Mirror anaimba vizuri lakini mbona hang'ai?

Mirror anaimba vizuri lakini mbona hang'ai?

Msitarajie kama kuna msanii mpya au hata wa zamani anae taka rejea ktk game atang'aa recently.

Hii DIAMOND vs KIBA thing ina ukost sana mziki wa bongo flavor.

Yani na mashabiki tumekuwa kama matondo.

All attention is focused into ths two mazafantaz. Kazi kibao mpya na kali zapigwa dash fasta.

Ni ujinga mtupu. Najiondoa kwa matimu ya kipimbi haya.

Yap hizi timu zinawaathiri wanamuziki wengi, but unajua Mirror alikuwepo kabla hata ya hizi timu. Hata hivyo kuna baadhi still wanang'ara pamoja na uwepo wa hizi timu, mfano Baraka da Prince
 
Ahahaahaaaaaaaa!!!data please usijiondoe!!tatizo hawa wasanii wenyewe hasa Vinega ndio wanaua mziki!wooote walioshindwa game na maisha kuwachapa wamekimbilia kwa allykibaka ili wampunguze chibu makali lakini wamefeli!!
Hao ndio wanaougawa mziki na mashabiki na chuki zao za kijinga!

Nakwambia hazina maana, na sadly enough watu tumejikuta tu tunazama huko kama dini vile.

Leo nimesiki radio sana. Nilichogundua hata watangazaji baadhi wapo na matimu haya.

Lakin kitu kilichonikata stim na kuona mziki waenda potea kwa kuendekeza ujinga huu, ni wale wanaopiga cm ku request ngoma. Cm moja akiwa Kiba then next lazima ni Diamond. Nikajiuliza watu wanakaa attention that much kama wanalipwa. Ili mradi tu kuendeleza ushindani usio na maana.

Ok tuje kwenye tuzo KTMA 2015. Nafikiri wewe mwenyewe ni shaidi, ilikua ni sahihi kabisa kuziita DIAMOND vs KIBA TMA. Ujinga huu lazima ukome.

Hawa wasanii wawili sio Game. Tuna ngoma kali nyingi ila huu ugonjwa unafanya ziwe ignored.

Sasa mi naanza kampeni mpaka kwa media.
Na zitakufa team hzi.

Nonsense kabisa.
 
Ni swala la muda tu mkuu! Barakah da prince naye toka zamani aliwah kutoa nyimbo kali na nzuri lakin hakuweza kung'aa kivile.

Tumpe muda #mirror naamin atafika mbali japo kuna umuhimu wa kuitazama upya management yake hasa katika upande wa promo na kulibrand jina lake.

Mirror ni wa mda aisee, mara ya kwanza nilimuona kwenye fiesta ya 2012 ya Rickross, aliperform akapata shangwe za kutosha hasa za kina dada nikajua huyu mtoto ana damu nzuri atakuja kusumbua sana. But leo 2015 sioni hatua yoyote aliyopiga japo ana ngoma kali
 
Nakwambia hazina maana, na sadly enough watu tumejikuta tu tunazama huko kama dini vile.

Leo nimesiki radio sana. Nilichogundua hata watangazaji baadhi wapo na matimu haya.

Lakin kitu kilichonikata stim na kuona mziki waenda potea kwa kuendekeza ujinga huu, ni wale wanaopiga cm ku request ngoma. Cm moja akiwa Kiba then next lazima ni Diamond. Nikajiuliza watu wanakaa attention that much kama wanalipwa. Ili mradi tu kuendeleza ushindani usio na maana.

Ok tuje kwenye tuzo KTMA 2015. Nafikiri wewe mwenyewe ni shaidi, ilikua ni sahihi kabisa kuziita DIAMOND vs KIBA TMA. Ujinga huu lazima ukome.

Hawa wasanii wawili sio Game. Tuna ngoma kali nyingi ila huu ugonjwa unafanya ziwe ignored.

Sasa mi naanza kampeni mpaka kwa media.
Na zitakufa team hzi.

Nonsense kabisa.

ahahahahaa!ni kweli unachokiongea ila sasa ni jinsi gani hizi team zitaisha?!
 
Yap hizi timu zinawaathiri wanamuziki wengi, but unajua Mirror alikuwepo kabla hata ya hizi timu. Hata hivyo kuna baadhi still wanang'ara pamoja na uwepo wa hizi timu, mfano Baraka da Prince

Safi mkuu, sasa ungana nami ktk kampeni hii, im serious aboút nataka niandike waraka maalumu kwa media.

Em chukulia mfano Q chilla alivyorejea vyema ktk game na track yake "for you". Iko wapi sasa.??
Washabiki tushakua blind .. Najaribu kwenda mbali zaidi kama ngoma hiyo ingefanywa na either Kiba au Diamond...., my lord jesus...!!

Umeusikia wimbo wa Beutiful wa Quick Roca..? Ni next level, ila hatuna tunachosubiri sasa zaidi ya KIBA NA MONDI.


Hapana, nasistiza HAPANA. Hata kama wameturoga sasa mwisho.
 
ahahahahaa!ni kweli unachokiongea ila sasa ni jinsi gani hizi team zitaisha?!

Kampeni ni hii "UWA TIMU, BRING BACK BONGO FLAVOR TO ALL ARTISTS".

Tuzishtue na media maana nazo zimeanza kujisahau na matimu haya.
 
Safi mkuu, sasa ungana nami ktk kampeni hii, im serious aboút nataka niandike waraka maalumu kwa media.

Em chukulia mfano Q chilla alivyorejea vyema ktk game na track yake "for you". Iko wapi sasa.??
Washabiki tushakua blind .. Najaribu kwenda mbali zaidi kama ngoma hiyo ingefanywa na either Kiba au Diamond...., my lord jesus...!!

Umeusikia wimbo wa Beutiful wa Quick Roca..? Ni next level, ila hatuna tunachosubiri sasa zaidi ya KIBA NA MONDI.


Hapana, nasistiza HAPANA. Hata kama wameturoga sasa mwisho.

Media ndio zina nafasi kubwa ya kumaliza hii ishu, but nazo zishaona hii ni kama biashara, wakipiga wimbo wa kiba watataka wapige na wa mondi. Nawahurumia wasanii wanaotoa track kali sahivi coz hawana chao, ningekuwa mimi ningejipa likizo kidogo kusikilizia huu upepo wa timu upite
 
Safi mkuu, sasa ungana nami ktk kampeni hii, im serious aboút nataka niandike waraka maalumu kwa media.

Em chukulia mfano Q chilla alivyorejea vyema ktk game na track yake "for you". Iko wapi sasa.??
Washabiki tushakua blind .. Najaribu kwenda mbali zaidi kama ngoma hiyo ingefanywa na either Kiba au Diamond...., my lord jesus...!!

Umeusikia wimbo wa Beutiful wa Quick Roca..? Ni next level, ila hatuna tunachosubiri sasa zaidi ya KIBA NA MONDI.


Hapana, nasistiza HAPANA. Hata kama wameturoga sasa mwisho.

Kinachomponza Q chillah ni conservatism yake katika kupromote mziki wake, Yeye pamoja na Management yake ya Qs Entertainment hawajafanya juhudi zozote kupromote kazi yake hiyo mpya, mfano tu ingia kwenye page ya Q chillah you will be shocked hata tu yeye hapost chochote kuhusu kazi yake hiyo mpya, himself anaamini katika riziki mafungu7 only that.
 
Hakuna cha team wala nini hawa watoto jamii ya mirror hawana system nzuri na music wao kuanzia uongozi mpaka mapromo

Na team hazivunjiki na mziki utasonga tu kwanza team zinastimulate ushindani
 
Mirror ni wa mda aisee, mara ya kwanza nilimuona kwenye fiesta ya 2012 ya Rickross, aliperform akapata shangwe za kutosha hasa za kina dada nikajua huyu mtoto ana damu nzuri atakuja kusumbua sana. But leo 2015 sioni hatua yoyote aliyopiga japo ana ngoma kali

Madam ndio anaemuua

Mbona dogo anakubarika sana tu
 
Hakuna cha team wala nini hawa watoto jamii ya mirror hawana system nzuri na music wao kuanzia uongozi mpaka mapromo

Na team hazivunjiki na mziki utasonga tu kwanza team zinastimulate ushindani

tatizo linastimulate upinzan wa watu wawili tu huku tukiwadidimiza wengine
 
Tatizo ana mcopy Rich mavoko,aje na style ya kipekee atang'ara.

utafiti una onyesha wasanii wanao kuja na swaga za kukopi hawatoboi kiviilee na mwisho wanaishia kapuni..

1.z anto -mb dog
2.steve rnb -nuruweli/rama D
3.Godzilla -50cent
4.Rachel -Rayc
5....endelea....

Diva - Ray c
Alikiba - Diamond
 
tatizo linastimulate upinzan wa watu wawili tu huku tukiwadidimiza wengine

Nani anaedidimizwa team zimeanza mwishoni mwa mwaka Jana

Je mirror ,quick racka na ao wengine hawakuwepo ?

Kuna mtu kamzungumzia quick racka , anajua kuimba ila anawaimbia mabraza men wenzake tofauti na mziki wa nasiib na Ali Kiba

Uyo q chillah ameridhika iyo audio ina miezi mingi lakini watu wengi wameijua juzi baada ya kuachia video yake
 
media ndio zina nafasi kubwa ya kumaliza hii ishu, but nazo zishaona hii ni kama biashara, wakipiga wimbo wa kiba watataka wapige na wa mondi. Nawahurumia wasanii wanaotoa track kali sahivi coz hawana chao, ningekuwa mimi ningejipa likizo kidogo kusikilizia huu upepo wa timu upite

tuna nafasi pia, hili inabidi likome., sisi wenyewe ndo wakustopisha ujinga huu.
 
kinachomponza q chillah ni conservatism yake katika kupromote mziki wake, yeye pamoja na management yake ya qs entertainment hawajafanya juhudi zozote kupromote kazi yake hiyo mpya, mfano tu ingia kwenye page ya q chillah you will be shocked hata tu yeye hapost chochote kuhusu kazi yake hiyo mpya, himself anaamini katika riziki mafungu7 only that.
kama umenisoma vizuri hapo juu , utaku umepata jibu ya hlo.

Huu ugonjwa wa kiba na mondi unatafuna vibaya sana.
 
Hakuna cha team wala nini hawa watoto jamii ya mirror hawana system nzuri na music wao kuanzia uongozi mpaka mapromo

Na team hazivunjiki na mziki utasonga tu kwanza team zinastimulate ushindani

Wewe ni abdu kiba, so ntajichosha bure.

Ila kama kuna point umeing'amua hapo work on it.
 
Wewe ni abdu kiba, so ntajichosha bure.

Ila kama kuna point umeing'amua hapo work on it.

Point !!
Munatakaje ? Daily ngoma zao akina mirror zinapigwa kwenye radio na TV stations hapa bongo
Sio kwamba wasanii woote watazungumziwa kwenye vyombo vya habari ila wachache tu miongoni mwao

Uteam munauonea bure ndugu zangu
 
Back
Top Bottom