Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,371
heri mimi na baba tunatibiwa india.:lol:
Si ndo maanakd ingekuwa mnatibiwa hapahapa msingesubiria yote haya yatokee
heri mimi na baba tunatibiwa india.:lol:
Hivi kiapo chao si ni kulinda maisha???? Sasa unalinda maisha ya wagonjwa kwa kuwaacha wafe? So kama Serikali haiwasikilizi, nani aanaathirika na mgomo huu, ni viongozi wa serikali kweli? Huyu Jack and Jill kakosa nini? Shame on you. Mwogopeni Mungu aliyewapa talanta yake na nyinyi mnaifukia!
Hawa madakatari wanatakiwa wauliwe, ni magaidi wanaocheza na roho na maumivu ya watu.
Hauwezi kabisa kila siku ukaja na malalamiko mapya ukae uchekewe tu. Nawaomba sana serikali isiwasikilize kabisa na iwape 2 hours wawepo kwenye kazi zao nje ya hapo, wachukuliwe hatua kali sana ikiwepo na kushtakiwa kwa kila kifo kitachotokea wakati wa mgomo, wakasote jela wakijibu kesi za mauaji.
haya ndiyo yaliyotokea nyuma ya paziaWakati kikao cha specialists kikiendelea ukumbi wa russian culture kiongozi mmoja wa serikali kakosa utulivu na kuzengeazengea eneo hilo zaidi ya mara tatu! Kulikoni?? Hii ya leo kali zaidi, ni total tools down!
kwa wale msioamini naomba mtembelee muhimbili.habari zinasema huu mgomo wa leo umezidi ule wa kwanza.madaktari wote wamerespond,specialist wanaendelea na kikao.
Hawa madakatari wanatakiwa wauliwe, ni magaidi wanaocheza na roho na maumivu ya watu.
Hauwezi kabisa kila siku ukaja na malalamiko mapya ukae uchekewe tu. Nawaomba sana serikali isiwasikilize kabisa na iwape 2 hours wawepo kwenye kazi zao nje ya hapo, wachukuliwe hatua kali sana ikiwepo na kushtakiwa kwa kila kifo kitachotokea wakati wa mgomo, wakasote jela wakijibu kesi za mauaji.
Hii si hali ya kushangilia hata kidogo.Imagine uko hosp na hali mbaya then mgomo unatokea,then imagine unaumwa sasa na kuna mgomo!Imagine wagonjwa walioko hosp!imagine.
Lkn madoc c wakulaumiwa,kwani hii ndio njia ya kushinikiza kusikilizwa pale sirikali isiyojali watu wake inapopuuza walipakodi wake!Acha tufe kwa ukombozi wa watakaobaki.Huu ndio msimamo tuliotakiwa kuwanao watz wote,maana wengine tuna hali ngumu pia lkn eti tunaitetea serikali haina pesa!Nani kasema?wanazila wachache tu!
Serikali inawang'ang'ania waziri na naibu wake as if ni wao pekee ndo wanaweza kuongoza wizara.
Wapi Vimon na Dr. Clinton watupe updates.
mgomo wa kwanza ndugu zetu walikufa lakini ndugu wa madaktari wakahudumiwa na kuponywa..... nothing to lose
wengi mnaojadili humu mnajadili kwa upana mdogo sana, lamsingi madfaktari waangalie mipaka ya majukumu yao, wao ni wataalamu, hawawezi kumpangia Raisi nani wa kumpa wizara na nani wa kumtoa, na Raisi akiwakubalia matwakwa yao ya kuwaondoa mawaziri atakuwa hajatumia busara, nawasihi madaktari wasilegee kwenye kudai maslahi yao na waboreshewe mazingira yao ya kazi, lakini wasijiingize kwenye mambo ya kisiasa wawaachie wanasiasa mambo yao.
Kwa hili sielwei nipo upande gani
Mara tu baada ya uchaguzi mkuu kumalizika na Jakaya kuingia Ikulu, chama fulani cha siasa kilitangaza kwamba kitahakikisha nchi yetu haitawaliki tena. Hivyo sintashangaa kuona haya yanayotokea. Lakini wanaokufa kwa kukosa huduma za madaktari si CCM pekee yetu bali Watanzania wote.