Mengi Vs Masha tuhuma, vitisho na matokeo!

Mengi Vs Masha tuhuma, vitisho na matokeo!

Status
Not open for further replies.
Watanzania wanatakiwa waraka wa amani kama bahati bukuku alivyoimba katika nyimbo yake
 
Amechemsha Masha...Juzi tu katokea Keko kuwatembelea watuhumiwa wa ufisadi..Katoka nje katanganza vita...Katoa siku saba...Watu wanachukulia ize wanasema Mengi anataka publicity...Watu hawatake time kuiangalia isue hii kwa mapana zaidi...Hatuwezi kuona waziri wa wizara nyeti kama ya mambo ya ndani kusimpathise na watuhumiwa wa ufisadi na kutoa siku saba kwa wanaopinga ufisadi na wanaotishiwa maisha na status quo.
La kujiuliza ni kwamba...Je alikuwa amelewa pia alipokwenda Keko?
 
Ohh,

Naona sasa unataka kuamuru nini kifanyike hapa kwenye hii forum. Get another job maana hiyo so far imekufa kwenye kufika (dead on arrival).

Education ya Masha na namna alivyoingia Mlimani ni issue kubwa sana kwa mtu ambaye amepewa nafasi ya uwaziri nyeti sana Tanzania. Ukipenda unaweza kuskip kila post itakayoongelea education ya Masha.

Kwangu mimi, I have just started kwenye hili.

Mimi ni nani kuamuru kitu! Nilikuwa nashauri tu.Sasa hii ya mimi ku get another job inakuwaje?
 
MWK,

Just setting the record straight with some of these oxymoronic important trivialities

Sentensi yako inaweza kutafsirika kuwa Masha amesoma Ivy League, Georgetown, ingawa ni chuo kinachoheshimika sana, hakipo katika level ya Ivy league.

Ivy league, alphabetically, ni Brown University, Columbia University, Cornell University, Dartmouth College, Harvard University, Princeton University, University of Pennsylvania na Yale University.

Georgetown is in the league of University of Chicago, New York University, Stanford University, Massachussets Institute of Technology, Washington University and the likes. Certainly impressive, but if at all you care enough to rank colleges by using that old moneyed term "Ivy League", second tier anyway.

Tuendelee.

Hey umeacha Vanderbilt na Emory....wee vipi bana
 
Hii mada karibia itakuwa hijacked na watu flani flani na kuanza kuhoji elimu ya Masha kama walivyohoji elimu ya Dokta Masau. Mwishowe utasikia Masha hajasomea sheria na mtu kapiga simu chuo flani.....

Hilo la kuwa ni msomi sidhani kama ndugu Mengi anapingana nalo ila wana forum wanajadiliana tu nadhani...Point hapa ipo kwenye kosa lake ambalo inasemekana ushahidi utakuwa void due to ulevi...Mh waziri akadai udhibitisho...Sasa hajui na yeye atadaiwa udhibitisho wa kama ni kweli alikuwa kalewa?
 
So mengi has a lawyer lady these days! jf kunapatikana kila aina ya info, unazozitatafuta na usizozitafuta. Older than his children i hope, au he's been craddle snatching? The man has interesting morals it would be...
 
Mimi ni nani kuamuru kitu! Nilikuwa nashauri tu.Sasa hii ya mimi ku get another job inakuwaje?

Kazi ya kuamuru hapa mambo ya kuandika imepigwa marufuku na watu wengi akiwemo my in law Nyani Ngabu. Wewe ukitaka kusema kitu hapa wewe kiseme tu na sio kuambia wengine wasiseme vitu fulani eti kwa vile havitoshi perspective yako.
 
Mwanamke muafrika anataka kuhijak thread aanze tena kuhesa bu madarasa ya Masha from preskul.. So wat kama ametumia some loophole kukwepa JKT. It was a smart move for him as a non-patriot.. We want patriots to be our leaders and not businessmen.. including huyo mungu wako.. u know who..

Mkuu Kinyambiss naomba kutofautiana na wewe...Patriots gani hao ambao si wafanyabiashara ambao walienda ikulu na hawakufanya biashara? Na unaposema mjadala umekuwa hijacked kuelekea kwenye qualifications za Masha...Then na wewe unaupeleka kwenye kuhusu viongozi patriots na wafanyabiashara wapi hao?
 
Kabla hatujafika kwa Mkullo, tuanzie na yeye Kikwete: Is he the best we have katika Watanzania zaidi ya millioni 30 kuwa raisi? The answer is heck no and that partly explains why he chooses the people he chooses to run his government. Oh well, elections have consequences.....

I agree with you..... elections have consequences na hii ni one of 'em
 
I was just trying to bring some levity in here. I know they are not IVY League, but who cares....

Na cha ajabu 1 in 2 people here are either from NY or Boston...a whole bunch of transplants......hehehehehe

he he he....eeee,

Dont worry Ngabu..... I dont represent the east coast here..... kwi kwi kwi
 
he he he....eeee,

Dont worry Ngabu..... I dont represent the east coast here..... kwi kwi kwi

In law, sorry for not being clear. By "here" I meant the big ATL......I think you missed the word "transplant"....you must be non compos mentis today (possibly due to thinking about mafisadis too much!!)...Lol

Please don't dock me any points...I know where you represent.....
 
kwani waziri masha ndiye waziri kijana tu katikka serikali ya rais kikwete. mbona wapo wengi .
 
-- whistling -- kitu cha kwanza Masha ajiuzulu Uwaziri kwanza just to make it a fair game.

Naona kwako kaka kila kitu ni kujiudhulu,sijui watajiudhulu wangapi?Ata kama wanataka mheshimiwa atoe uthibitisho wa Waziri anayemtuhumu!Lakini kuna kitu lazima tujiulize mimi nadhani huyu Mengi naye ana matatizo kila wakati amekuwa akigombana na watu kwa visingizio tofauti.Mara nyingi amekuwa akifikiri kutokana na jina lake watu watampa kila kitu bure.Aligombana na Masilingi kisa hotel,amekosana na Manji kisa magodauni na sasa ameyaanza mengine.Kiboko yake Mkapa alilia lia hakumsikiliza kabisa!

Tusifikirie kila wakati kuwa huyu mzee anakuwa sahihi lakini yeye ana interest yake kubwa ambayo ni biashara na tusije kufikiri kuwa atakuwa anamtetea Mtanzania wa kawaida la hasha anatafuta maslahi tu huyu.
 
In law, sorry for not being clear. By "here" I meant the big ATL......I think you missed the word "transplant"....you must be non compos mentis today (possibly due to thinking about mafisadis too much!!)...Lol

Please don't dock me any points...I know where you represent.....

Dont worry about it.....

you gat me there .... I am absolutely non compos mentis today. I dont get enough of this adminstration.... most of guys there are either "db's or ....I dont know what..."

Hey... I am gonna cool down for a moment before I explode.
 
Dont worry about it.....

you gat me there .... I am absolutely non compos mentis today. I dont get enough of this adminstration.... most of guys there are either "db's or ....I dont know what..."

Hey... I am gonna cool down for a moment before I explode.

You do that.....
 
Lipi baya zaidi: kumzushia mtu mambo ambayo si ya kweli au mzushiwa ku-react kwa tuhuma alizotolewa na mtoa tuhuma? Swali hili halihusiani na swala la Mengi na Masha. Linahusiana na principle.

Nyani

Ile post ya kwanza kabisa iliyofungua thread ilisema kuwa Masha alitoa ultimatum hiyo akiwa kama Waziri wa Mambo ya Ndani, siyo kama mzushiwa. Halafu niliposoma taarifa zote zilizotolewa huko nyuma, Mengi alisema waziri kijana msomi anayeongoza wizara nyeti; baraza la Kikwete lina vijana wengi wasomi, na wizara zote za serikali ni nyeti, kwa hiyo malalamiko hayo ya Mengi hayakuwa yameelekezwa directly kwa Masha unless kama kuna taarifa zaidi.

Kama kweli unamini principle, basi utakubaliana nami kuwa Masha kakurupuka, kwa vile yeye katika position yake hakutakiwa kutoa ultimatum ya kuletewa ushahidi; aufanyie nini, kwani yeye ndiye mpelelezi wa makosa ya jinai.
 
Nyani

Ile post ya kwanza kabisa iliyofungua thread ilisema kuwa Masha alitoa ultimatum hiyo akiwa kama Waziri wa Mambo ya Ndani, siyo kama mzushiwa. Halafu niliposoma taarifa zote zilizotolewa huko nyuma, Mengi alisema waziri kijana msomi anayeongoza wizara nyeti; baraza la Kikwete lina vijana wengi wasomi, na wizara zote za serikali ni nyeti, kwa hiyo malalamiko hayo ya Mengi hayakuwa yameelekezwa directly kwa Masha unless kama kuna taarifa zaidi.

Kama kweli unamini principle, basi utakubaliana nami kuwa Masha kakurupuka, kwa vile yeye katika position yake hakutakiwa kutoa ultimatum ya kuletewa ushahidi; aufanyie nini, kwani yeye ndiye mpelelezi wa makosa ya jinai.


Swadakta.............!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom