Mirror anaimba vizuri lakini mbona hang'ai?

Mirror anaimba vizuri lakini mbona hang'ai?

kende

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2013
Posts
3,527
Reaction score
1,669
Nimejaribu kumfatilia huyu dogo yuko vizuri anajua kuimba, nyimbo zake nzuri, sasa nashangaa inakuwaje hang'ai wakati yuko chini ya menejimenti ya bingwa wa kung'arisha nyota za watu 'Wema Sepetu', au ubingwa wake wa kung'arisha nyota unawork kwa baadhi ya watu tu?
 
Watu walikuwa wanamjaza ujinga huyo bint. Hivi, kama kweli inampenda mwenzako na mpo tayari kutengeneza familia, kuna tatizo gani kwa bint kumbeba mpenzi wake?

Huyo dada ameonyesha udhaifu mkubwa katika mapenzi, amemuacha Diamond ili ashuke kwa sababu anasafiria nyota yake. Yako wapi mapenzi?
 
Nimejaribu kumfatilia huyu dogo yuko vizuri anajua kuimba, nyimbo zake nzuri, sasa nashangaa inakuwaje hang'ai wakati yuko chini ya menejimenti ya bingwa wa kung'arisha nyota za watu 'Wema Sepetu', au ubingwa wake wa kung'arisha nyota unawork kwa baadhi ya watu tu?

Tatizo ana mcopy Rich mavoko,aje na style ya kipekee atang'ara.

utafiti una onyesha wasanii wanao kuja na swaga za kukopi hawatoboi kiviilee na mwisho wanaishia kapuni..

1.z anto -mb dog
2.steve rnb -nuruweli/rama D
3.Godzilla -50cent
4.Rachel -Rayc
5....endelea....
 
Tatizo ana mcopy Rich mavoko,aje na style ya kipekee atang'ara.

utafiti una onyesha wasanii wanao kuja na swaga za kukopi hawatoboi kiviilee na mwisho wanaishia kapuni..

1.z anto -mb dog
2.steve rnb -nuruweli/rama D
3.Godzilla -50cent
4.Rachel -Rayc
5....endelea....

Hapa unataka kutuingiza chaka. Kwan Rachel hajatoboa? Je kuna uhusiano gan kati ya Godzilla local artist na 50 cent mpaka ashindwe kutoboa? Japo mie naamin Godzilla keshatoboa. He huyo mb Dogg bado u hewan? Achen kutoa majibu mepesi kwa maswali magum
 
Hapa unataka kutuingiza chaka. Kwan Rachel hajatoboa? Je kuna uhusiano gan kati ya Godzilla local artist na 50 cent mpaka ashindwe kutoboa? Japo mie naamin Godzilla keshatoboa. He huyo mb Dogg bado u hewan? Achen kutoa majibu mepesi kwa maswali magum

kuna tofauti kati ya kutoboa na kuskika unaimba!

nadhani tume elewana!
 
Mmh Mimi huyo mirror naona uimbaji wake ni waka waida sana...!
 
Tatizo ana mcopy Rich mavoko,aje na style ya kipekee atang'ara.

utafiti una onyesha wasanii wanao kuja na swaga za kukopi hawatoboi kiviilee na mwisho wanaishia kapuni..

1.z anto -mb dog
2.steve rnb -nuruweli/rama D
3.Godzilla -50cent
4.Rachel -Rayc
5....endelea....

mbona wakina dimpoz wanaiga wanaigeria but still wanashine
 
Msitarajie kama kuna msanii mpya au hata wa zamani anae taka rejea ktk game atang'aa recently.

Hii DIAMOND vs KIBA thing ina ukost sana mziki wa bongo flavor.

Yani na mashabiki tumekuwa kama matondo.

All attention is focused into ths two mazafantaz. Kazi kibao mpya na kali zapigwa dash fasta.

Ni ujinga mtupu. Najiondoa kwa matimu ya kipimbi haya.
 
mbona wakina dimpoz wanaiga wanaigeria but still wanashine

elewa ninacho ongea hapa nasema kumcopy msanii mmoja mmoja na sio kukopi style ya muziki wa nchi fulani...ukitaka hivyo hata bongo fleva tumekopi kutoka marekani.

kuna tofauti kubwa kati ya kumkopi chriss brown na kukopi muziki wa marekani.

ume nielewa?
 
Tatizo ana mcopy Rich mavoko,aje na style ya kipekee atang'ara.

utafiti una onyesha wasanii wanao kuja na swaga za kukopi hawatoboi kiviilee na mwisho wanaishia kapuni..

1.z anto -mb dog
2.steve rnb -nuruweli/rama D
3.Godzilla -50cent
4.Rachel -Rayc
5....endelea....

Mirror anamkopi rich mavoko??.....,z-anto anamkopi mb dog??
Ngoja nikasikilize kazi zao tena
 
Ni swala la muda tu mkuu! Barakah da prince naye toka zamani aliwah kutoa nyimbo kali na nzuri lakin hakuweza kung'aa kivile.

Tumpe muda #mirror naamin atafika mbali japo kuna umuhimu wa kuitazama upya management yake hasa katika upande wa promo na kulibrand jina lake.
 
Msitarajie kama kuna msanii mpya au hata wa zamani anae taka rejea ktk game atang'aa recently.

Hii DIAMOND vs KIBA thing ina ukost sana mziki wa bongo flavor.

Yani na mashabiki tumekuwa kama matondo.

All attention is focused into ths two mazafantaz. Kazi kibao mpya na kali zapigwa dash fasta.

Ni ujinga mtupu. Najiondoa kwa matimu ya kipimbi haya.

Haya matimu ushuzi mi mwenyewe siyapendi yanadhohofisha mziki sana. Natamani hata hawa majamaa wawili wafanye kolabo ili hivi vitimu vifilie mbali.
 
Msitarajie kama kuna msanii mpya au hata wa zamani anae taka rejea ktk game atang'aa recently.

Hii DIAMOND vs KIBA thing ina ukost sana mziki wa bongo flavor.

Yani na mashabiki tumekuwa kama matondo.

All attention is focused into ths two mazafantaz. Kazi kibao mpya na kali zapigwa dash fasta.

Ni ujinga mtupu. Najiondoa kwa matimu ya kipimbi haya.

Ahahaahaaaaaaaa!!!data please usijiondoe!!tatizo hawa wasanii wenyewe hasa Vinega ndio wanaua mziki!wooote walioshindwa game na maisha kuwachapa wamekimbilia kwa allykibaka ili wampunguze chibu makali lakini wamefeli!!
Hao ndio wanaougawa mziki na mashabiki na chuki zao za kijinga!
 
Mirror yupo vizuri sana angekuwa team ya osata angekuwa mbali sana aende tetemesha kwa kidbway.
 
elewa ninacho ongea hapa nasema kumcopy msanii mmoja mmoja na sio kukopi style ya muziki wa nchi fulani...ukitaka hivyo hata bongo fleva tumekopi kutoka marekani.

kuna tofauti kubwa kati ya kumkopi chriss brown na kukopi muziki wa marekani.

ume nielewa?

dimpoz alikuwa anamcopy J Martin, Mo Musiq anaimba kama Marlaw, Joh Makini alikuwa anaflow ka Jiga
 
Back
Top Bottom