Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,999
- 1,187
Subirini Jumatano
Mengi angekuwa muungwana naye si angetaja jina la huyo waziri mambo ya kutufumbia mafumbo tena ya nini?
wud differ here: Mengi ni mtu mtu tajiri na prominent business man hapa kwetu (a successful businessman); Masha ni successful young man to be at his post at that age; they shud have taken a wise decision; and we expect wisdom from the two. For sure hii ndiyo ina prove how hapa kwetu watu wenye vyeo na wenye pesa hawana discipline! These people had time to contact each other even before going to media stalls. They shud be very busy working as they hav more important priorities than what they are doing now! Hapa ni ubabe tu, huyu anajua ana cheo na huyu anajua anayo-pesa; cowards!
approach was to seek elders or even the president and talk it friendly!
hebu msome kwa kutulizana, ama sivyo nyie ndio mnakuwa (as you like to put it) "wakurupukaji"
mleta habari hapo juu amesema, "nimesikia tbc leo asubuhi kwamba mh. Masha kama waziri wa mambo ya ndani amempa siku saba mr mengi athibitishe kauli alizo toa . Kazi imeanza."
keyword, kama waziri wa mambo ya ndani....hivyo, kutokana na habari hapo juu, masha hajasema kuwa mengi athibitishe maneno yale yametoka kwake.
Ama la, labda habari haijakuwa quoted kama ilivyokuwa reported. Slow your roles!
Masha yani miaka miwili yatari kashainga in the system deep?? dah..nyota yake itazima sasa.................nishai kweli...
Channel Ten inaripoti habari kwa uwazi zaidi kuliko hata ITV. Mmiliki wake sijamsikia popote akilalamika kama alivyo Mzee wetu huyu MZAWA. Mengi na vyombo vyake hivi ana agenda nyingine iliyojificha?
Umewahi kusoma gazeti la This Day au Kulikoni la bwana Mengi?kama hujawahi tembelea maktaba ya taifa omba nakala za zamani spend some days na uzipitie kisha ufananishe na Channel ten.Kumbuka ITV kuna kitu kinaitwa kipima joto ule pia ni msumari tosha kwa Serikali maana vitu vingi vinavyotolewa maoni vinaihusu Serikali moja kwa moja na mara nyingi watu wamekuwa wakipigia kura ya kutoridhiswa na baadhi ya matendo na mabo ya Serikali. Japo yapo mengine ya jamii kwa ujumla lakini kwa wingi ni ya Serikali.
Tafakari
Chukua Hatua!!!
- Hoja hujibiwa kwa hoja, sio lazima wote tuwe upande mmoja ili kutowaboa wengine, anyways nimekusikia sasa ngoja niwaachie wote wa upande mmoja mjadiliane ili msiboane, maana tusipokubali kuwa upepo wa bendera basi tunaboa, you got it!
- Hayo magazeti ya Mengi si ndiyo yaliyokuwa yakiwasifia Mtandao, hawa kina Masha kwenye kampeni za urais au sio yenyewe? Na huyu si ndiye yule yule Mewngi aliyekwua rafiki wa karibu sana wa Mkapa, au? Anyways nisije nikawaboa zaidi kwa hiyo I am out!
Thanxs and out!
JokaKuu,
Inaelekea huijui hiyo iliyokuwa sheria ya JKT. Masha kama Mtanzania alitakiwa kupitia JKT kabla ya kuingia mlimani.
Kama angesoma huko nje muda wote mpaka university na kisha kuamua kurudi TZ kufanya kazi, bado angetakiwa kwenda JKT kwanza.
- Hoja hujibiwa kwa hoja, sio lazima wote tuwe upande mmoja ili kutowaboa wengine, anyways nimekusikia sasa ngoja niwaachie wote wa upande mmoja mjadiliane ili msiboane, maana tusipokubali kuwa upepo wa bendera basi tunaboa, you got it!
- Hayo magazeti ya Mengi si ndiyo yaliyokuwa yakiwasifia Mtandao, hawa kina Masha kwenye kampeni za urais au sio yenyewe? Na huyu si ndiye yule yule Mewngi aliyekwua rafiki wa karibu sana wa Mkapa, au? Anyways nisije nikawaboa zaidi kwa hiyo I am out!
Thanxs and out!
Mkuu FMES, heshima yangu ni kubwa sana kwako na hii inatokana na unavyojua kujibu hoja na kutuletea news zenye uhakika hapa JF,
Lakini kwa hili hapa kwa kweli linalonijia hara haraka kichani mwangu ni kufikiri kuwa inawezekana unamgongano wa kimasilahi na hii kampuni ya Mengi
maana sikutarajia mtu kama wewe kuanza kumshabikia Masha while amechemka, kama umemsoma mengi alichoeleza nafikiri huna sababu ya kumtetea huyu Masha, jamaa amechemka na asipo anagalia ataaibika
maana always Mengi husema kitu ambacho anauhakika na ushahidi hawezi kukurupuka kwa kutoa tuhuma kama hizo, anyway ngoja tuone siku saba si nyingi ingawa Menfi amesema hizo siku saba ni nyingi sana kwake na kama vipi huyo waziri aende mahamani anytime