Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

Mishahara mipya Novemba 2017 kuna ongezeko?

Hata msipoongezewa mtafanya nini? Wengi wa waajiriwa ni wanafiki na wasiojiamini ndio maana walishindwa kuchakua na kupata kula hadi gvt iwape salary.
Poor people forever
 
SCALE MPYA KWA WATUMISHI KUANZA KUTUMIKA NOV. 2017


1.TGS A1-746,000
2.TGS B1-894,000
3.TGS C1-982,500
4.TGS D1-1,139,000
5.TGS E1-1,219,000
6.TGS F1-1,405,000
7.TGS G1-1,670,000
8.TGS H1-1,884,000~ 2,665,000.

Hiyo ndiyo mishahara mipya ambayo waraka umetoka leo usiku huu.Inaanza kutumika
Novemba 2017.
*Kumbuka:mtumishi mwenye degree alietoka chuoni huwa anapokea mshahara grade: TGS D1*
Hivi ndivyo Dr.Shika alivyosikika akisema itapendeza mambo yakiwa hivyo hapa nchini,lakini hili jambo halipo kabisaaaa.
 
Mimi KWANGU imeongezeka 328,123/, daraja la SIBITI
 
Tukumbuke kuwa Mh. Raisi alitoa ahadi hadharani akisema mwezi huu anaanza kurudisha utaaratibu wa nyongeza ya mwaka ya mshahara. Watumishi tarehe zetu ndio hizi zinayoyoma vp huko kwenu kuna lolote jipya.
 
Back
Top Bottom