Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,795
- 1,344
Umesahau kuwa uchaguzi wa 2020 aliyekua na maamuzi ya mwisho ni MEKO.???Sofia Simba ashafulia hana hela yoyote, la sivyo angeshinda viti maalum mwaka jana
Umesahau kuwa uchaguzi wa 2020 aliyekua na maamuzi ya mwisho ni MEKO.???Sofia Simba ashafulia hana hela yoyote, la sivyo angeshinda viti maalum mwaka jana
swali lako ni zuri ila ni la kijingaKwa nini Chadema hawajapeleka mgombea uspika?
Dr Nchimbi mna mweka wapi?Spika atakuwa Tulia.
Da yaani una inzi mpaka ndani ya CCM, wewe si wa kawaida.
Maoni yangu niliisha yaanzaNinasubiri kwa hamu maoni yako kwa jina litakalopendekezwa na ccm kuwa spika. Maana nakumbuka Pascal Mayalla ulikuwa miongoni mwa wahanga wa uongozi wa spika aliyepita.
Spika ajaye ni huyuNinasubiri kwa hamu maoni yako kwa jina litakalopendekezwa na ccm kuwa spika. Maana nakumbuka Pascal Mayalla ulikuwa miongoni mwa wahanga wa uongozi wa spika aliyepita.
Spika ajaye kama ilivyo kwako wewe RAISI AJAYEHuyu
Ni nani huyu??
ccm ni mnana wa babeli, Mungu yupo kaziniHii ndio taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Chama hicho Shaka Hamdu.
Taarifa zinaeleza kwamba kuahirishwa kwa kikao hicho kunatokana na kusambaratika kwa wajumbe wa kikao hicho kulikoibua Makundi yanayonyukana , huku kila kundi likitaka mgombea wake awe Spika .
Mwanzo wa sekeseke hilo ni fununu za kuwataka Wajumbe lazima wamchague Dr Kashilila ambaye ni Mgombea wa Mfukoni wa Wakubwa .
Usikae mbali na JF ili uendelee kupata kila kinachojiri kwenye mnyukano huo , YUKO NZI WANGU NDANI YA VIKAO VYAO .
Spika atakuwa Tulia.
Nchi haina dini wala Kabila. Tunaangalia mwenye uwezo.Chenge ondoa huwezi jaza wakristo watupu au wasukuma wawili kwenye nafasi tatu chenge msukuma masele msukuma
Na huwezi weka wote wakristo watupu wote watatu muislamu lazima awemo
Wote hao wakristo mkristo mwenye uzoefu mkubwa kwa wagombea ni Tulia
Kumbuka Wanaotakiwa kupendekezwa in watatu tu
Kwa waislamu muislamu aliyegombea mwenye uzoefu mkubwa bungeni ni Zungu
Kwa wasukuma mwenye uzoefu mkubwa na bunge kiuongozi ni Masele Aliyekuwa naibu spika bunge LA Afrika