Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,502
- 9,282
Labda ndiye kigogo mwenyeweWanamuonea tu,waanze na kigogo
Maajabu makubwa kabisa haya!Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni Ramadhani Kingai amesema Polisi wanamshikilia Charles Majura (35) ambaye ni Fundi Simu, kwa kosa la kimtandao kwa kusambaza taarifa za uzushi kuwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli ni mgonjwa.
Al Jazeera walipewa uongo na Lissu. Lissu akitua tu KekoWangekamata kwanza Aljazira
As long upo duniani watu hatulingani.Hivi mtu kuwa mgonjwa ni dhambi?
U wishHili sakata waliosambaza, waliocoment, walio like ni wengi sana
Mods fanyeni kazi yenu tusijeharibu jf yetu
Usitutishe aiseMagereza yapo mengi tu nchini, mnaofikiri nafasi zimejaa mtasekwa ndani tu hakuna namna