Mirror anaimba vizuri lakini mbona hang'ai?

Mirror anaimba vizuri lakini mbona hang'ai?

Duh stagnant mind! Plato alisema conflicting ndiyo chachu ya Maendeleo sasa nashangaa nyie mnaogopa.

Kwa hoja basi sitoshangaa ukitoa wazo CHADEMA na maCCM vifutwe na turudi mfumo wa chama kimoja.

Hao wakina Mirror nao ni wajibu wao wakomae na game hadi waje wafike level za Kiba na Diamond its possible, kwani hao nao hawazuka tu by surprise from a vacuum bali nao walijiwekeza vya kutosha kwenye mioyo ya washabiki zao kupitia ubora wa kazi zao.

Kwanza kama mtu hataki si basi?yeye kama hataki sisi tunataka
 
Anapelekeshwa na madam nanihiu yule alimpigia promo mwimbaji wa 'sarafina' ndo maana hatoki na ataendelea hivohivo kutong'aa😱
 
Kwanza kama mtu hataki si basi?yeye kama hataki sisi tunataka

Yap mkuu, sisi hapa tunataka team kwani tunaona ndiyo catalyst ya ukuaji wa mziki wetu, yeye kama hataki ushindani basi sisi fans tunataka.
 
Sijasikia hiyo sentensi ya diamond kusema hazitaki hizi team!alisema kwamba "hizi team zina faida na hasara yake lakini mi sijasikia aliposema hazitaki hizi team!usiongeze maneno tafadhali ambayo hajaongea.

Hapa hakuna uzi utakaofutwa,we kama unataka anzisha uzi wako wa kupinga hizi team lakini usitake wote tufate mawazo yako.We endelea na kampeni yako ila kwangu imegonga mwamba mpaka diamond atangaze kutotambua uwepo wetu

Unaona sasa, wewe tayari ni muhanga wa timu. Zimeshakuathiri na umeanza kuwa na imani kali zaidi hata ya dini yako.

Ushauri wa bure, shtuka mapema b4 its too late.
BETTER LATE THAN NEVER.
 
Unaona sasa, wewe tayari ni muhanga wa timu. Zimeshakuathiri na umeanza kuwa na imani kali zaidi hata ya dini yako.

Ushauri wa bure, shtuka mapema b4 its too late.
BETTER LATE THAN NEVER.

Hivi huu unafiki leo umeutoa wapi?siku zote ulikua huoni mpaka uje utuone sisi leo hii hatujitambui kwa kushabikia hizi team??Ingekua Instagram ningesema unatafuta followers sasa humu ndani unatafuta nini?likes au?

Kama wewe umeshtuka basi endelea kushtuka mi bado kabisaaa na wala sina mpango wa kushtuka
 
+duh kumbe hizi team mbili wakiwa wana the same interest wanajadiliana vizuri hivi yaani hadi raha watu wanashusha mipoint ya kufa mtu, tena kwa utulivu kabisa.

+hongereni sana team Mondi na Kiba, siku moja moja mue mnajadili mambo kiutu uzima namna hii! Inapendeza sana.
 
Hivi huu unafiki leo umeutoa wapi?siku zote ulikua huoni mpaka uje utuone sisi leo hii hatujitambui kwa kushabikia hizi team??Ingekua Instagram ningesema unatafuta followers sasa humu ndani unatafuta nini?likes au?

Kama wewe umeshtuka basi endelea kushtuka mi bado kabisaaa na wala sina mpango wa kushtuka

Nimesha sema hapo I was blinded and nonsensical.

Wewe endelea baki usingizini.

Ivi unajua kilichotoke Kenya hadi sasa GENGE is no more.?

Mtakuja shtuka when its too late.
 
data

Mimi nikiwa team mond nachangia vipi kutokufanikiwa kwa mirror ?

Unaona sasa akili yako ilvyo nzito. Yani wala hujui ni niñi tunakijengea hoja hapa''?
 
Last edited by a moderator:
Kuna watu nimeshawaona wameshakuwa extreemist ktk hizi teams yaani data hawataki hata kuona hii kitu unayoandika hapa, lakini ipo siku wataona tu kwamba someone somewhere pre-empted this incidence.
 
Last edited by a moderator:
Its OK!!kama unaamua kujitoa we jitoe tu ila mi bado kabisa mpaka diamond mwenyewe atangaze kwamba hataki team,hizi team zipo hata huko nje na watu wanafikia hatua ya kuchapana makonde kisa tu team!!!

Waanze wenyewe kwanza wasanii kukataa hizi team ndipo sisi tutafata!

Wasanii kukataa hizi timu ni sawa na kuwakataa mashabiki wao, wanachotakiwa kukataza ni timu kutukanana na kupondana bila sababu ya msingi, watu watoe strong and constructive criticisms kama zipo, hiyo itawajengea wao changamoto na wataendelea kupambana,
Am sure diamond anaijua vizuri biashara ya muziki nikirifaa na majibu yake ya interview ya XXL clouds Fm juzi, ndo maana alisisitiza support na kupambana nje ya mipaka.
Ila honestly dai hata akisema hatutambui sito acha kumshabikia because I real like his music, ana vionjo flani hivi amaizing, he is such a star. Yaani daah #ntaachaushabikiuzeeni !
 
Nimesha sema hapo I was blinded and nonsensical.

Wewe endelea baki usingizini.

Ivi unajua kilichotoke Kenya hadi sasa GENGE is no more.?

Mtakuja shtuka when its too late.

OK fiiiine!!wacha niendelee kulala!nachojua ni kwamba diamond anafanya mziki kama biashara na wala hashindani na mtu wala team!
Endelea kuniombea maybe nitachange!Lakini tofauti na hapo ni CHIZI KAROGWA TENA!! kwa maana kwamba siachiiiii.
 
Wasanii kukataa hizi timu ni sawa na kuwakataa mashabiki wao, wanachotakiwa kukataza ni timu kutukanana na kupondana bila sababu ya msingi, watu watoe strong and constructive criticisms kama zipo, hiyo itawajengea wao changamoto na wataendelea kupambana,
Am sure diamond anaijua vizuri biashara ya muziki nikirifaa na majibu yake ya interview ya XXL clouds Fm juzi, ndo maana alisisitiza support na kupambana nje ya mipaka.
Ila honestly dai hata akisema hatutambui sito acha kumshabikia because I real like his music, ana vionjo flani hivi amaizing, he is such a star. Yaani daah #ntaachaushabikiuzeeni !

Nimekuelewa vizuri sana!!big up
 
Unaona sasa akili yako ilvyo nzito. Yani wala hujui ni niñi tunakijengea hoja hapa''?

Nzito kweli kwasababu tangu niujue mziki mi namuelewa Kiba tu
Tatizo kitambo kile hii mitandao ilikua haijafika ndiomana team hazikuchomoza

Ila kiukweli wasanii hawawezi kua sawa lazima hawa wawe pale na wengine wawepo kule

Nakushauri ; jitahidi kuua hizi team on jf ila Ukija kule insta tunakupa za uso
 
Back
Top Bottom