Namquote diamond at xxl clouds
""hivi vitu vinatokea, na kila binadamu anauhuru wake yupi amshabikie, na hizi team ni nzuri, na kama mtu unaakili huwezi kuzitumia vibaya""
(nadhani hapa alimaanisha matusi ambayo kwa instagram ndio imekuwa too much, pamoja na fitna na chuki tunazowekeana kati yetu, something which is so pathetic.. nawaombeni tuwe na akili na kuondoa upuuzi wote huo)
""na nichachokiamini mimi ni kwamba changamoto sikuzote ndio chachu ya kukua mziki, lakini kwa huu ulinganishi uliopo hauwezi kuinua industry yetu, ni wakati sasa waanze kushindanisha na wasanii wa nje kama mimi niweke na davido mwingine muweke na wizkid etc"""
MY TAKE;
Hizi team ziendelee, na kwa sababu Alikiba na Diamond wameshakiri kuwa hawana tofauti kati yao basi ninawaomba wanajamvi wenzangu kila mmoja wetu ajiheshimu tusikashifiane, wala kudharauliana iwe mwisho hata wa maneno ya kejeli (ndomo, kibakuli etc.)
Tuelewe tu kwamba ubora wa alikiba kipimo chake si diamond, wala ubora wa diamond kipimo chake si kiba... Tukikubaliana kwa pamoja hapo basi kila mmoja ampe hadhi mwanamuziki anayemkubali yeye binafsi ndio kipimo na si vema kuwafananisha Je mnawaona wakina wizkid, na davido miungu watu wamezaliwa na huu muziki tusiwafananishe nao???
Acheni ukuda ni suala na kujiheshimu na kuacha uchawi kukesha kukashifiana...