Mgomo wa madaktari - Updates

wauaji wanakuja na mgomo wa pili hakuna wanachopoteza ndugu zetu ndio watakufa, msiba mwingine mkubwa kwa taifa unakuja.
 
madaktari msiturudishe tulikotoka kaa meza moja na serikali zungumzeni. Kauli ya Pinda jana inaonyesha mnaweza kukaa tena meza moja mkazungumza.
huo muda wa kukaa ni bora wakahudumie wagonjwa cha muhimu watimiziwe matakwa yao tu mvutano sio mzuri
 
Nilikuwa nasikia tu ila nimekuja kuamini madaktari wakitanzania wana ufinyu wa fikra, hivi mawaziri wakijiuzulu ndio hayo wayatakayo yatakuwa materialised?. Hawana uhakika na hilo, kwa hiyo kujiuzulu kwao sio solution kabisa. Hawa jamaa wana akili km za nyanya chungu kabisa, kuivia kwenye mboga na kuliwa basi



hasira za nini, ulifeli nini kuwa daktari? una wivu gani wewe na ma dk?

waziri amekaa 1.5 yrs na mambo yanazidi kuwa mabaya angekuwa anafanya kazi au hana akili finyu kama wewe basi yasingeetokea haya
 
Kwa jinsi Pinda alivyozungumza kwa busara jana hakika nilitegemea madaktari wangeomba fursa ingine ya kukutana naye tena kuangalia uwezekano wa kutatua vikwazo vilivyojitokeza kuliko kukimbilia kugoma.
 
Kuna familia zilizopoteza ndugu wakati wa mgomo wa kwanza hawajasamehe madaktari nani kasema mgomo ndio kila kitu?
 
wengi mnaojadili humu mnajadili kwa upana mdogo sana, lamsingi madfaktari waangalie mipaka ya majukumu yao, wao ni wataalamu, hawawezi kumpangia Raisi nani wa kumpa wizara na nani wa kumtoa, na Raisi akiwakubalia matwakwa yao ya kuwaondoa mawaziri atakuwa hajatumia busara, nawasihi madaktari wasilegee kwenye kudai maslahi yao na waboreshewe mazingira yao ya kazi, lakini wasijiingize kwenye mambo ya kisiasa wawaachie wanasiasa mambo yao.
 
wauaji wanakuja na mgomo wa pili hakuna wanachopoteza ndugu zetu ndio watakufa, msiba mwingine mkubwa kwa taifa unakuja.

Hata wewe ni MUUAJI kwa kukaa hapo nyuma ya keyboard na screen ya computer kama 'zuzu' ukihukumu watu tuu bila kufanya lolote kudai uwajibikaji kwa tuliowapa dhamana ya kutuwajibikia kuongoza serikali.
 
Hawa madakatari wanatakiwa wauliwe, ni magaidi wanaocheza na roho na maumivu ya watu.

Hauwezi kabisa kila siku ukaja na malalamiko mapya ukae uchekewe tu. Nawaomba sana serikali isiwasikilize kabisa na iwape 2 hours wawepo kwenye kazi zao nje ya hapo, wachukuliwe hatua kali sana ikiwepo na kushtakiwa kwa kila kifo kitachotokea wakati wa mgomo, wakasote jela wakijibu kesi za mauaji.


Yaani hapa kwa mtazamo wangu wa kwanza kutiwa kitanzi na kuuawa ni Raisi na PM wake.

Kwani ndio wanaosababisha yote haya kwa kutetea marafiki zao wazembe. Huwezi kuua watu 200 kwa ajili ya kutetea Mawaziri wawili. Ina maana kuwa wao ni muhimu sana!!!

bila shaka tunakumbuka enzi zile za Mwalimu, wakati Mzee A. H. Mwinyi alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, aliamua kujiuzulu uwaziri kutokana na madudu yaliyofanywa na watendaji wake wa chini.

Sasa hapa kwa kuteteana huku ina maana hata Raisi naye anatakiwa ajiuzulu ili nchi iwe katikahali ya usalama kwani tunakoelekea si kuzuri kabisa.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
madaktari kupitia chama chao hawajawahi kutoa japo tamko moja tu kujutia vifo vya watanzania wenzetu waliopoteza maisha katika mgomo wa kwanza. Ni ishara kwamba vifo kwao ni jambo la kawaida. Hata kama ulikuwa ni mgomo lakini wangetoa tamko kwamba waliumizwa na hali iliyojitokeza ya wananchi kufa wakati wamegoma lakini hawakuwa na jinsi. Wauaji tu ndio kauli inayofaa.
 
wauaji wanakuja na mgomo wa pili hakuna wanachopoteza ndugu zetu ndio watakufa, msiba mwingine mkubwa kwa taifa unakuja.
Muuwaji ni Jakaya Kikwete, kila kitu kiko ndani ya uwezo wake, kwa Jakaya Kikwete ni kwamba uwaziri wa Mponda na Nkya una thamani zaidi ya Watanzania millioni 40.
 
Taarifa zilizonifikia kutoka vyanzo vya kuaminiaka bugando wamebandika tangazo likisomeka hivi

"KUTOKANA NA SERIKALI KUTOKUWA TAYARI KUSHUGHULIKIA MADAI YA MADAKTARI IPASAVYO SISI MADAKTARI TUMESIKITISHWA SANA. KUANZIA LEO TAREHE 7 MACHI 2012 SAA 2; 00 ASUBUHI,MADAKTARI WA HOSPITALI YA BUGANDO TUNASITISHA KUTOA HUDUMA ZOTE MPAKA HAPO SERIKALI ITAKAPOSHUGHULIKIA MADAI HAYO.
JUMUIYA YA MADAKTARI BUGANDO (INTERN,REGISTRARS,RESIDENTS)
NAKALA KWA WAKUU WA IDARA,UTAWALA BMC"

MUHIMBILI
EMD-KITENGO CHA WAGONJWA WA DHARURA KIMEFUGWA

OPD-WAGONJWA WAMEJAA LAKINI HAWAONI

THETRE HAZIFANYI KAZI NA MASPECIALIST WAPO RUSSIAN CULTURE TO PUT LAST NAIL IN THE COFFIN

AMANA
TOTAL TOOLS DOWN

TEMEKE
TOTAL TOOLS DOWN

MBEYA
WANAENDELEA PALE WALIPOISHI MAANA MGOMO KAMA KAWA

IFAKARA
TOTAL TOOLS DOWN

KCMC
MADAKTARI KUTOA TAMKO MUDA SI MREFU

Ikulu kuna mkutano mkubwa unaendelea nitato updates bdae
 
Kwa jinsi Pinda alivyozungumza kwa busara jana hakika nilitegemea madaktari wangeomba fursa ingine ya kukutana naye tena kuangalia uwezekano wa kutatua vikwazo vilivyojitokeza kuliko kukimbilia kugoma.

Wabongo meseji ni hii. Kuna namna moja ya kufanya wanao wamuamini baba kuwa hali nyama huko mtaani . Ni kukaa nao wakati wa chakula na kula nao dagaa huku akijitahidi kukomba mboga, wanawe watasema hakika baba ametoa kile alichonacho, bali si kurudi jioni huku umelewa ilihali wanao wamekula dagaa, watajua umekula mchemsho. Think Tanzania hata wakipewa 100 million haitoshi kuna suluhisho ambalo ni kufanya rasilimali iliyopo yatumika vyema amasivyo waenda BOTWASAAAAAAA kual mihela mbaki na siasa zenu.
 
Dr Wangu wa Muhimbili anasima

"" mgomo hakuna watu wanaendelea na kazi kama kawaida vikao bado vinaendelea"" mwisho wa kunukuu

Sasa tumuamini Doctor wa wapi??? maaana mgomo hakuna:juggle:

wewe unamiliki dr pale muhimbili?
 
Muafaka ulipokuwa umefikia hatukuhitaji mgomo mwingine hawa madaktari ni wakorofi. serikali ilishaonyesha kunyoosha mikono na kushughulika kwa haraka
 
madaktari kupitia chama chao hawajawahi kutoa japo tamko moja tu kujutia vifo vya watanzania wenzetu waliopoteza maisha katika mgomo wa kwanza. Ni ishara kwamba vifo kwao ni jambo la kawaida. Hata kama ulikuwa ni mgomo lakini wangetoa tamko kwamba waliumizwa na hali iliyojitokeza ya wananchi kufa wakati wamegoma lakini hawakuwa na jinsi. Wauaji tu ndio kauli inayofaa.

Je, Serikali imetoa tamko lolote kuhusu uzembe wa watendaji wake waliotufikisha hapa!!!!

ACHENI KUTETEA UJINGA KWA KUNYWA MAJI YA BENDERA BASI KILA KINACHOONGELEWA MNAKIWEKA KISIASA.




MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Uko makini mkuu....ngoja nifike hospitali ya mkoa wa Mwanza nione kinachoendelea.....
 
Back
Top Bottom