BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,809
- 5,784
Haina tofauti yeyote, ni hatari kubwa mbele kwa mafanikio na kukua kwa mziki.
Na bahati yake nzuri Vanessa kwa sasa ni kama hana mtu wa kumchonganisha. Ila utashangaa nae si mda ataingia ktk mtindio huu. Mtu atatafutwa tu.
Davido na Wizkid pia ilikua kama hii diamond na Kiba at the end wasanii wao wenyewe ndio wakaua hayo mambo lkn ad leo wanashindanishwa na kwa kuto kuua teamZao ndio mana hawashirikiani kimuziki Davido na Wizkid japo wako cool all they do nikumake hit aft hit" Hii ni bizness yao sometimes artist create beef kwa ajil ya biashara 2 You as fan dont take it serious or too personal" enjoy mziki mzuri