kasimba123
JF-Expert Member
- Apr 18, 2010
- 1,753
- 816
nahisi Slaa ni nabii maana maono aliyosema yanatimia
Ina maana hili suala la madaktari halina ufumbuzi?
Habari nilizozipokea sasa hivi kwa njia ya SMS kutoka kwa doctor mmoja pale Mhimbili zinasema hivi,nanukuu,"Hii ya sasa ni bab kubwa responce ni 100% MPAKA EMERGENCY,intern ndio wamemaliza kikao chao cha kupeana moyo na specialist ndio wanaanza Russian culture nw..together we can make it" mwisho wa kunukuu sms niliyoipokea.
My take; hivi serikali ina shindana na madaktari kwa ajili ya maslahi ya kisiasa? au inatakiwa kulinda afya za wananchi wake?
Maana kama mawaziri wamelalamikiwa na ni kweli wameshindwa kuwajibika kwa nini waendelee kuwepo hapo?na je inawezekanaje kupokea malalamiko ambayo kimsingi wao ndio wanalalamikiwa na kisha wakayafanyia kazi?
Nawasilisha wadau
Ni upuuzi kumpa masharti rais.
Kuna Mitanzania mingine ina wivu wa Kike (Mkapa) na inawaonea wivu Madaktari wetu kwa kuiendesha Serikali yetu na kuinyima usingizi. Hii haijawahi kutokea kwa Serikali ya CCM ukiacha wale Machalii walitaka kumuua Nyerere na kumpindua enzi za akina Ngaiza sijui na yule Comandoo aliyeuawa.
Kama Madaktari hawataki kufanya kazi kwani ni lazima?
Nchi huru hii na hakuna anayesema Rais analazimishwa kumfukuza Waziri wa Afya kazi.
Hapa mambo yako wazi, au Madaktari warudi kazini au Waziri na jamaa zake watemwe kwenye vyeo vyao.
Mbona hamuwashupalii hao watu wanaokataa kuachia ngazi? Sisi pia hatuwashupalii. Poleni mtakaofiwa katika hii vita na poleni mtakaoteseka katika hii vita. Ukishakufa, hata kama maiti yako itatupwa kama Umbwa na kusahauliwa palepale kama vile huna ndugu (Makassy) basi wala hujali maana mwili umebaki pekee na Roho imeshajiondokea.
Mnaowaonea wiFu Madokta, haki ya nani mchukue tu Kamba, ila ziwe nene za kutosha na imara pia - MJINYONGE.
Ni upuuzi kumpa masharti rais.
hapo mkuu inabidi utafute contacts za Mzee Ali H. Mwnyi (sio Hussein) alikuwepo huko Shinyanga mpaka alazimike kujiuzulu!Hivi hawa Mawaziri wanaotakiwa kuondolewa wao taaluma yao ni nini? Wote huwa nasikia wanaitwa Daktari, au sivyo? Wakiondolewa Madokta hawa tumpeleke nani pale? Wasira au Chenge? Maana kama Madakitari wote hawafai kuanzia Dr. Mtasiwa, Nkya na Mponda basi Baraza likivunjwa tuweke Mawaziri wenye taaluma tofauti. Kwa maoni yangu hii approach ya kutaka Waziri ajiuzuru eti kwa sababu alitamka maneno ambayo Madokta wameona yanawakera ni kuonyesha kutofahamu vyema dhana ya kuendesha Serikali. Kwani hawa ndio wameshindwa kununua vifaa vya mahospitali na madawa? Je, hawa ndio wanapanga mishahara ya Madaktari? Kwani mbona uongozi wa TUGHE una madaktari, kwanini wasingeanza na hao kwa kushindwa kuwatetea ili kuboresha hali zao? I am totally buffled by these senseless arguments. Kwani waliposhinikiza mwanzo na kupelekea Nyoni na Mtasiwa kuondolewa, kuna faida gani imepatikana? Sasa ni zamu ya Nkya na Mponda, kesho itakuwa ya Pinda na Bilali. Next itakuwa ya Kikwete na Mkuu serikali yake yote. Then we will leave at the mercy of Doctors! Come on Drs, go back to work and use lawful means to present your grievances!:A S embarassed:
kweli wanainchi tunateseka
ukiwaambia tubadilishe huu mfumo wa utawala na siasa,mnaaza kusema hakuna mbadala wa chama
tunahitaji sana kuwaelimisha wasiolewa kutowachagua washenzi wa siasa za maji taka ili tuwape akili
ona sasa vita ya panzi na kunguru tunaumie sie wanainchi!!
kwakweli nasikitika sana
Hivi hawa Mawaziri wanaotakiwa kuondolewa wao taaluma yao ni nini? Wote huwa nasikia wanaitwa Daktari, au sivyo? Wakiondolewa Madokta hawa tumpeleke nani pale? Wasira au Chenge? Maana kama Madakitari wote hawafai kuanzia Dr. Mtasiwa, Nkya na Mponda basi Baraza likivunjwa tuweke Mawaziri wenye taaluma tofauti. Kwa maoni yangu hii approach ya kutaka Waziri ajiuzuru eti kwa sababu alitamka maneno ambayo Madokta wameona yanawakera ni kuonyesha kutofahamu vyema dhana ya kuendesha Serikali. Kwani hawa ndio wameshindwa kununua vifaa vya mahospitali na madawa? Je, hawa ndio wanapanga mishahara ya Madaktari? Kwani mbona uongozi wa TUGHE una madaktari, kwanini wasingeanza na hao kwa kushindwa kuwatetea ili kuboresha hali zao? I am totally buffled by these senseless arguments. Kwani waliposhinikiza mwanzo na kupelekea Nyoni na Mtasiwa kuondolewa, kuna faida gani imepatikana? Sasa ni zamu ya Nkya na Mponda, kesho itakuwa ya Pinda na Bilali. Next itakuwa ya Kikwete na Mkuu serikali yake yote. Then we will leave at the mercy of Doctors! Come on Drs, go back to work and use lawful means to present your grievances!:A S embarassed:
uwaue madaktari? halafu utawatibu wananchi kwa masaburi yako? sitashangaa ukini ndambia kuwa unafanay kazi ukulu. sishangai kabisa ndio type ya watu mnaoongoza nchi