Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,592
- 15,488
Namquote diamond at xxl clouds
""hivi vitu vinatokea, na kila binadamu anauhuru wake yupi amshabikie, na hizi team ni nzuri, na kama mtu unaakili huwezi kuzitumia vibaya""
(nadhani hapa alimaanisha matusi ambayo kwa instagram ndio imekuwa too much, pamoja na fitna na chuki tunazowekeana kati yetu, something which is so pathetic.. nawaombeni tuwe na akili na kuondoa upuuzi wote huo)
""na nichachokiamini mimi ni kwamba changamoto sikuzote ndio chachu ya kukua mziki, lakini kwa huu ulinganishi uliopo hauwezi kuinua industry yetu, ni wakati sasa waanze kushindanisha na wasanii wa nje kama mimi niweke na davido mwingine muweke na wizkid etc"""
MY TAKE;
Hizi team ziendelee, na kwa sababu Alikiba na Diamond wameshakiri kuwa hawana tofauti kati yao basi ninawaomba wanajamvi wenzangu kila mmoja wetu ajiheshimu tusikashifiane, wala kudharauliana iwe mwisho hata wa maneno ya kejeli (ndomo, kibakuli etc.)
Tuelewe tu kwamba ubora wa alikiba kipimo chake si diamond, wala ubora wa diamond kipimo chake si kiba... Tukikubaliana kwa pamoja hapo basi kila mmoja ampe hadhi mwanamuziki anayemkubali yeye binafsi ndio kipimo na si vema kuwafananisha Je mnawaona wakina wizkid, na davido miungu watu wamezaliwa na huu muziki tusiwafananishe nao???
Acheni ukuda ni suala na kujiheshimu na kuacha uchawi kukesha kukashifiana...
Na kingine mashabiki wa diamond mkome kabisa kumtukana mtu malaya wakati hata ukucha wake hamuujui, mkome kututukania baba na mama zetu, mkome kukutukania watoto na viungo vyetu.Mkome kutukana akili na fikra zetu.Mkiona mnashabikia msanii bora kabisa acheni na huyo duni apate japo mashabiki.
Mkome kabisa uchokozi na utoto usio na tija
Mkome kabisa hapo tutaelewana.Kana unakuwa huna hoja ya msingi bora ukae kimya Mkome kuona msanii fulani anataka kushushwa kisa msanii mwingine anapata credit japo kwa kidogo anachofanya.
Kingine kabisa data ana hoja nzuri na kuna mengi ya kujifunza.
Kuna watu wazima kabisa wana abudu team.Wapo blinded mpaka hawaoni mbele wala nyuma. Pathetic.Mi najifunza kwake ingawa namsupport Kiba nawasupport pia wasanii wengine wazuri.
Mziki wa bongo ni zaidi ya dai na Kiba.
Last edited by a moderator: