kukiwa na nyongeza kila kutakuwa na utofauti pia.
 
Mtumishi akisubiria ahadi hewa ya mishahara mipya....
images.jpeg
 
Tunalenga kuboresha maisha ya watanzania wa kawaida waliowengi sio nyinyi wafanyakazi wachache. Kama mnaona haziwatoshi acheni kazi, tutaleta wachina hapa wachukue nafasi zetu. Kwanza Wafanyakazi wenyewe ni wavivu, wezi, walalamishi, wachelewaji, wazinzi wasio na shukrani. Wakulima, wafugaji, na wavuvi nani atawaongezea mapato yao?
We taira unatumia makalio kufikiria?Hao wavuvi,wakulima,wafugaji na wanyonge bidhaa na huduma zao wanauza kwa nani??kama sio wafanyakazi??
 
Sure mkuuu.. na mimi kuna afisa utumishi mmoja nilikutana nae nikamuuliza alicheka sana.ila akasema ni ndogo tu ndo imeongezwa bila kusema ni Kiasi gani...
Tujiandae kisaikolojia..
unajua kuna increament za miaka 2 hizo zikiwekwa ni kama umerudishiwa ulichokoseshwa kisheria. wajanja wanaweza kuita nyongeza. kama kawaida kuna watakaochekele na kumwaga sifa
 
Nyongeza huwa haiko-flat mkuu ni x.%ya mshahara wa kila mmoja ambayo pia haifanani. So kukiwa na nyongeza kila kutakuwa na utofauti pia.
Was joking mkuu, don't take it serious... Watumishi wasubiri tarehe 23 watajua mbivu na mbichi..
 
Back
Top Bottom