Matukio ya kutengenezwa ya kujiteka

Matukio ya kutengenezwa ya kujiteka

Masajihisho ya kichwa cha habari: Alijiteka. T226 DJQ
 
Hata kama huyu kajiteka ila haiondoi ukweli kwamba hayo matukio yapo
 
Simple tu!! kwanini serikali isifuatilie ili kujua wanaotengeneza hayo matukio ili wanaotengeneza hayo matukio wachukuliwe hatua zakisheria hali yakuwa uwezo huo serikali wanao kuliko kuendelea kutupiwa lawama hali yakuwa uwezo wakujitoa kwenye hizo lawama wanao?
 
Ok kuniteke wenyewe tumekusoma nyani. Lkn ulitakiwa umalizie kujipiga mabomu wenyewe,kujitwanga risasi za moto wenyewe nk nadhani andiko lako lingekua poa
 
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.

Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.

Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.

Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
Azory Gwanda!
 
Ni kweli waliowengi kwa sasa wanataka KIKI tu na kumchafua rais wetu kipenzi mrekebisha tabia mbovu za watu kutaka kuonekana miungu watu yaani mabwana na watwana, watashindwa na kidume JPM atawarekebisha wote, Bwana asifiwe!!
 
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.

Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.

Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.

Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
UNAPAFAHAMU HAPO KWA MJOMBA WAKE, ULIENDA UKAMKUTA HUKO? BAADA YA HAPO ALIENDA WAPI.
 
.Nimepata Taarifa ya mshangao mkubwa jioni ya leo punde tu nilivyowasili nyumbani kwangu Mafinga jioni ya leo baada ya kuona kwenye mitandao ya kijamii na kusikiliza kwenye vyombo vya Habari sasa nakaa natafakari ni aina gani ya vijana tuliokuwa nao

Mapema leo asubuhi muda wa saa 12:00 asubuhi nilipanda gari aina ya NEW FORCE yenye namba ya usajili ya T 226 DJQ nakukaa siti yenye namba G3 ambapo jirani wangu aliyekuwa amejivika shuka la kimasai alikuwa amekaa siti namba G4 ambaye alionekana kuwa na hofu wakati wote na kutumia simu yake kwa kutuma jumbe tofauti kila mara

Wakati tupo njiani kijana yule nilitaka kujenga urafiki walau Tupige hata stori mbili tatu lakini ilishindikana ila tulipofika Morogoro ndipo alianza kunisemesha kwa kuhitaji nimsaidie kununua maji kwa kuwa nilikuwa upande wa dirishani nikafanya hivyo nikiwa na dhamira ya kumsaidia ndipo tulipoanza kupiga stori mbili tatu

Lakini nilisikia tukiwa njiani anawasiliana na mtu mmoja mwenye sauti ya kike na kumtaka aandae mazingira ya hapo wanapokutani.

Wakati wote namuaangalia kijana huyu ambaye awali nilikuwa simfahamu vizuri nilimbaini kwa sura nikamjua na hakutaka kuongea na mimi zaidii ya kujifichaficha

Sasa nimefika nyumbani Naanda kusikiliza radio nasikia kuna kijana wa chuo kikuu cha Dar es Salaam kutekwa nilipoingia Facebook ndo nikaona picha yake nikamwambia mke wangu ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi Kuwa kijana huyu nimependa naye basi moja kutoka Dar es Salaam na mke wangu hakuamini

Nipende kuambia ndugu watanzania wenzangu kijana huyu HAJATEKWA WALA NINI MAANA NILIKUWA NAYE MWANZO WA SAFARI YOTE NA KAMA KATEKWA LABDA NI KWENYE NDOTO

HIVYO TAARIFA ZOTE ZA UTEKWAJI WAKE NI ZA KUPUUZWA MAANA ANATAKA KUTAFUTA UMAARUFU WA AJABU KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA MITANDAO YA KIJAMII

*JONATHANA KWEPE*
Taarifa hizi ni muhimu sana kwani zitasaidia kupata wapi vyombo vyetu vianzie ili kupata ukweli na suluhu ya haya matukio yanayoogofya kwa sasa.
Ofisi za kampuni ya basi hilo zipo,hivyo zitasaidia kupata taarifa za hawa abiria wawili wenye seat no.G3 na G4. Wote kati yao wakiwa muhimu zaidi ingawa mmoja wao ni rahisi kutumia taarifa za uongo pia au hata kukatiwa ticket na mtu mwingine. Lakini ushirikiano ukiwepo kuna jambo litafanyika.

Ikithibitika taarifa hizi ni kweli basi Sheria zifuate mkondo wake na Watanzania watakuwa wamejua aina ya vijana tulionao,wanasiasa tulionao,taifa tulilonalo pamoja na chuki tulizonazo.

Ikithibitika huuvni uzushi,sijui utakuwa unafanya mambo haya kwa faida ya nani. Nadhani hutastahili hata mbele ya shetani.

Lakini wito wangu kama taifa.....mambo yote haya yanaepukika. Tusikubali kutumika na wala mamlaka zisiwaingize vijana wetu katika dhambi mbaya eti kwa sababu wapo kwa ajili ya kutii kila AMRI inayotoka kwao.

TAARIFA HIZI NI MUHIMU KWA VYOMBO VYETU VYA USALAMA
 
.Nimepata Taarifa ya mshangao mkubwa jioni ya leo punde tu nilivyowasili nyumbani kwangu Mafinga jioni ya leo baada ya kuona kwenye mitandao ya kijamii na kusikiliza kwenye vyombo vya Habari sasa nakaa natafakari ni aina gani ya vijana tuliokuwa nao

Mapema leo asubuhi muda wa saa 12:00 asubuhi nilipanda gari aina ya NEW FORCE yenye namba ya usajili ya T 226 DJQ nakukaa siti yenye namba G3 ambapo jirani wangu aliyekuwa amejivika shuka la kimasai alikuwa amekaa siti namba G4 ambaye alionekana kuwa na hofu wakati wote na kutumia simu yake kwa kutuma jumbe tofauti kila mara

Wakati tupo njiani kijana yule nilitaka kujenga urafiki walau Tupige hata stori mbili tatu lakini ilishindikana ila tulipofika Morogoro ndipo alianza kunisemesha kwa kuhitaji nimsaidie kununua maji kwa kuwa nilikuwa upande wa dirishani nikafanya hivyo nikiwa na dhamira ya kumsaidia ndipo tulipoanza kupiga stori mbili tatu

Lakini nilisikia tukiwa njiani anawasiliana na mtu mmoja mwenye sauti ya kike na kumtaka aandae mazingira ya hapo wanapokutani.

Wakati wote namuaangalia kijana huyu ambaye awali nilikuwa simfahamu vizuri nilimbaini kwa sura nikamjua na hakutaka kuongea na mimi zaidii ya kujifichaficha

Sasa nimefika nyumbani Naanda kusikiliza radio nasikia kuna kijana wa chuo kikuu cha Dar es Salaam kutekwa nilipoingia Facebook ndo nikaona picha yake nikamwambia mke wangu ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi Kuwa kijana huyu nimependa naye basi moja kutoka Dar es Salaam na mke wangu hakuamini

Nipende kuambia ndugu watanzania wenzangu kijana huyu HAJATEKWA WALA NINI MAANA NILIKUWA NAYE MWANZO WA SAFARI YOTE NA KAMA KATEKWA LABDA NI KWENYE NDOTO

HIVYO TAARIFA ZOTE ZA UTEKWAJI WAKE NI ZA KUPUUZWA MAANA ANATAKA KUTAFUTA UMAARUFU WA AJABU KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA MITANDAO YA KIJAMII

*JONATHANA KWEPE*
wanataka umaarufu kupitia marehemu
 
Nimepata Taarifa ya mshangao mkubwa jioni ya leo punde tu nilivyowasili nyumbani kwangu Mafinga jioni ya leo baada ya kuona kwenye mitandao ya kijamii na kusikiliza kwenye vyombo vya Habari sasa nakaa natafakari ni aina gani ya vijana tuliokuwa nao

Mapema leo asubuhi muda wa saa 12:00 asubuhi nilipanda gari aina ya NEW FORCE yenye namba ya usajili ya T 226 DJQ nakukaa siti yenye namba G3 ambapo jirani wangu aliyekuwa amejivika shuka la kimasai alikuwa amekaa siti namba G4 ambaye alionekana kuwa na hofu wakati wote na kutumia simu yake kwa kutuma jumbe tofauti kila mara

Wakati tupo njiani kijana yule nilitaka kujenga urafiki walau Tupige hata stori mbili tatu lakini ilishindikana ila tulipofika Morogoro ndipo alianza kunisemesha kwa kuhitaji nimsaidie kununua maji kwa kuwa nilikuwa upande wa dirishani nikafanya hivyo nikiwa na dhamira ya kumsaidia ndipo tulipoanza kupiga stori mbili tatu

Lakini nilisikia tukiwa njiani anawasiliana na mtu mmoja mwenye sauti ya kike na kumtaka aandae mazingira ya hapo wanapokutani.

Wakati wote namuaangalia kijana huyu ambaye awali nilikuwa simfahamu vizuri nilimbaini kwa sura nikamjua na hakutaka kuongea na mimi zaidii ya kujifichaficha

Sasa nimefika nyumbani Naanda kusikiliza radio nasikia kuna kijana wa chuo kikuu cha Dar es Salaam kutekwa nilipoingia Facebook ndo nikaona picha yake nikamwambia mke wangu ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi Kuwa kijana huyu nimependa naye basi moja kutoka Dar es Salaam na mke wangu hakuamini

Nipende kuambia ndugu watanzania wenzangu kijana huyu HAJATEKWA WALA NINI MAANA NILIKUWA NAYE MWANZO WA SAFARI YOTE NA KAMA KATEKWA LABDA NI KWENYE NDOTO

HIVYO TAARIFA ZOTE ZA UTEKWAJI WAKE NI ZA KUPUUZWA MAANA ANATAKA KUTAFUTA UMAARUFU WA AJABU KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA MITANDAO YA KIJAMII

JONATHANA KWEPE
Yaonekana ulihusika na huo utekaji. Na hadithi yako yatia mashaka.
Kinyume chake nenda katoe taarifa polisi ili "UCHUNGUZI" ufanyike ili kama itathibitika alijiteka akamatwe.
 
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.

Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.

Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.

Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
Inawezekana maana hata matukio ya kuokota wafu kwenye maji kwa idadi kubwa hayakuwa miongoni mwa mazoea yetu...
 
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.

Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.

Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.

Msidanganyike kirahisi. Stukeni.

Na wengine wanajikata mapanga.....wanajipiga risasi.....dah hizi movie hizi
 
Hapa hutapata ubishi toka kwangu. Mimi pia ningependa kupata ufumbuzi wa huu uhalifu unaotokea.

Siamini kama serikali ndiyo inayofanya huu uhalifu, watu wanaichukia, lakini wanaendelea kufanya hivyo hivyo.

Na mwisho, sidhani kama suluhu ya haya matatizo ni kuipindua serikali ya Magufuli.

Tusubiri 2020.

Hakuna haja ya kusubiri mpaka 2020. Jeshi la polisi na Usalama wa Taifa unapaswa kufanya kazi yake.

Watoe majibu hawa watu wapo wapi? Kama ni kwa mjomba ni rahisi sana kwa sababu huyo mjomba tayari ni alibi.

Kama hawajui hawa watu wapo wapi basi Jeshi liombe msaada nje lisaidiwe.

Serikali haitaki msaada. Serikali haitoi majibu ya uchunguzi wake kwenye haya mambo.

Lakini lawama Serikali haipaswi kutupiwa? Hili si suala si la imani kwani kila mtu anaweza kuamini chochote anachotaka.

Swali ni kwa nini hakuna majibu? Kama ni wapinzani wa Serikali wanateka watu, Jeshi la polisi halijui?

Magufuli kakemea haya mambo ya utekaji mara ngapi?
 
.Nimepata Taarifa ya mshangao mkubwa jioni ya leo punde tu nilivyowasili nyumbani kwangu Mafinga jioni ya leo baada ya kuona kwenye mitandao ya kijamii na kusikiliza kwenye vyombo vya Habari sasa nakaa natafakari ni aina gani ya vijana tuliokuwa nao

Mapema leo asubuhi muda wa saa 12:00 asubuhi nilipanda gari aina ya NEW FORCE yenye namba ya usajili ya T 226 DJQ nakukaa siti yenye namba G3 ambapo jirani wangu aliyekuwa amejivika shuka la kimasai alikuwa amekaa siti namba G4 ambaye alionekana kuwa na hofu wakati wote na kutumia simu yake kwa kutuma jumbe tofauti kila mara

Wakati tupo njiani kijana yule nilitaka kujenga urafiki walau Tupige hata stori mbili tatu lakini ilishindikana ila tulipofika Morogoro ndipo alianza kunisemesha kwa kuhitaji nimsaidie kununua maji kwa kuwa nilikuwa upande wa dirishani nikafanya hivyo nikiwa na dhamira ya kumsaidia ndipo tulipoanza kupiga stori mbili tatu

Lakini nilisikia tukiwa njiani anawasiliana na mtu mmoja mwenye sauti ya kike na kumtaka aandae mazingira ya hapo wanapokutani.

Wakati wote namuaangalia kijana huyu ambaye awali nilikuwa simfahamu vizuri nilimbaini kwa sura nikamjua na hakutaka kuongea na mimi zaidii ya kujifichaficha

Sasa nimefika nyumbani Naanda kusikiliza radio nasikia kuna kijana wa chuo kikuu cha Dar es Salaam kutekwa nilipoingia Facebook ndo nikaona picha yake nikamwambia mke wangu ambaye ni mwalimu wa shule ya msingi Kuwa kijana huyu nimependa naye basi moja kutoka Dar es Salaam na mke wangu hakuamini

Nipende kuambia ndugu watanzania wenzangu kijana huyu HAJATEKWA WALA NINI MAANA NILIKUWA NAYE MWANZO WA SAFARI YOTE NA KAMA KATEKWA LABDA NI KWENYE NDOTO

HIVYO TAARIFA ZOTE ZA UTEKWAJI WAKE NI ZA KUPUUZWA MAANA ANATAKA KUTAFUTA UMAARUFU WA AJABU KWENYE VYOMBO VYA HABARI NA MITANDAO YA KIJAMII

*JONATHANA KWEPE*
Nadhani polisi watakuwa wamepata clue kwa kwenda NEW FORCE na kuangalia majina ya wasafiri waliotumia siti namba G4 na G3 ila kwa sasa ngoja naye ahojiwe usiusemee moyo wake na kututoa kwenye reli.
 
Hawa watu wataendelea kucheza hii michezo ya kuigiza mpaka lini. Eti oh nimetekwa, huku bado unatumia simu. Kutekwa gani huko?
Usaniii ule ule ule wa akina Ben Saanane Roma mwandishi wa habari kujiteka,ni ule ule wa Lissu kujifyatulia risasi 38 na wengine kujikata mapanga mpaka kufa ,Watanzania tuko juu sana kwa usanii.
 
Naanza kupatwa na mashaka kuwa huenda kuna watu wanaunda matukio flani flani ili kutimiza azma zao za kisiasa dhidi ya rais Magufuli.

Mtu anaenda kujificha kwa mjomba wake huko halafu wenzake wanasema kapotea au katekwa halafu lawama anaanza kupewa rais Magufuli.

Haya matukio ya kupotea potea watu inabidi tuyaangalie kwa jicho la tatu na si kumeza kila kitu tukisikiacho.

Msidanganyike kirahisi. Stukeni.
Tuondolee upuuzi wako hapa. Umekula maparachichi huko unakuja kutapika hapa? Hujiulizi kwanini kila anayeikosoa Serikali anapotea au kupigwa risasi?
 
Jamani mchina ni level nyingune lile bus T226DJQ lina gps tracker na kuna camera za siri, haya ngoja wadogo waumbuke sasa. Naomba sirro awachukue maelezo wafanyakazi wa hilo bus ili hatua stahiki zichukuliwe dhidi ya huyu dogo mshenzi.
 
Hakuna haja ya kusubiri mpaka 2020. Jeshi la polisi na Usalama wa Taifa unapaswa kufanya kazi yake.

Watoe majibu hawa watu wapo wapi? Kama ni kwa mjomba ni rahisi sana kwa sababu huyo mjomba tayari ni alibi.

Kama hawajui hawa watu wapo wapi basi Jeshi liombe msaada nje lisaidiwe.

Serikali haitaki msaada. Serikali haitoi majibu ya uchunguzi wake kwenye haya mambo.

Lakini lawama Serikali haipaswi kutupiwa? Hili si suala si la imani kwani kila mtu anaweza kuamini chochote anachotaka.

Swali ni kwa nini hakuna majibu? Kama ni wapinzani wa Serikali wanateka watu, Jeshi la polisi halijui?

Magufuli kakemea haya mambo ya utekaji mara ngapi?
Nilisema tusubiri 2020 kama kuna haja ya kumuwajibisha Magufuli.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom