everybody knows that and striving to achieve thatSiyo unamdai wewe utakuwa mwalimu yani mnakera nyie kila mwisho wa mwezi mnaanza kujaza ujinga wenu humu,, hivi kujiongeza hakuwezi? Mpaka mtegemee hivyo vi laki?
Hivi siku serikali ikisema hailipi mtafanya nini?
Kuweni na tabiya ya kujiongeza na msitegemee salary tuu kuishi unatakiwa uwe na another source of income mbali na salary,,