mitale na midimu
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 10,419
- 17,760
hivi wanaongezewa tsh ngapi,
umeamka na nini?Watumishi changamkeni Rais wenu anawakumbuka
Buku7hivi wanaongezewa tsh ngapi,
Pambana na hali yako ukitegemea mshahara utadodaWakuu kwema?Nadhani Leo 17 November,Payroll zimeshawafikia wakuu wa idara huko kwenye Halmashauri mbalimbali nchi nzma.
Itapendeza zaidi Maafisa Utumishi au Wakuu wa idara mkitujuza kuhusu Orodha za malipo ya Mishahara mipya kuanzia November hii kama Mkulu alivoahidi!Je kuna ongezeko?Na kama lipo Ningependa kufahamu scales zake zimekaaje kuanzia Madaraja ya chini mpaka juu.
Ahsanteni,nawasilisha!!
mh??Wanakatazwa sana
Ongezeko la mshahara Mwezi November ni sh19,000/= kwenye basic salary kwahiyo kwa anaepokea basic 950000/= ajumlishe na 19000/= halafu hapo makato ya loan board, bima ya afya, cwt, na mengineyo Bado hujakatwa , kwa aliyekuwa anapokea basic 715000/= basi ajumlishe 19000/=. Hongeleni watumishi wa umma kwahiyo nyongeza.
😎Ongezeko la mshahara Mwezi November ni sh19,000/= kwenye basic salary kwahiyo kwa anaepokea basic 950000/= ajumlishe na 19000/= halafu hapo makato ya loan board, bima ya afya, cwt, na mengineyo, kwa aliyekuwa anapokea basic 715000/= basi ajumlishe 19000/=. Hongeleni watumishi wa umma kwahiyo nyongeza.
Itapendeza piaHakuna ongezeko wala daraja!
Hakuna nyongeza kwani bajeti ya mwaka 2017/2018 mlisikia hyo nyongezatunakusalimia
Holaaa pambaneni na hali zenuTupe dili mkuuu![]()
![]()
![]()
Wewe fuata mluzi mkubwa zaidi,hii mingine midogo achana nayo mkuu.Sasa mbona Miluzi mingi mbwa anapotea!!Mara kaongeza 34500,Mara 90,000 mara 50,000!!
which is which????
Ndiyo ,mama Kairuki alisema ziliongezwa bilioni 600 ukilinganisha an bajeti iliopita na hio ni kwa ajili ya kupandisha madaraja na kulipa madeni,sidhani kama increment ilihusishwa pia!Hakuna nyongeza kwani bajeti ya mwaka 2017/2018 mlisikia hyo nyongeza