Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
Msimamizi wa kituo "kuna wapiga kura Wasukuma hawajui Kiswahili". Source TBC sasa hivi.
 
ngoja nifke hme,mana igunga imenichanganya cjui kama nitaweza kula,makunga lazima aundiwe tume
 
Kwa kawaida mshindi ndiyo anayepongezwa. Sasa unapongeza magwanda kwa lipi?

Wao wanaweza kushinda lakini sisi ndiyo Washindi zaidi! Washindi kwa kuwa sasa hata wazee wa vijijini wameweza kuamka, we just need kukaza kamba....After sometime hata nyie mnaolipwa na CCM kuishabikia , mtachoka!
 
Mijitu ya njombe ingekuwa amri ilitakiwa wapelekwe sayari ya jupiter,ndio inaleta ukauziba wa maendeleo hapa tz malofa wakubwa sana
Hujawatendea haki kabisa wakazi wa Njombe na Iringa kwa ujumla. Hivi huyo mgombea wa CHADEMA hata angekuwa ng'ombe alipaswa achaguliwe kwa kuwa tu ni wa chadema? Huwezi kujua wananjombe na Iringa kwa ujumla walikuwa wana criteria gani za kumchagua huyo wa CCM. Si ajabu wa chadema ni mnywa gongo tu? Nashabikia mageuzi lakini siungi mkono bora mageuzi, napendelea mageuzi ya ukweli. Kama mgombea wa CHADEMA ni mbovu, bora asichaguliwe maana anaweza kututia aibu na kurudisha nyuma heshima ya chama.
 
TUJIKUMBUSHE: Wasirra on Raia Mwema.
KAMPENI za uchaguzi wa ubunge Jimbo la Igunga, zikiwa zinaelekea ukingoni vita sasa imepamba moto kati ya vyama vinavyoshindana kwa karibu vya CCM, CUF na CHADEMA, kila kimoja kikifanya ukachero kuumbua kinaoamini ni washindani wake, ikiwamo kufichua hadi njama za chama kimojawapo kutaka kushangilia ushindi kabla matokeo kutangazwa rasmi.


Huku kukiwa na hofu ya vyama viwili vya upinzani vya CUF na CHADEMA kugawa kura kutokana na kushambuliana, hali si shwari ndani ya CCM ambako kuna hofu kubwa ya baadhi ya wanachama wake kufanya hujuma kwa sababu mbalimbali ili chama hicho kishindwe uchaguzi huo.

Source: Raia Mwema
 
nilikuwa wakala wa chadema uchaguzi uliopita ila kesho naenda kuchukua kadi
 
cHADEEEEMAAAA HOYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE SISISSI SINLISEMAAA SISSISISS SINLISEMAAAAAAA HOYEEEEEEE HEKO CHADEMAAAAA HHAHAAHAHH NA RAHAA SANA NKO MJINI HAPA TUMEJUMLISHA KILA KITU KIUNDERCOVER MAMBO NI BWREEEEE BWEREREREEEE
 
Baada ya Mtangazaji uchwara kutanga kituo kwa kituo, amegudua stahili hiyo itaonesha uwazi na wezi wenzake watashindwa kufanya uovu wao sasa Katoka na staili ya Kutangaza kata kwa kata, kweli hata Nova kumbe anaweza kuiza nchi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom