DOKEZO Yadaiwa kuwa sababu za vifo vya Mama na Mtoto kuongezeka Hospitali ya Bugando ni mgomo 'baridi' wa Madaktari Bingwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Torra Siabba

Senior Member
Jul 24, 2016
105
102
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) inaelezwa kuwa Wanawake takribani 287,000 hadi 300,000 hufariki wakati wa ujauzito na kujifungua na zaidi ya Watoto milioni mbili hufariki katika siku 28 za mwanzo baada ya kuzaliwa. Takwimu hizo ni za Mwaka 2020.

Takwimu hizo zimenisukuma kutoa ya moyoni kuhusu hospitali yetu pendwa ya rufaa ya Bugando iliyoko Jijini Mwanza ambapo naona tatizo linazidi kukuwa.

Kuna taarifa kwamba baadhi ya wakina Mama wanaojifungua kwa oparesheni katika Hospitali ya Bugando waliowengi wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari bingwa wa upasuaji kutolipwa stahiki zao kwa wakati jambo ambalo lina athari kubwa kwa jamii yetu maana kama wasipolipwa tutapoteza wagonjwa wangapi?

Taarifa nilizonazo ni kuwa hata viongozi wa Hospitali ya Bugando wanalijua hili suala la Wanawake wenye kujifungua kwa oparesheni kwamba hawapati huduma ipasavyo, hivyo viongozi waamke kabla hospitali ile haijaingia kwenye rekodi ya Hospitali inayoongoza kwa vifo vya Mama na mtoto wakati wa kujifungua.

Jambo hili halizungumzwi lakini ndio ukweli wenyewe huo, mamlaka zifike hospitalini hapo na kufanya uchunguzi.

Kingine, hao Madaktari Bingwa wamekuwa wakiwaacha wagonjwa mikononi mwa madaktati ambao wako field (wanaojifunza kwa vitendo) wanaosoma Chuo cha Bugando bila kuwa na usimamizi wa mtaalam au wataalam zaidi yao, jambo ambalo ni hatari kwani Mwanafunzi anakuwa hana ujuzi wa kutosha.

Bugando iachane na tabia za kushindwa kuwahudumia akina mama wajawazito na wale wanaojifungua kwa uparesheni kwani wanategemewa na sehemu kubwa ya nchi yetu kwa kutoa huduma za kitabibu.

Serikali ya Rais Samia ifanye jambo kuhusu Hospitali ya Bugando, kwa hiki kinachoendelea kama kikisambaa, itamaanisha kuwa litakuwa pigo kubwa kwa sio tu kwa Mwanza au Kanda ya Ziwa bali Taifa kwa jumla.

Pia soma: DOKEZO - Hospitali ya Bugando hamuwaoni Manesi wanaoacha kuhudumia Wagonjwa na kuwa bize na Biashara kwa Wajawazito?

=================

Updates...

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Thomas Rutachunzibwa alipoulizwa kuhusu madai hayo alisema hana hizo taarifa lakini atafuatilia, baadaye alipotafutwa akasema atafutwe Mkurugenzi wa Bugando ndiye anaweza kutoa ufafanuzi wa suala hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Bugando, Dkt Fabian Massaga alipoulizwa kuhusu hoja za Mdau akasema “Onana na PRO atakupa ufafanuzi wa kutosha.”

Upande wa Afisa Uhusiano wa Umma wa Hospitali ya Bugando, Evelyne Mahalu amesema “Tunalifanyia kazi kujua ukweli wake, pia BMC ni Taasisi inayosimamia taratibu na miongozo ya Nchi katika suala zima la kuzuia vifo vya mama na mtoto.”
 
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) inaelezwa kuwa Wanawake takribani 287,000 hadi 300,000 hufariki wakati wa ujauzito na kujifungua na zaidi ya Watoto milioni mbili hufariki katika siku 28 za mwanzo baada ya kuzaliwa. Takwimu hizo ni za Mwaka 2020.

Takwimu hizo zimenisukuma kutoa ya moyoni kuhusu hospitali yetu pendwa ya rufaa ya Bugando iliyoko Jijini Mwanza ambapo naona tatizo linazidi kukuwa.

Kuna taarifa kwamba baadhi ya wakina Mama wanaojifungua kwa oparesheni katika Hospitali ya Bugando waliowengi wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari bingwa wa upasuaji kutolipwa stahiki zao kwa wakati jambo ambalo lina athari kubwa kwa jamii yetu maana kama wasipolipwa tutapoteza wagonjwa wangapi?

Taarifa nilizonazo ni kuwa hata viongozi wa Hospitali ya Bugando wanalijua hili suala la Wanawake wenye kujifungua kwa oparesheni kwamba hawapati huduma ipasavyo, hivyo viongozi waamke kabla hospitali ile haijaingia kwenye rekodi ya Hospitali inayoongoza kwa vifo vya Mama na mtoto wakati wa kujifungua.

Jambo hili halizungumzwi lakini ndio ukweli wenyewe huo, mamlaka zifike hospitalini hapo na kufanya uchunguzi.

Kingine, hao Madaktari Bingwa wamekuwa wakiwaacha wagonjwa mikononi mwa madaktati ambao wako field (wanaojifunza kwa vitendo) wanaosoma Chuo cha Bugando bila kuwa na usimamizi wa mtaalam au wataalam zaidi yao, jambo ambalo ni hatari kwani Mwanafunzi anakuwa hana ujuzi wa kutosha.

Bugando iachane na tabia za kushindwa kuwahudumia akina mama wajawazito na wale wanaojifungua kwa uparesheni kwani wanategemewa na sehemu kubwa ya nchi yetu kwa kutoa huduma za kitabibu.

Serikali ya Rais Samia ifanye jambo kuhusu Hospitali ya Bugando, kwa hiki kinachoendelea kama kikisambaa, itamaanisha kuwa litakuwa pigo kubwa kwa sio tu kwa Mwanza au Kanda ya Ziwa bali Taifa kwa jumla.

Pia soma: DOKEZO - Hospitali ya Bugando hamuwaoni Manesi wanaoacha kuhudumia Wagonjwa na kuwa bize na Biashara kwa Wajawazito?

=================

Updates...

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Thomas Rutachunzibwa alipoulizwa kuhusu madai hayo alisema hana hizo taarifa lakini atafuatilia, baadaye alipotafutwa akasema atafutwe Mkurugenzi wa Bugando ndiye anaweza kutoa ufafanuzi wa suala hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Bugando, Dkt Fabian Massaga alipoulizwa kuhusu hoja za Mdau akasema “Onana na PRO atakupa ufafanuzi wa kutosha.”

Upande wa Afisa Uhusiano wa Umma wa Hospitali ya Bugando, Evelyne Mahalu amesema “Tunalifanyia kazi kujua ukweli wake, pia BMC ni Taasisi inayosimamia taratibu na miongozo ya Nchi katika suala zima la kuzuia vifo vya mama na mtoto.”
Bugando ni Taasisi ambayo imefanya mambo makubwa sana na Mkurugenzi mkuu amejitahidi sana kuboresha huduma na miundombinu hivyo anaupiga mwingi sana..vifaa tiba vimeongezeka kwa kasi ya ajabu,imezidi kupanua huduma zake kwa kufungua mayawi mengine hasa Bugando Specialized Polyclinic ili iweze kuwa hudumia wananchi wote,Inawapa mazingira mazuri watumisho wake ya kufanya kazi na pia ni taasisi inayozidi kuboresha mahusiano kati ya taasisi za ndani na nje ya nchi
 
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) inaelezwa kuwa Wanawake takribani 287,000 hadi 300,000 hufariki wakati wa ujauzito na kujifungua na zaidi ya Watoto milioni mbili hufariki katika siku 28 za mwanzo baada ya kuzaliwa. Takwimu hizo ni za Mwaka 2020.

Takwimu hizo zimenisukuma kutoa ya moyoni kuhusu hospitali yetu pendwa ya rufaa ya Bugando iliyoko Jijini Mwanza ambapo naona tatizo linazidi kukuwa.

Kuna taarifa kwamba baadhi ya wakina Mama wanaojifungua kwa oparesheni katika Hospitali ya Bugando waliowengi wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari bingwa wa upasuaji kutolipwa stahiki zao kwa wakati jambo ambalo lina athari kubwa kwa jamii yetu maana kama wasipolipwa tutapoteza wagonjwa wangapi?

Taarifa nilizonazo ni kuwa hata viongozi wa Hospitali ya Bugando wanalijua hili suala la Wanawake wenye kujifungua kwa oparesheni kwamba hawapati huduma ipasavyo, hivyo viongozi waamke kabla hospitali ile haijaingia kwenye rekodi ya Hospitali inayoongoza kwa vifo vya Mama na mtoto wakati wa kujifungua.

Jambo hili halizungumzwi lakini ndio ukweli wenyewe huo, mamlaka zifike hospitalini hapo na kufanya uchunguzi.

Kingine, hao Madaktari Bingwa wamekuwa wakiwaacha wagonjwa mikononi mwa madaktati ambao wako field (wanaojifunza kwa vitendo) wanaosoma Chuo cha Bugando bila kuwa na usimamizi wa mtaalam au wataalam zaidi yao, jambo ambalo ni hatari kwani Mwanafunzi anakuwa hana ujuzi wa kutosha.

Bugando iachane na tabia za kushindwa kuwahudumia akina mama wajawazito na wale wanaojifungua kwa uparesheni kwani wanategemewa na sehemu kubwa ya nchi yetu kwa kutoa huduma za kitabibu.

Serikali ya Rais Samia ifanye jambo kuhusu Hospitali ya Bugando, kwa hiki kinachoendelea kama kikisambaa, itamaanisha kuwa litakuwa pigo kubwa kwa sio tu kwa Mwanza au Kanda ya Ziwa bali Taifa kwa jumla.

Pia soma: DOKEZO - Hospitali ya Bugando hamuwaoni Manesi wanaoacha kuhudumia Wagonjwa na kuwa bize na Biashara kwa Wajawazito?

=================

Updates...

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Thomas Rutachunzibwa alipoulizwa kuhusu madai hayo alisema hana hizo taarifa lakini atafuatilia, baadaye alipotafutwa akasema atafutwe Mkurugenzi wa Bugando ndiye anaweza kutoa ufafanuzi wa suala hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Bugando, Dkt Fabian Massaga alipoulizwa kuhusu hoja za Mdau akasema “Onana na PRO atakupa ufafanuzi wa kutosha.”

Upande wa Afisa Uhusiano wa Umma wa Hospitali ya Bugando, Evelyne Mahalu amesema “Tunalifanyia kazi kujua ukweli wake, pia BMC ni Taasisi inayosimamia taratibu na miongozo ya Nchi katika suala zima la kuzuia vifo vya mama na mtoto.”
Bugando ni taasisi inayotoa huduma zake kwa huruma na upendo na ni taasisi ambayo haijawahi kuchelewesha au kuacha kufanya malipo kwa watumishi wake ni taasisi inayoongoza kutoa malipo kwa watumishi wake hivyo si kweli kwamba madaktari bingwa wamegoma kufanya upasuaji wa wajawazito kwasababu wamecheleweshewa malipo
 
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) inaelezwa kuwa Wanawake takribani 287,000 hadi 300,000 hufariki wakati wa ujauzito na kujifungua na zaidi ya Watoto milioni mbili hufariki katika siku 28 za mwanzo baada ya kuzaliwa. Takwimu hizo ni za Mwaka 2020.

Takwimu hizo zimenisukuma kutoa ya moyoni kuhusu hospitali yetu pendwa ya rufaa ya Bugando iliyoko Jijini Mwanza ambapo naona tatizo linazidi kukuwa.

Kuna taarifa kwamba baadhi ya wakina Mama wanaojifungua kwa oparesheni katika Hospitali ya Bugando waliowengi wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari bingwa wa upasuaji kutolipwa stahiki zao kwa wakati jambo ambalo lina athari kubwa kwa jamii yetu maana kama wasipolipwa tutapoteza wagonjwa wangapi?

Taarifa nilizonazo ni kuwa hata viongozi wa Hospitali ya Bugando wanalijua hili suala la Wanawake wenye kujifungua kwa oparesheni kwamba hawapati huduma ipasavyo, hivyo viongozi waamke kabla hospitali ile haijaingia kwenye rekodi ya Hospitali inayoongoza kwa vifo vya Mama na mtoto wakati wa kujifungua.

Jambo hili halizungumzwi lakini ndio ukweli wenyewe huo, mamlaka zifike hospitalini hapo na kufanya uchunguzi.

Kingine, hao Madaktari Bingwa wamekuwa wakiwaacha wagonjwa mikononi mwa madaktati ambao wako field (wanaojifunza kwa vitendo) wanaosoma Chuo cha Bugando bila kuwa na usimamizi wa mtaalam au wataalam zaidi yao, jambo ambalo ni hatari kwani Mwanafunzi anakuwa hana ujuzi wa kutosha.

Bugando iachane na tabia za kushindwa kuwahudumia akina mama wajawazito na wale wanaojifungua kwa uparesheni kwani wanategemewa na sehemu kubwa ya nchi yetu kwa kutoa huduma za kitabibu.

Serikali ya Rais Samia ifanye jambo kuhusu Hospitali ya Bugando, kwa hiki kinachoendelea kama kikisambaa, itamaanisha kuwa litakuwa pigo kubwa kwa sio tu kwa Mwanza au Kanda ya Ziwa bali Taifa kwa jumla.

Pia soma: DOKEZO - Hospitali ya Bugando hamuwaoni Manesi wanaoacha kuhudumia Wagonjwa na kuwa bize na Biashara kwa Wajawazito?

=================

Updates...

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Thomas Rutachunzibwa alipoulizwa kuhusu madai hayo alisema hana hizo taarifa lakini atafuatilia, baadaye alipotafutwa akasema atafutwe Mkurugenzi wa Bugando ndiye anaweza kutoa ufafanuzi wa suala hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Bugando, Dkt Fabian Massaga alipoulizwa kuhusu hoja za Mdau akasema “Onana na PRO atakupa ufafanuzi wa kutosha.”

Upande wa Afisa Uhusiano wa Umma wa Hospitali ya Bugando, Evelyne Mahalu amesema “Tunalifanyia kazi kujua ukweli wake, pia BMC ni Taasisi inayosimamia taratibu na miongozo ya Nchi katika suala zima la kuzuia vifo vya mama na mtoto.”
Wagonjwa wanapofika katika hospitali ya Bugando hasa wajawazito wanatibiwa bila vikwazo, mama haweziacha kuhudumiwa kwasababu ya kununua nguo, si kweli japokuwa wanafuatilia
 
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) inaelezwa kuwa Wanawake takribani 287,000 hadi 300,000 hufariki wakati wa ujauzito na kujifungua na zaidi ya Watoto milioni mbili hufariki katika siku 28 za mwanzo baada ya kuzaliwa. Takwimu hizo ni za Mwaka 2020.

Takwimu hizo zimenisukuma kutoa ya moyoni kuhusu hospitali yetu pendwa ya rufaa ya Bugando iliyoko Jijini Mwanza ambapo naona tatizo linazidi kukuwa.

Kuna taarifa kwamba baadhi ya wakina Mama wanaojifungua kwa oparesheni katika Hospitali ya Bugando waliowengi wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari bingwa wa upasuaji kutolipwa stahiki zao kwa wakati jambo ambalo lina athari kubwa kwa jamii yetu maana kama wasipolipwa tutapoteza wagonjwa wangapi?

Taarifa nilizonazo ni kuwa hata viongozi wa Hospitali ya Bugando wanalijua hili suala la Wanawake wenye kujifungua kwa oparesheni kwamba hawapati huduma ipasavyo, hivyo viongozi waamke kabla hospitali ile haijaingia kwenye rekodi ya Hospitali inayoongoza kwa vifo vya Mama na mtoto wakati wa kujifungua.

Jambo hili halizungumzwi lakini ndio ukweli wenyewe huo, mamlaka zifike hospitalini hapo na kufanya uchunguzi.

Kingine, hao Madaktari Bingwa wamekuwa wakiwaacha wagonjwa mikononi mwa madaktati ambao wako field (wanaojifunza kwa vitendo) wanaosoma Chuo cha Bugando bila kuwa na usimamizi wa mtaalam au wataalam zaidi yao, jambo ambalo ni hatari kwani Mwanafunzi anakuwa hana ujuzi wa kutosha.

Bugando iachane na tabia za kushindwa kuwahudumia akina mama wajawazito na wale wanaojifungua kwa uparesheni kwani wanategemewa na sehemu kubwa ya nchi yetu kwa kutoa huduma za kitabibu.

Serikali ya Rais Samia ifanye jambo kuhusu Hospitali ya Bugando, kwa hiki kinachoendelea kama kikisambaa, itamaanisha kuwa litakuwa pigo kubwa kwa sio tu kwa Mwanza au Kanda ya Ziwa bali Taifa kwa jumla.

Pia soma: DOKEZO - Hospitali ya Bugando hamuwaoni Manesi wanaoacha kuhudumia Wagonjwa na kuwa bize na Biashara kwa Wajawazito?

=================

Updates...

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Thomas Rutachunzibwa alipoulizwa kuhusu madai hayo alisema hana hizo taarifa lakini atafuatilia, baadaye alipotafutwa akasema atafutwe Mkurugenzi wa Bugando ndiye anaweza kutoa ufafanuzi wa suala hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Bugando, Dkt Fabian Massaga alipoulizwa kuhusu hoja za Mdau akasema “Onana na PRO atakupa ufafanuzi wa kutosha.”

Upande wa Afisa Uhusiano wa Umma wa Hospitali ya Bugando, Evelyne Mahalu amesema “Tunalifanyia kazi kujua ukweli wake, pia BMC ni Taasisi inayosimamia taratibu na miongozo ya Nchi katika suala zima la kuzuia vifo vya mama na mtoto.”
Mkurugenzi mkuu ambaye pia ni mwenyekiti wa Kanda ya ziwa kwa upande wa Afya ya mama na mtoto anafanya kazi kubwa sana na hana uvumilivu kabisa katika swala zima la vifo vya mama na mtoto hivyo Bugando inajitahidi sana na imefanya jitihada kubwa kuondoa vifo vya mama na mtoto kwani inasimamia miongozo na taratibu za nchi yetu kutokomeza kabisa vifo vya mama na watoto
 
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) inaelezwa kuwa Wanawake takribani 287,000 hadi 300,000 hufariki wakati wa ujauzito na kujifungua na zaidi ya Watoto milioni mbili hufariki katika siku 28 za mwanzo baada ya kuzaliwa. Takwimu hizo ni za Mwaka 2020.

Takwimu hizo zimenisukuma kutoa ya moyoni kuhusu hospitali yetu pendwa ya rufaa ya Bugando iliyoko Jijini Mwanza ambapo naona tatizo linazidi kukuwa.

Kuna taarifa kwamba baadhi ya wakina Mama wanaojifungua kwa oparesheni katika Hospitali ya Bugando waliowengi wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari bingwa wa upasuaji kutolipwa stahiki zao kwa wakati jambo ambalo lina athari kubwa kwa jamii yetu maana kama wasipolipwa tutapoteza wagonjwa wangapi?

Taarifa nilizonazo ni kuwa hata viongozi wa Hospitali ya Bugando wanalijua hili suala la Wanawake wenye kujifungua kwa oparesheni kwamba hawapati huduma ipasavyo, hivyo viongozi waamke kabla hospitali ile haijaingia kwenye rekodi ya Hospitali inayoongoza kwa vifo vya Mama na mtoto wakati wa kujifungua.

Jambo hili halizungumzwi lakini ndio ukweli wenyewe huo, mamlaka zifike hospitalini hapo na kufanya uchunguzi.

Kingine, hao Madaktari Bingwa wamekuwa wakiwaacha wagonjwa mikononi mwa madaktati ambao wako field (wanaojifunza kwa vitendo) wanaosoma Chuo cha Bugando bila kuwa na usimamizi wa mtaalam au wataalam zaidi yao, jambo ambalo ni hatari kwani Mwanafunzi anakuwa hana ujuzi wa kutosha.

Bugando iachane na tabia za kushindwa kuwahudumia akina mama wajawazito na wale wanaojifungua kwa uparesheni kwani wanategemewa na sehemu kubwa ya nchi yetu kwa kutoa huduma za kitabibu.

Serikali ya Rais Samia ifanye jambo kuhusu Hospitali ya Bugando, kwa hiki kinachoendelea kama kikisambaa, itamaanisha kuwa litakuwa pigo kubwa kwa sio tu kwa Mwanza au Kanda ya Ziwa bali Taifa kwa jumla.

Pia soma: DOKEZO - Hospitali ya Bugando hamuwaoni Manesi wanaoacha kuhudumia Wagonjwa na kuwa bize na Biashara kwa Wajawazito?

=================

Updates...

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Thomas Rutachunzibwa alipoulizwa kuhusu madai hayo alisema hana hizo taarifa lakini atafuatilia, baadaye alipotafutwa akasema atafutwe Mkurugenzi wa Bugando ndiye anaweza kutoa ufafanuzi wa suala hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Bugando, Dkt Fabian Massaga alipoulizwa kuhusu hoja za Mdau akasema “Onana na PRO atakupa ufafanuzi wa kutosha.”

Upande wa Afisa Uhusiano wa Umma wa Hospitali ya Bugando, Evelyne Mahalu amesema “Tunalifanyia kazi kujua ukweli wake, pia BMC ni Taasisi inayosimamia taratibu na miongozo ya Nchi katika suala zima la kuzuia vifo vya mama na mtoto.”
Bugando inajitahidi sana na imefanya jitihada kubwa kuondoa vifo vya mama na mtoto kwani inasimamia miongozo na utaratibu za nchi yetu kutokomeza kabisa vifo vya mama na mtoto
 
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) inaelezwa kuwa Wanawake takribani 287,000 hadi 300,000 hufariki wakati wa ujauzito na kujifungua na zaidi ya Watoto milioni mbili hufariki katika siku 28 za mwanzo baada ya kuzaliwa. Takwimu hizo ni za Mwaka 2020.

Takwimu hizo zimenisukuma kutoa ya moyoni kuhusu hospitali yetu pendwa ya rufaa ya Bugando iliyoko Jijini Mwanza ambapo naona tatizo linazidi kukuwa.

Kuna taarifa kwamba baadhi ya wakina Mama wanaojifungua kwa oparesheni katika Hospitali ya Bugando waliowengi wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari bingwa wa upasuaji kutolipwa stahiki zao kwa wakati jambo ambalo lina athari kubwa kwa jamii yetu maana kama wasipolipwa tutapoteza wagonjwa wangapi?

Taarifa nilizonazo ni kuwa hata viongozi wa Hospitali ya Bugando wanalijua hili suala la Wanawake wenye kujifungua kwa oparesheni kwamba hawapati huduma ipasavyo, hivyo viongozi waamke kabla hospitali ile haijaingia kwenye rekodi ya Hospitali inayoongoza kwa vifo vya Mama na mtoto wakati wa kujifungua.

Jambo hili halizungumzwi lakini ndio ukweli wenyewe huo, mamlaka zifike hospitalini hapo na kufanya uchunguzi.

Kingine, hao Madaktari Bingwa wamekuwa wakiwaacha wagonjwa mikononi mwa madaktati ambao wako field (wanaojifunza kwa vitendo) wanaosoma Chuo cha Bugando bila kuwa na usimamizi wa mtaalam au wataalam zaidi yao, jambo ambalo ni hatari kwani Mwanafunzi anakuwa hana ujuzi wa kutosha.

Bugando iachane na tabia za kushindwa kuwahudumia akina mama wajawazito na wale wanaojifungua kwa uparesheni kwani wanategemewa na sehemu kubwa ya nchi yetu kwa kutoa huduma za kitabibu.

Serikali ya Rais Samia ifanye jambo kuhusu Hospitali ya Bugando, kwa hiki kinachoendelea kama kikisambaa, itamaanisha kuwa litakuwa pigo kubwa kwa sio tu kwa Mwanza au Kanda ya Ziwa bali Taifa kwa jumla.

Pia soma: DOKEZO - Hospitali ya Bugando hamuwaoni Manesi wanaoacha kuhudumia Wagonjwa na kuwa bize na Biashara kwa Wajawazito?

=================

Updates...

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Thomas Rutachunzibwa alipoulizwa kuhusu madai hayo alisema hana hizo taarifa lakini atafuatilia, baadaye alipotafutwa akasema atafutwe Mkurugenzi wa Bugando ndiye anaweza kutoa ufafanuzi wa suala hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Bugando, Dkt Fabian Massaga alipoulizwa kuhusu hoja za Mdau akasema “Onana na PRO atakupa ufafanuzi wa kutosha.”

Upande wa Afisa Uhusiano wa Umma wa Hospitali ya Bugando, Evelyne Mahalu amesema “Tunalifanyia kazi kujua ukweli wake, pia BMC ni Taasisi inayosimamia taratibu na miongozo ya Nchi katika suala zima la kuzuia vifo vya mama na mtoto.”
Kwa
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) inaelezwa kuwa Wanawake takribani 287,000 hadi 300,000 hufariki wakati wa ujauzito na kujifungua na zaidi ya Watoto milioni mbili hufariki katika siku 28 za mwanzo baada ya kuzaliwa. Takwimu hizo ni za Mwaka 2020.

Takwimu hizo zimenisukuma kutoa ya moyoni kuhusu hospitali yetu pendwa ya rufaa ya Bugando iliyoko Jijini Mwanza ambapo naona tatizo linazidi kukuwa.

Kuna taarifa kwamba baadhi ya wakina Mama wanaojifungua kwa oparesheni katika Hospitali ya Bugando waliowengi wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari bingwa wa upasuaji kutolipwa stahiki zao kwa wakati jambo ambalo lina athari kubwa kwa jamii yetu maana kama wasipolipwa tutapoteza wagonjwa wangapi?

Taarifa nilizonazo ni kuwa hata viongozi wa Hospitali ya Bugando wanalijua hili suala la Wanawake wenye kujifungua kwa oparesheni kwamba hawapati huduma ipasavyo, hivyo viongozi waamke kabla hospitali ile haijaingia kwenye rekodi ya Hospitali inayoongoza kwa vifo vya Mama na mtoto wakati wa kujifungua.

Jambo hili halizungumzwi lakini ndio ukweli wenyewe huo, mamlaka zifike hospitalini hapo na kufanya uchunguzi.

Kingine, hao Madaktari Bingwa wamekuwa wakiwaacha wagonjwa mikononi mwa madaktati ambao wako field (wanaojifunza kwa vitendo) wanaosoma Chuo cha Bugando bila kuwa na usimamizi wa mtaalam au wataalam zaidi yao, jambo ambalo ni hatari kwani Mwanafunzi anakuwa hana ujuzi wa kutosha.

Bugando iachane na tabia za kushindwa kuwahudumia akina mama wajawazito na wale wanaojifungua kwa uparesheni kwani wanategemewa na sehemu kubwa ya nchi yetu kwa kutoa huduma za kitabibu.

Serikali ya Rais Samia ifanye jambo kuhusu Hospitali ya Bugando, kwa hiki kinachoendelea kama kikisambaa, itamaanisha kuwa litakuwa pigo kubwa kwa sio tu kwa Mwanza au Kanda ya Ziwa bali Taifa kwa jumla.

Pia soma: DOKEZO - Hospitali ya Bugando hamuwaoni Manesi wanaoacha kuhudumia Wagonjwa na kuwa bize na Biashara kwa Wajawazito?

=================

Updates...

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Thomas Rutachunzibwa alipoulizwa kuhusu madai hayo alisema hana hizo taarifa lakini atafuatilia, baadaye alipotafutwa akasema atafutwe Mkurugenzi wa Bugando ndiye anaweza kutoa ufafanuzi wa suala hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Bugando, Dkt Fabian Massaga alipoulizwa kuhusu hoja za Mdau akasema “Onana na PRO atakupa ufafanuzi wa kutosha.”

Upande wa Afisa Uhusiano wa Umma wa Hospitali ya Bugando, Evelyne Mahalu amesema “Tunalifanyia kazi kujua ukweli wake, pia BMC ni Taasisi inayosimamia taratibu na miongozo ya Nchi katika suala zima la kuzuia vifo vya mama na mtoto.”
Kwa ambao hamfahamu yule mkurugenzi wa Bugando ndie mwenyekiti wa kanda kwenye maswala ya afya ya Mama Wajawazito na watoto na amefanya kazi nzuri huyo alietoa taarifa mwambie akupe ushahidi ,sio kila swala la kuzua taharuki ,huduma za bugando kwa ambao tumetumia hospitali ile ni bora na sidhani kama kuna tatizo la huduma .
 
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) inaelezwa kuwa Wanawake takribani 287,000 hadi 300,000 hufariki wakati wa ujauzito na kujifungua na zaidi ya Watoto milioni mbili hufariki katika siku 28 za mwanzo baada ya kuzaliwa. Takwimu hizo ni za Mwaka 2020.

Takwimu hizo zimenisukuma kutoa ya moyoni kuhusu hospitali yetu pendwa ya rufaa ya Bugando iliyoko Jijini Mwanza ambapo naona tatizo linazidi kukuwa.

Kuna taarifa kwamba baadhi ya wakina Mama wanaojifungua kwa oparesheni katika Hospitali ya Bugando waliowengi wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari bingwa wa upasuaji kutolipwa stahiki zao kwa wakati jambo ambalo lina athari kubwa kwa jamii yetu maana kama wasipolipwa tutapoteza wagonjwa wangapi?

Taarifa nilizonazo ni kuwa hata viongozi wa Hospitali ya Bugando wanalijua hili suala la Wanawake wenye kujifungua kwa oparesheni kwamba hawapati huduma ipasavyo, hivyo viongozi waamke kabla hospitali ile haijaingia kwenye rekodi ya Hospitali inayoongoza kwa vifo vya Mama na mtoto wakati wa kujifungua.

Jambo hili halizungumzwi lakini ndio ukweli wenyewe huo, mamlaka zifike hospitalini hapo na kufanya uchunguzi.

Kingine, hao Madaktari Bingwa wamekuwa wakiwaacha wagonjwa mikononi mwa madaktati ambao wako field (wanaojifunza kwa vitendo) wanaosoma Chuo cha Bugando bila kuwa na usimamizi wa mtaalam au wataalam zaidi yao, jambo ambalo ni hatari kwani Mwanafunzi anakuwa hana ujuzi wa kutosha.

Bugando iachane na tabia za kushindwa kuwahudumia akina mama wajawazito na wale wanaojifungua kwa uparesheni kwani wanategemewa na sehemu kubwa ya nchi yetu kwa kutoa huduma za kitabibu.

Serikali ya Rais Samia ifanye jambo kuhusu Hospitali ya Bugando, kwa hiki kinachoendelea kama kikisambaa, itamaanisha kuwa litakuwa pigo kubwa kwa sio tu kwa Mwanza au Kanda ya Ziwa bali Taifa kwa jumla.

Pia soma: DOKEZO - Hospitali ya Bugando hamuwaoni Manesi wanaoacha kuhudumia Wagonjwa na kuwa bize na Biashara kwa Wajawazito?

=================

Updates...

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Thomas Rutachunzibwa alipoulizwa kuhusu madai hayo alisema hana hizo taarifa lakini atafuatilia, baadaye alipotafutwa akasema atafutwe Mkurugenzi wa Bugando ndiye anaweza kutoa ufafanuzi wa suala hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Bugando, Dkt Fabian Massaga alipoulizwa kuhusu hoja za Mdau akasema “Onana na PRO atakupa ufafanuzi wa kutosha.”

Upande wa Afisa Uhusiano wa Umma wa Hospitali ya Bugando, Evelyne Mahalu amesema “Tunalifanyia kazi kujua ukweli wake, pia BMC ni Taasisi inayosimamia taratibu na miongozo ya Nchi katika suala zima la kuzuia vifo vya mama na mtoto.”
Mkurugenzi mkuu ambaye pia ni mwenyekiti wa Kanda ya ziwa kwa upande wa Afya ya mama na mtoto anafanya kazi kubwa sana na hana uvumilivu kabisa katika swala zima la vifo vya mama na mtoto hivyo Bugando inajitahidi sana na imefanya jitihada kubwa kuondoa vifo vya mama na mtoto kwani inasimamia miongozo na taratibu za nchi yetu kutokomeza kabisa vifo vya mama na watoto
 
Kwa

Kwa ambao hamfahamu yule mkurugenzi wa Bugando ndie mwenyekiti wa kanda kwenye maswala ya afya ya Mama Wajawazito na watoto na amefanya kazi nzuri huyo alietoa taarifa mwambie akupe ushahidi ,sio kila swala la kuzua taharuki ,huduma za bugando kwa ambao tumetumia hospitali ile ni bora na sidhani kama kuna tatizo la huduma .
Bmc ni taasisi inayotoa huduma zake kwa huruma na upendo na ni Taasisi ambayo haijawahi kuchelewesha au kuacha kufanya malipo kwa watumishi wake, ni taasisi inayoongoza kutoa malipo kwa watumishi wake hivyo si kweli kwamba madaktari bingwa wamegoma kufanya pasuaji wa wajawazito kwasababu wamecheleweshewa malipo .
 
Kwa

Kwa ambao hamfahamu yule mkurugenzi wa Bugando ndie mwenyekiti wa kanda kwenye maswala ya afya ya Mama Wajawazito na watoto na amefanya kazi nzuri huyo alietoa taarifa mwambie akupe ushahidi ,sio kila swala la kuzua taharuki ,huduma za bugando kwa ambao tumetumia hospitali ile ni bora na sidhani kama kuna tatizo la huduma .
Wagonjwa wanapofika katika hospitali yetu hasa wajawazito wanatibiwa bila vikwazo, mama hawezi acha kuhudumiwa kwasababu ya kununua nguo hoi si kweli japokuwa tunaendelea kufatilia.
 
Bmc ni taasisi inayotoa huduma zake kwa huruma na upendo na ni Taasisi ambayo haijawahi kuchelewesha au kuacha kufanya malipo kwa watumishi wake, ni taasisi inayoongoza kutoa malipo kwa watumishi wake hivyo si kweli kwamba madaktari bingwa wamegoma kufanya pasuaji wa wajawazito kwasababu wamecheleweshewa malipo .
Bugando ni Taasisi ambayo imefanya mambo makubwa sana na Mkurugenzi mkuu amejitahidi sana kuboresha huduma na miundombinu hivyo anaupiga mwingi sana..vifaa tiba vimeongezeka kwa kasi ya ajabu,imezidi kupanua huduma zake kwa kufungua mayawi mengine hasa Bugando Specialized Polyclinic ilo iweze wahudumia wananchi wote,Inawapa mazingira mazuri watumisho wake ya kufanya kazi na pia ni taasisi inayozidi kuboresha mahusiano kati ya taasisi za ndani na nje ya nchi
 
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) inaelezwa kuwa Wanawake takribani 287,000 hadi 300,000 hufariki wakati wa ujauzito na kujifungua na zaidi ya Watoto milioni mbili hufariki katika siku 28 za mwanzo baada ya kuzaliwa. Takwimu hizo ni za Mwaka 2020.

Takwimu hizo zimenisukuma kutoa ya moyoni kuhusu hospitali yetu pendwa ya rufaa ya Bugando iliyoko Jijini Mwanza ambapo naona tatizo linazidi kukuwa.

Kuna taarifa kwamba baadhi ya wakina Mama wanaojifungua kwa oparesheni katika Hospitali ya Bugando waliowengi wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari bingwa wa upasuaji kutolipwa stahiki zao kwa wakati jambo ambalo lina athari kubwa kwa jamii yetu maana kama wasipolipwa tutapoteza wagonjwa wangapi?

Taarifa nilizonazo ni kuwa hata viongozi wa Hospitali ya Bugando wanalijua hili suala la Wanawake wenye kujifungua kwa oparesheni kwamba hawapati huduma ipasavyo, hivyo viongozi waamke kabla hospitali ile haijaingia kwenye rekodi ya Hospitali inayoongoza kwa vifo vya Mama na mtoto wakati wa kujifungua.

Jambo hili halizungumzwi lakini ndio ukweli wenyewe huo, mamlaka zifike hospitalini hapo na kufanya uchunguzi.

Kingine, hao Madaktari Bingwa wamekuwa wakiwaacha wagonjwa mikononi mwa madaktati ambao wako field (wanaojifunza kwa vitendo) wanaosoma Chuo cha Bugando bila kuwa na usimamizi wa mtaalam au wataalam zaidi yao, jambo ambalo ni hatari kwani Mwanafunzi anakuwa hana ujuzi wa kutosha.

Bugando iachane na tabia za kushindwa kuwahudumia akina mama wajawazito na wale wanaojifungua kwa uparesheni kwani wanategemewa na sehemu kubwa ya nchi yetu kwa kutoa huduma za kitabibu.

Serikali ya Rais Samia ifanye jambo kuhusu Hospitali ya Bugando, kwa hiki kinachoendelea kama kikisambaa, itamaanisha kuwa litakuwa pigo kubwa kwa sio tu kwa Mwanza au Kanda ya Ziwa bali Taifa kwa jumla.

Pia soma: DOKEZO - Hospitali ya Bugando hamuwaoni Manesi wanaoacha kuhudumia Wagonjwa na kuwa bize na Biashara kwa Wajawazito?

=================

Updates...

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Thomas Rutachunzibwa alipoulizwa kuhusu madai hayo alisema hana hizo taarifa lakini atafuatilia, baadaye alipotafutwa akasema atafutwe Mkurugenzi wa Bugando ndiye anaweza kutoa ufafanuzi wa suala hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Bugando, Dkt Fabian Massaga alipoulizwa kuhusu hoja za Mdau akasema “Onana na PRO atakupa ufafanuzi wa kutosha.”

Upande wa Afisa Uhusiano wa Umma wa Hospitali ya Bugando, Evelyne Mahalu amesema “Tunalifanyia kazi kujua ukweli wake, pia BMC ni Taasisi inayosimamia taratibu na miongozo ya Nchi katika suala zima la kuzuia vifo vya mama na mtoto.”
Bugando ni Taasisi ambayo imefanya mambo makubwa sana na Mkurugenzi mkuu amejitahidi sana kuboresha huduma na miundombinu hivyo anaupiga mwingi sana..vifaa tiba vimeongezeka kwa kasi ya ajabu,imezidi kupanua huduma zake kwa kufungua mayawi mengine hasa Bugando Specialized Polyclinic ilo iweze wahudumia wananchi wote,Inawapa mazingira mazuri watumisho wake ya kufanya kazi na pia ni taasisi inayozidi kuboresha mahusiano kati ya taasisi za ndani na nje ya nchi
 
Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) inaelezwa kuwa Wanawake takribani 287,000 hadi 300,000 hufariki wakati wa ujauzito na kujifungua na zaidi ya Watoto milioni mbili hufariki katika siku 28 za mwanzo baada ya kuzaliwa. Takwimu hizo ni za Mwaka 2020.

Takwimu hizo zimenisukuma kutoa ya moyoni kuhusu hospitali yetu pendwa ya rufaa ya Bugando iliyoko Jijini Mwanza ambapo naona tatizo linazidi kukuwa.

Kuna taarifa kwamba baadhi ya wakina Mama wanaojifungua kwa oparesheni katika Hospitali ya Bugando waliowengi wamekuwa wakipoteza maisha kutokana na mgomo wa madaktari bingwa wa upasuaji kutolipwa stahiki zao kwa wakati jambo ambalo lina athari kubwa kwa jamii yetu maana kama wasipolipwa tutapoteza wagonjwa wangapi?

Taarifa nilizonazo ni kuwa hata viongozi wa Hospitali ya Bugando wanalijua hili suala la Wanawake wenye kujifungua kwa oparesheni kwamba hawapati huduma ipasavyo, hivyo viongozi waamke kabla hospitali ile haijaingia kwenye rekodi ya Hospitali inayoongoza kwa vifo vya Mama na mtoto wakati wa kujifungua.

Jambo hili halizungumzwi lakini ndio ukweli wenyewe huo, mamlaka zifike hospitalini hapo na kufanya uchunguzi.

Kingine, hao Madaktari Bingwa wamekuwa wakiwaacha wagonjwa mikononi mwa madaktati ambao wako field (wanaojifunza kwa vitendo) wanaosoma Chuo cha Bugando bila kuwa na usimamizi wa mtaalam au wataalam zaidi yao, jambo ambalo ni hatari kwani Mwanafunzi anakuwa hana ujuzi wa kutosha.

Bugando iachane na tabia za kushindwa kuwahudumia akina mama wajawazito na wale wanaojifungua kwa uparesheni kwani wanategemewa na sehemu kubwa ya nchi yetu kwa kutoa huduma za kitabibu.

Serikali ya Rais Samia ifanye jambo kuhusu Hospitali ya Bugando, kwa hiki kinachoendelea kama kikisambaa, itamaanisha kuwa litakuwa pigo kubwa kwa sio tu kwa Mwanza au Kanda ya Ziwa bali Taifa kwa jumla.

Pia soma: DOKEZO - Hospitali ya Bugando hamuwaoni Manesi wanaoacha kuhudumia Wagonjwa na kuwa bize na Biashara kwa Wajawazito?

=================

Updates...

Mganga Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Thomas Rutachunzibwa alipoulizwa kuhusu madai hayo alisema hana hizo taarifa lakini atafuatilia, baadaye alipotafutwa akasema atafutwe Mkurugenzi wa Bugando ndiye anaweza kutoa ufafanuzi wa suala hilo.

Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Bugando, Dkt Fabian Massaga alipoulizwa kuhusu hoja za Mdau akasema “Onana na PRO atakupa ufafanuzi wa kutosha.”

Upande wa Afisa Uhusiano wa Umma wa Hospitali ya Bugando, Evelyne Mahalu amesema “Tunalifanyia kazi kujua ukweli wake, pia BMC ni Taasisi inayosimamia taratibu na miongozo ya Nchi katika suala zima la kuzuia vifo vya mama na mtoto.”
Bugando ni Taasisi ambayo imefanya mambo makubwa sana na Mkurugenzi mkuu amejitahidi sana kuboresha huduma na miundombinu hivyo anaupiga mwingi sana..vifaa tiba vimeongezeka kwa kasi ya ajabu,imezidi kupanua huduma zake kwa kufungua mayawi mengine hasa Bugando Specialized Polyclinic ilo iweze wahudumia wananchi wote,Inawapa mazingira mazuri watumisho wake ya kufanya kazi na pia ni taasisi inayozidi kuboresha mahusiano kati ya taasisi za ndani na nje ya nchi lakini Wagonjwa wanapofika katika hospitali yetu hasa wajawazito wanatibiwa bila vikwazo, mama hawezi acha kuhudumiwa kwasababu ya kununua nguo hoi si kweli japokuwa tunaendelea kufatilia
 
Back
Top Bottom