Mgomo wa madaktari - Updates

Mgomo wa madaktari - Updates

Bongo bwana ..., Hivi waziri wa afya lazima akubalike na madaktari? Waziri wa elimu lazima akubalike na wanafunzi na waalimu? Waziri wa utamaduni lazima akubalike na footballers, wanariadha, rappers, etc.? waziri wa watoto na akina mama lazima akubalike na watoto na akina mama?

Ongeeni mkishakuwa na point ya kuongea jamani!
Una habari kuwa Mponda na NKYA wanaogopa kutembelea hospitali hasa MNH? Sasa watu unaowaongoza unawaogopa utawaongozaje! Kwa M.a.sa.b..ur?
Mapendekezo yote yatakayokubaliwa na pinda yatatekelezwa nao. Sasa kama Mawaziri na Madaktari ni Paka na Chui hayo madai yatatekelezwaje? Ni common sense tu hapa mpunguze huo ushabiki usio na tija!
 
  • Thanks
Reactions: FJM
HAKI HAIOMBWI ILA INADAIWA.

Tuliambiwa madhara ya kuchagua viongozi ovyo. Tukala Pilau na kuvalishwa minguo ya kijani na baada ya hapo tukakata sana viuno kama hatuna akili nzuri.

Sasa yakitukuta, tunawalaani Madr. Kama wewe unajiona ni BORA basi jitibu mwenyewe.

Acha tufe sana tu labda tutatia akili sasa maana hao POLISI na Usalama wa Taifa, wao wanasota tu na sisi Mitaani kutibiwa wakati hao wanaolindwa wanaenda India kama siyo German.

Drs endelezeni Mapigano ili watakaopona waishi kama binadamu.
Kinachonishangaza ni jinsi ambavyo watu humu ndani wanona kuwa Madaktari wana haki kwa kila wanachokisema. Tunajua umuhimu wao katika jamii lakini wao wasijione kuwa bora kuliko watumishi wengine serikalini. How do you demand kwamba Waziri lazima aondoke na unataka kweli aondolewe? This is holding the government at ransom. walitaka Mtasiwa na KM waondoke wakaondoka, tena masikini KM akampoteza mama yake in the process. Ndugu zangu Madaktari, mgomo si suruhisho la kila kitu. Hebu fikiria roho za maskini wangapi wanakufa kwa sababu ya migomo yenu. Hamna hata Kwaresma nyinyi? Hiki mnachokifanya ni kwa manufaa ya nani kama sio nyinyi na matumbo yenu? Mna tofauti gani na mafisadi? I hate ufisadi lakini hili mnalolifanya ni well out of control and I will never support this. Doctors must be declared as enemy number one of the common mwananchi! Mkielezwa mnaanza kubwaga matusi humu, well sishangai kwani kama mnaruhusu watu kufa mahospitalini ili mifuko yenu itune, then matusi is just a drop of water in the indian ocean. As we stand, Doctors wanalipwa kuliko cadre yoyote serikalini; mnataka mlipwe kama wabunge????? For this one, doctors you sack!!!
 
Hawa madakatari wanatakiwa wauliwe, ni magaidi wanaocheza na roho na maumivu ya watu.

Hauwezi kabisa kila siku ukaja na malalamiko mapya ukae uchekewe tu. Nawaomba sana serikali isiwasikilize kabisa na iwape 2 hours wawepo kwenye kazi zao nje ya hapo, wachukuliwe hatua kali sana ikiwepo na kushtakiwa kwa kila kifo kitachotokea wakati wa mgomo, wakasote jela wakijibu kesi za mauaji.

Kama kuna wanaotakiwa kuitwa magaidi na kupewa adhabu zote ni viongozi wa serikali
yako ambao wanaleta siasa kwenye maisha ya watanzania.
 
Kinachonishangaza ni jinsi ambavyo watu humu ndani wanona kuwa Madaktari wana haki kwa kila wanachokisema. Tunajua umuhimu wao katika jamii lakini wao wasijione kuwa bora kuliko watumishi wengine serikalini. How do you demand kwamba Waziri lazima aondoke na unataka kweli aondolewe? This is holding the government at ransom. walitaka Mtasiwa na KM waondoke wakaondoka, tena masikini KM akampoteza mama yake in the process. Ndugu zangu Madaktari, mgomo si suruhisho la kila kitu. Hebu fikiria roho za maskini wangapi wanakufa kwa sababu ya migomo yenu. Hamna hata Kwaresma nyinyi? Hiki mnachokifanya ni kwa manufaa ya nani kama sio nyinyi na matumbo yenu? Mna tofauti gani na mafisadi? I hate ufisadi lakini hili mnalolifanya ni well out of control and I will never support this. Doctors must be declared as enemy number one of the common mwananchi! Mkielezwa mnaanza kubwaga matusi humu, well sishangai kwani kama mnaruhusu watu kufa mahospitalini ili mifuko yenu itune, then matusi is just a drop of water in the indian ocean. As we stand, Doctors wanalipwa kuliko cadre yoyote serikalini; mnataka mlipwe kama wabunge????? For this one, doctors you sack!!!

Hivi wewe una ndugu aliye daktari? Basi mhimize mwanao angalau akasome udaktari na kama ni sawa na fani nyingine utapima mwenyewe. Mbona kwenye elimu asilimia zaidi ya hamsini wanapata divisheni zero na watu hawashtuki kiasi hiki? Fikiria ikifika mahali kuwa asilimia hiyohiyo ya wagonjwa wanakufa wanapotibiwa hospitali uone kilio chake. Usijidanganye, labda kama hujawahi kuugua kisawasawa (ukachughulia kaburi), daktari anahusika na uhai wako ni nusu Mungu na kama shule aliyoenda ni maumivu, kazi anayofanya ni mateso, huduma anayoitoa ni ya hatari kwa uhai, afya na maisha yake mwenyewe. Ukiwa mzima wa afya dakatari wa nini? Lakini mtembelee mzazi wako aliye taabani wodini pale Muhimbili hapo ndipo utajua umuhimu wa daktari ambao sio siri ni zaidi ya kada zote. Nini kama uhai? Je, anayeangalia uhai wako utamlinganisha na anayekupa elimu? Walinganishwe na nani madakatari? Nakuhakikishia kuwa hakuna. Ndiyo maana (tena wamekuwa wavumilivu kwa miaka mingi) safari hii wameamua liwalo na liwe. Amani haiji ila kwa ncha ya upanga - ndiyo lugha serikali hii inayoilewa!
Madaktari hawako kwenye nchi hii peke yake. Fanya home work yako ujue nchi zenye akili wanawalipa nini madaktari wao? Na nchi hizo madaktari wakitaka kugoma wananchi wanafanya kitu gani? Usijifanye mbuni kwa kufukia kichwa chako kwenye mchanga ukidhani ukweli kwa vile huuoni utaondoka.
 
Madaktari wenyewe wanafundishwa hiyo saikolojia kama sehemu ya mafunzo yao ya udaktari. Sasa unaposema daktari anafuatab mob saikology humtendei haki kwani yeye upeo wake wa kufikiri si mdogo kiasi hiki.
Mnaodhani madaktari wanafuata mob saikology nyie ndo mmelishwa hizo propaganda na Hiza Tambwe!

JK kwa hili umeshikwa pabaya salimu amri toa hao watu wako waundie wizara nyingine iite ''Wizara ya mawaziri wasiopendwa''
teh teh teh!!!
 
Bongo bwana ..., Hivi waziri wa afya lazima akubalike na madaktari? Waziri wa elimu lazima akubalike na wanafunzi na waalimu? Waziri wa utamaduni lazima akubalike na footballers, wanariadha, rappers, etc.? waziri wa watoto na akina mama lazima akubalike na watoto na akina mama?
Fanya home work yako vizuri
 
Madaktari wasio na fikira. Hao hukumu yao kuuliwa kwa kila kifo cha mgonjwa kitakachotokea wakigoma.

Mkuu unaaibisha jina lako Ribosome ipo so smart katika ku metabolism ya protein lakini wewe naona una toa povu tu sijui ndio mliotumwa humu jamiiforams kuja kutoa kamasi zetu sina haja ya kubisha na wewe lakini jua msingi wa mgomo huu unajulikana wala wewe huitaji kumfundusha mtu aache mgomo kwani madaktari wanaakili timamu wanajua wanachokifanya wangekuwa wanataka watu wafe kwa wao kupenda wasinge hangaika kusomea fani ya kutibu watu iliwatu waendelee kufa mkuu.
 
shida ya kuchanganya siasa na maisha ya mwanadamu na unakosa busara ya kuvipa vitu vipaumbele ndio inayowakabili viongozi wa taifa hili akiwemo Rais JK na mawaziri wake wote je tutapona kwa stail hii.
 
Hao wanaoagiza ni hao hao madaktari uchwara waliopo wizarani, wewe unafikiri madaktari wapo muhimbili tu? Kwani anaeagiza dawa na vifaa ni waziri?
Kazi mojawapo ya mawaziri wa afya ni kusimamia mabo yote yaende vizuri wizarani ikiwemo uingizaji wa hizo Dawa! Kama wanashindwa kwa hili hawatufai na ndio mojawapo ya sababu ya wao kun'goka!!
 
Je JK, PINDA< MPONDA etc wanafanya vitu vinavyoendana na viapo vyao?


Kuna jamaa amenambia kuwa legacy atayoiacha JK ni kuhudhulia kwenye misiba kwani hili anaongoza na sio uongoz wa kuwatumikia watz. Hivyo kwake ni bora madr wagome ili watz wengi wafe aendelee kujenga legacy yake ya kuhudhulia misibani.
 
Akimwondoa Mponda, amteue Kigwangala...
 
Mh hii ni ujinga?

Hivi tunashabikia nn hapa au kwakua ni serikali ya CCM na JK ? Tatizo ni kudhani kua kwa Ma Dr kugoma ni kuishushia hadhi serikali ya JK na ionekane imeshindwa bila kujua kua hii ni mbegu tunaipanda katika jamii yetu hata chadema wakichukua nchi hii Tabia itajitokeza na kuathiri serikali iliyopo madarakani Kwani siku zote Pesa haimtoshelezi Mtu kwa Siasa aina hii nchi nyingi zimefika pabaya Kwani katika hili kuna wanaofurahi mgomo uwepo basi tu kwakua serikali haiongozwi na Chama chake na Rais aliekua anamtaka.... Huu nao ni Ujinga SIASA..Mtu anaweza kumchagua hata taahira ili mradi Chama chake kishinde hata km mgombea wa upande wa pili ni Zaidi ....km kwa Prof . Maji marefu na Mr Sugu mpaka Leo sioni Mantiki ya vyama vyote CCM na CDM kuwachagua watu Hawa na pengine wasomi wetu kwenye majimbo waliyotoka waliwapigia kura!
Kwa Majimarefu kweli wapiga kura walichemsha1 Ila Mr Sugu mbona unamuonea tu? Yeye anajulikana kuwa ni mpigania haki za wanyonge siku nyingi kabla ya kuingia kwenye siasa na hili linajionesha hata kwenye nyimbo zake zileee! Majimarefu yeye alikuwa anawatapeli watu fedha zao tu kwa uganga feky!!!
 
Kinachonishangaza ni jinsi ambavyo watu humu ndani wanona kuwa Madaktari wana haki kwa kila wanachokisema. Tunajua umuhimu wao katika jamii lakini wao wasijione kuwa bora kuliko watumishi wengine serikalini. How do you demand kwamba Waziri lazima aondoke na unataka kweli aondolewe? This is holding the government at ransom. walitaka Mtasiwa na KM waondoke wakaondoka, tena masikini KM akampoteza mama yake in the process. Ndugu zangu Madaktari, mgomo si suruhisho la kila kitu. Hebu fikiria roho za maskini wangapi wanakufa kwa sababu ya migomo yenu. Hamna hata Kwaresma nyinyi? Hiki mnachokifanya ni kwa manufaa ya nani kama sio nyinyi na matumbo yenu? Mna tofauti gani na mafisadi? I hate ufisadi lakini hili mnalolifanya ni well out of control and I will never support this. Doctors must be declared as enemy number one of the common mwananchi! Mkielezwa mnaanza kubwaga matusi humu, well sishangai kwani kama mnaruhusu watu kufa mahospitalini ili mifuko yenu itune, then matusi is just a drop of water in the indian ocean. As we stand, Doctors wanalipwa kuliko cadre yoyote serikalini; mnataka mlipwe kama wabunge????? For this one, doctors you sack!!!

Kabla ya kuandika ulichokiandika kasome madai ya madaktari then utajua kama wanachopigania ni matumbo yao au pia ni mazingira ya kupata tiba nzuri kwa mtanzania asiyejiweza kama mimi. Usiangalie upande mmoja wa shilingi ukitaka kutoa comment yako vema ukawa neutral katika kusoma kesi nzima then utajua umuhukumu nani?

Kwa madhara ya mgomo wa kwanza kwa nchi zenye uwajibikaji wa viongozi hawa leo tusingekuwa nao kabisa lakini kutokana na kukosa maarifa na busara za uongozi wao na wewe mnaona ni vema wao wakabaki oficn wakifurahia stahiki za uwaziri na watz waendelee kufa kwa kukosa huduma kutokana na mgomo. Kama JK na PM wanawaona ni bora kuwepo katika jopo lao kwa nini basi wasiwahamishe wizara ili kuyaepusha haya tunayoyaona
 
Hawa madakatari wanatakiwa wauliwe, ni magaidi wanaocheza na roho na maumivu ya watu.

Hauwezi kabisa kila siku ukaja na malalamiko mapya ukae uchekewe tu. Nawaomba sana serikali isiwasikilize kabisa na iwape 2 hours wawepo kwenye kazi zao nje ya hapo, wachukuliwe hatua kali sana ikiwepo na kushtakiwa kwa kila kifo kitachotokea wakati wa mgomo, wakasote jela wakijibu kesi za mauaji.

nathan ndugu yangu hujui matatizo ya madakta wengne ni wazazi we2,je ukotayari kuona mzaz wako anashtakiwa? Hapo mwanzo mwisho kama vp ji2pen private.
 
Bongo bwana ..., Hivi waziri wa afya lazima akubalike na madaktari? Waziri wa elimu lazima akubalike na wanafunzi na waalimu? Waziri wa utamaduni lazima akubalike na footballers, wanariadha, rappers, etc.? waziri wa watoto na akina mama lazima akubalike na watoto na akina mama?

It depends what you mean by "akubalike"

No they do no not have to like them, but have you ever successfully negotiated with someone you do not trust or respect? It's virtually impossible.

So the short answer to you question is yes.
 
Taarifa zilizonifikia kutoka vyanzo vya kuaminiaka bugando wamebandika tangazo likisomeka hivi

"KUTOKANA NA SERIKALI KUTOKUWA TAYARI KUSHUGHULIKIA MADAI YA MADAKTARI IPASAVYO SISI MADAKTARI TUMESIKITISHWA SANA. KUANZIA LEO TAREHE 7 MACHI 2012 SAA 2; 00 ASUBUHI,MADAKTARI WA HOSPITALI YA BUGANDO TUNASITISHA KUTOA HUDUMA ZOTE MPAKA HAPO SERIKALI ITAKAPOSHUGHULIKIA MADAI HAYO.
JUMUIYA YA MADAKTARI BUGANDO (INTERN,REGISTRARS,RESIDENTS)
NAKALA KWA WAKUU WA IDARA,UTAWALA BMC"

MUHIMBILI
EMD-KITENGO CHA WAGONJWA WA DHARURA KIMEFUGWA

OPD-WAGONJWA WAMEJAA LAKINI HAWAONI

THETRE HAZIFANYI KAZI NA MASPECIALIST WAPO RUSSIAN CULTURE TO PUT LAST NAIL IN THE COFFIN. WAMEUNGANA NA WATAANZA MGOMO RASMI LEO.

AMANA
TOTAL TOOLS DOWN

MWANANYAMALA
TOTAL TOOLS DOWN EXCEPT 4 COs

TEMEKE
TOTAL TOOLS DOWN

MBEYA
WANAENDELEA PALE WALIPOISHI MAANA MGOMO KAMA KAWA

IFAKARA
TOTAL TOOLS DOWN

KCMC
MADAKTARI KUTOA TAMKO MUDA SI MREFU

DODOMA
TOOLS DOWN ILA AMO NA COs BADO MGANGA MKUU ANADANGAYA MEDIA MAMBO SHWARI AMETOKA KUHOJIWA TBC

Ikulu kuna mkutano mkubwa unaendelea nitato updates bdae
 
Wagome tu, nchi yenyewe inaongozwa na wapumbavu na sisi walalahoi ndio bado mambumbu
 
Mheshimiwa raisi alipongeza juhudi zilizotumika na kufurahishwa na jinsi mgomo ulivyo shughulikiwa.... sasa mbona hali inaelekea kuwa tata.......ama nae alidanganywa kama kawaida ya watendaje wake...
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Back
Top Bottom