Mirror anaimba vizuri lakini mbona hang'ai?

Mirror anaimba vizuri lakini mbona hang'ai?

Hatukumfanya kitu hahahaaaaaa...
Yeye kasema team sio nzuri tuu kwani ni kosa??

Sasa kipenzi uwe neutral bhanaa hizi team na zarau dhid ya upande wa pili sio nzuri...ifikie wakat tuseme enough...
 
Sasa kipenzi uwe neutral bhanaa hizi team na zarau dhid ya upande wa pili sio nzuri...ifikie wakat tuseme enough...

Sawa my mimi lakini sijagi kwenye nyuzi zenu nyie ndo mnatufuata.....
 
Sawa my mimi lakini sijagi kwenye nyuzi zenu nyie ndo mnatufuata.....

yes.. but let now make the resolution..
Let daimond team respect kiba, let team kiba do the same..
Wote hawa ni wasanii wetu, yes kama wanapersonal weakness let forgive them.. data
 
Last edited by a moderator:
yes.. but let now make the resolution..
Let daimond team respect kiba, let team kiba do the same..
Wote hawa ni wasanii wetu, yes kama wanapersonal weakness let forgive them.. data

Love bhana mimi ni shabiki wa kiba lakini ni team man u. Wew tangu lini shabiki wa yanga atashangilia simba ata kama inacheza na ghana.?
Basi nitampenda domo usijali aya sankoro sankoro kama ngasa
 
Last edited by a moderator:
Love bhana mimi ni shabiki wa kiba lakini ni team man u. Wew tangu lini shabiki wa yanga atashangilia simba ata kama inacheza na ghana.?
Basi nitampenda domo usijali aya sankoro sankoro kama ngasa

Ha haaa.... namaanisha kwamba kukejeli au kudisi msanii mwingine bila sababu ya msingi ndio tuache, kuwa team fulani bila kukejel wa kuwa na bif sio tatizo.. just show love
 
Ha haaa.... namaanisha kwamba kukejeli au kudisi msanii mwingine bila sababu ya msingi ndio tuache, kuwa team fulani bila kukejel wa kuwa na bif sio tatizo.. just show love

Ahaaa tuwe na ushabiki kama kule sport eee? Sawa baba watoto.
Aya sasa "aii sankoro sankoro sankoro kama ngasa"
Chekecha cheketua cheke chekecha cheketuaaa....
Mkuu sitamkashifu nitaumia tuu kirohoni maana nina roho mbayaa
 
Abou Saydou timu hzi zinakusaidia nini.?
Kwanini unakomaa nazo sana ziendelee.?

Tueleze unanufaika nazo vp ili tujue huenda una hoja ya msingi.
data Team ya Kiba imenisaidia niwajue wengi sana hapa Tanzania ukiivunja nitawapoteza

Nakomaa nayo kwasababu nataka mziki mzuri uendelee kuzalishwa na kiba , kutokana na uwepo Wa hizi team Kiba anatoa vitu adimu mnoo
 
Last edited by a moderator:
What! Kwahiyo nyie mnakua boosted na team diamond kupiga kazi.?? Whart? Guys isn't this nonsense.?!?
data Team ya Kiba imenisaidia niwajue wengi sana hapa Tanzania ukiivunja nitawapoteza

Nakomaa nayo kwasababu nataka mziki mzuri uendelee kuzalishwa na kiba , kutokana na uwepo Wa hizi team Kiba anatoa vitu adimu mnoo
 
Last edited by a moderator:
Ha haaa.... namaanisha kwamba kukejeli au kudisi msanii mwingine bila sababu ya msingi ndio tuache, kuwa team fulani bila kukejel wa kuwa na bif sio tatizo.. just show love

Hiyo ndio point kudiss vitu ambavyo havina msingi tuache kwa mfano mm. Video ya Kiba cheketua sikuiona mbaya yani sema ule uteam ukanifanya nidiss tuuuu lkn ile video sio kua ni mbaya sdma tu haikua on time" Cha msingi ni kukubali kazi nzuri na uzalendo hahah am out.. am TEAMdiamond am TeamLowassa am TEAMyanga am TEAMLiverpool that may team nashabikia navyopenda all in all mziki mzuri na tukue kiakili co kudiss tuu
 
Last edited by a moderator:
What! Kwahiyo nyie mnakua boosted na team diamond kupiga kazi.?? Whart? Guys isn't this nonsense.?!?

Yah

Unavyokuja kumtukana kule kwenye Uzi wake unaniboost nizidi kumpenda Kiba yule mnyonge

Nonsense ni ile yako uliyosema chekecha ikipgwa MTV upigwe ban au umesahau ?
 
Hiyo ndio point kudiss vitu ambavyo havina msingi tuache kwa mfano mm. Video ya Kiba cheketua sikuiona mbaya yani sema ule uteam ukanifanya nidiss tuuuu lkn ile video sio kua ni mbaya sdma tu haikua on time" Cha msingi ni kukubali kazi nzuri na uzalendo hahah am out.. am TEAMdiamond am TeamLowassa am TEAMyanga am TEAMLiverpool that may team nashabikia navyopenda all in all mziki mzuri na tukue kiakili co kudiss tuu

video watu wameiona kipande tu wakasema mbaya thats is not fair hiyo ni haters sio ushabiki sema team platnumz unakuja sana kule kuliko cc mnasababisha mabifu ya sio ya lazima #kingkiba
 
Last edited by a moderator:
Hiyo ndio point kudiss vitu ambavyo havina msingi tuache kwa mfano mm. Video ya Kiba cheketua sikuiona mbaya yani sema ule uteam ukanifanya nidiss tuuuu lkn ile video sio kua ni mbaya sdma tu haikua on time" Cha msingi ni kukubali kazi nzuri na uzalendo hahah am out.. am TEAMdiamond am TeamLowassa am TEAMyanga am TEAMLiverpool that may team nashabikia navyopenda all in all mziki mzuri na tukue kiakili co kudiss tuu

:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup:
 
Last edited by a moderator:
:thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup::thumbup:

Maajabu leo mpaka Cute b kaniquote baada ya kuzinguana kote ckuile mituc kibao kichambo ulichonipa nilijuuta kukuchora kikatuni" sema nn am humbled Peace :thumbup: msisahau kuvote zimebaki cku chache kama 10 hiv.
 
Back
Top Bottom