Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,942
- 43,599
Nakwambia hazina maana, na sadly enough watu tumejikuta tu tunazama huko kama dini vile.
Leo nimesiki radio sana. Nilichogundua hata watangazaji baadhi wapo na matimu haya.
Lakin kitu kilichonikata stim na kuona mziki waenda potea kwa kuendekeza ujinga huu, ni wale wanaopiga cm ku request ngoma. Cm moja akiwa Kiba then next lazima ni Diamond. Nikajiuliza watu wanakaa attention that much kama wanalipwa. Ili mradi tu kuendeleza ushindani usio na maana.
Ok tuje kwenye tuzo KTMA 2015. Nafikiri wewe mwenyewe ni shaidi, ilikua ni sahihi kabisa kuziita DIAMOND vs KIBA TMA. Ujinga huu lazima ukome.
Hawa wasanii wawili sio Game. Tuna ngoma kali nyingi ila huu ugonjwa unafanya ziwe ignored.
Sasa mi naanza kampeni mpaka kwa media.
Na zitakufa team hzi.
Nonsense kabisa.
Kamwe hizi timu hazitakufa maana kuna upande una nufaika sana na uwepo wa hizi timu hasa upande wa King! Trust me siku hizi timu zikifa na hawa wawili wakapatana kuna mtu mmoja atapotea mazima! Kiba alipokuwa kimya hizi timu ndizo zilizo anzisha movement kwenye mitandao ili kumrudisha na yeye ana nufaika sana kuliko hata Diamond!