UMASIKINI BWANA
JF-Expert Member
- Oct 17, 2013
- 942
- 567
20000-15000=5000
Kinachoendelea huku halimashauri ni kukusanya nyaraka za wale waliokua wamepandishwa madaraja lakini malipo hayakufanyika na wale waliokupandishwa na mishahara mipya kufutwa.Wakuu kwema?Nadhani Leo 17 November,Payroll zimeshawafikia wakuu wa idara huko kwenye Halmashauri mbalimbali nchi nzma.
Itapendeza zaidi Maafisa Utumishi au Wakuu wa idara mkitujuza kuhusu Orodha za malipo ya Mishahara mipya kuanzia November hii kama Mkulu alivoahidi!Je kuna ongezeko?Na kama lipo Ningependa kufahamu scales zake zimekaaje kuanzia Madaraja ya chini mpaka juu.
Ahsanteni,nawasilisha!!
Kweli we unatafuta kiki!SCALE MPYA KWA WATUMISHI KUANZA KUTUMIKA NOV. 2017
1.TGS A1-746,000
2.TGS B1-894,000
3.TGS C1-982,500
4.TGS D1-1,139,000
5.TGS E1-1,219,000
6.TGS F1-1,405,000
7.TGS G1-1,670,000
8.TGS H1-1,884,000~ 2,665,000.
Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka leo usiku huu.Inaanza kutumika
Novemba 2017.
*Kumbuka:mtumishi mwenye degree alietoka chuoni huwa anapokea mshahara grade: TGS D1*
Hivi ndivyo Dr.Shika alivyosikika akisema itapendeza mambo yakiwa hivyo hapa nchini,lakini hili jambo halipo kabisaaaa.
Hivi Mkuu ukishatusua haya mapene ya Salary Advance huwa unarejesha mwenyewe au huwa wanakata wenyewe juu kwa juu mpunga ukiingia?!Hapa mwendo ni kujilipua tu na crdb salary advance....haimalizi matatizo ila inasaidia kuyasogeza mbele.....loh!
maana na hadi sasa ndio inayonipa heshima!He he he heee,sasa ndo watampa 2020???Watu wengi Hawajui tu tena Hawajui kwanini mkulu hawapendi watumishi.Watumishi wengi walishajitambua kitambo sana.Watumishi wachache waliokuwa wanakula keki ya nchi ndio walikuwa pro CCM.Mkulu analipiza kisasi kwa watumishi maana anajua wengi hawakumpa kura
Hill ni daraja au increment? Hakuna increment ya hivo, hakuna pesa ya kuongeza watumishi wote kiasi hchoNgoja niamini tu
Hujasoma masharti yao au? Riba inakatwa upfront....kwamaana hiyo ukichukua laki wanatoa kabisa riba yao.Sasa mkuu mm nimeelewa kuwa ukikopa utalipa riba ya 5% ya pesa uliopewa. Hapo ulipokopa 95, 000/ asilimia tano ni 4,750/ na sio 5,000/. Kama wakikata 5, 000/ walipaswa wakupe 100, 000/. Na 5% ya 190,000/ ni 9,500/ sio 10,000/ utakayolipa.
Dawa sio kuongeza mishahara, bali suluhu ni kuongezs uzalishaji nchini katika kila nyanja ili shillingi ipande thamani na vitu vishuke bei, tjen kutakua hakuna haja ya kuongeza mishahara baada ya bidhaa na huduma kushuka beiNa ndiyo hiyo nyongeza, imeahi kutokea kwa Mkapa range kama hiyo and Mkapa was not friendly na wafanyakazi, quite hostile!
Hapa naona unatwanga maji kwenye kinu.SCALE MPYA KWA WATUMISHI KUANZA KUTUMIKA NOV. 2017
1.TGS A1-746,000
2.TGS B1-894,000
3.TGS C1-982,500
4.TGS D1-1,139,000
5.TGS E1-1,219,000
6.TGS F1-1,405,000
7.TGS G1-1,670,000
8.TGS H1-1,884,000~ 2,665,000.
Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka leo usiku huu.Inaanza kutumika
Novemba 2017.
*Kumbuka:mtumishi mwenye degree alietoka chuoni huwa anapokea mshahara grade: TGS D1*
Hivi ndivyo Dr.Shika alivyosikika akisema itapendeza mambo yakiwa hivyo hapa nchini,lakini hili jambo halipo kabisaaaa.
Unachekesha sana we jamaaa.....!Hivi Mkuu ukishatusua haya mapene ya Salary Advance huwa unarejesha mwenyewe au huwa wanakata wenyewe juu kwa juu mpunga ukiingia?!![]()
![]()
maana na hadi sasa ndio inayonipa heshima!
Uko sahihi kabisa, wako wazi na wala si wezi.Nimeitumia mara 2 hadi sasa sijaexperience hiko kitu....laba kwa vile hesabu kwenye uko wetu zililaaaniwa.
Ila mie maraa kwanza nilikopa lak nikapewa 95 elf. Siku ya salary nikalipa lak 1.
Mara ya pili nikachukua lak 2..nikapewa lak 190 elf...so keshokutwa nitalipa lak 2.
Mie hadi hapo naona sijaibiwa hata senti....nashukuru kwa aliyeleta hili wazo....maaana kimtaa mtaa hapa lak ilikuwa nalipa lak na 20....!
Hatomboi 2020wakimmugabeka itapendeza.
Nje ya group interests juu yake tuna National interests pia. Sasa chagueni moja. Utumishi wa umma hauwezi kuwa wa muhimu kuliko nchi yenyewe.msiwe na matumaini.hapendi watumishi.!
Hivi mkuu mshahara wa dhambi umepanda??Watumishi changamkeni Rais wenu anawakumbuka
Ata Mimi sijuiNdo umeandika nini sasa???🙁🙁🙁