Tatu
JF-Expert Member
- Oct 6, 2006
- 1,143
- 375
Yeye CHENGE alipewa siku ngapi kuthibitisha vijisenti vyake vimetoka wapi?
BRELA walipewa siku ngapi kutaja wamiliki wa KAGODA?
TRA walipewa siku ngapi kuthibitisha hayo makampuni ya UFISADI EPA yanalipa kodi?
Hivyo ni vyombo vya serikali au watumishi wa serikali na hawapewi deadline ya kuhakiki kazi/madudu wanayofanya lakini RAIA MZALENDO anatishiwa na hawa viongozi wasio na mwelekeo wala dira zaidi ya UFISADI WAO.
UNAWAITA HAWA WASOMI?
BRELA walipewa siku ngapi kutaja wamiliki wa KAGODA?
TRA walipewa siku ngapi kuthibitisha hayo makampuni ya UFISADI EPA yanalipa kodi?
Hivyo ni vyombo vya serikali au watumishi wa serikali na hawapewi deadline ya kuhakiki kazi/madudu wanayofanya lakini RAIA MZALENDO anatishiwa na hawa viongozi wasio na mwelekeo wala dira zaidi ya UFISADI WAO.
UNAWAITA HAWA WASOMI?