YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,908
- 51,907
Wote hao wakristo mkristo mwenye uzoefu mkubwa kwa wagombea ni TuliaMwakilishi wa Wakatoliki ni yupi hapo? Na Wasabato? Kumbuka hao siyo Wakristu kwa tafsiri ya walokole
Kumbuka Wanaotakiwa kupendekezwa in watatu tu
Kwa waislamu muislamu aliyegombea mwenye uzoefu mkubwa bungeni ni Zungu
Kwa wasukuma mwenye uzoefu mkubwa na bunge kiuongozi ni Masele Aliyekuwa naibu spika bunge LA Afrika