Bora iwe hivo,maana jinsi walivo paa duh.
Regina mwalekwa;vijana wa chadema wameingia mtaani,vijana wanasema matokeo yanacheleweshwa na huenda yanachakachuliwa,,,,,,,polisi wanawaangalia tu hawawafanyi kitu isipokuwa wanarandaranda,,,,,,maelezo zaidi skiliza clouds
majina ya vituo sija yakamata vizuri
ila:
CDM 93 CCM 63
CDM 75 CCM 80
CDM 56 CCM 31
CDM 21 CCM 69
CDM 84 CCM 79
CDM 16 CCM 7
CDM 73 CCM 63
CDM 62 CCM 47
CDM 91 CCM 71
CDM 106 CCM 37
CDM 95 CCM 48
CDM 73 CCM 63
CDM 86 CCM 65
CDM 90 CCM 80
CDM 115 CCM 79
CDM 104 CCM 78
CDM 31 CCM 40
CUF sijaiweka maana ni uchafu,kura kama unahesabu ngamia tanzania.
Habari nilizo zipata hivi sasa, Novatus Makunga anatafutwa kwa kutoa habari za uongo. Hua analala wanapo lala CCM. Akipatikana anakabiliwa na kichapo cha nguvu. Matokeo mengi ya vituo kimoja kimoja yanaonyesha CDM imeshinda. Tusaidiane kuhusu hili.
acha waendelee na ujinga wao kwani wajinga ndio waliwaoMijitu ya njombe ingekuwa amri ilitakiwa wapelekwe sayari ya jupiter,ndio inaleta ukauziba wa maendeleo hapa tz malofa wakubwa sana
Habari nilizo zipata hivi sasa, Novatus Makunga anatafutwa kwa kutoa habari za uongo. Hua analala wanapo lala CCM. Akipatikana anakabiliwa na kichapo cha nguvu. Matokeo mengi ya vituo kimoja kimoja yanaonyesha CDM imeshinda. Tusaidiane kuhusu hili.
Mkuu wala usiwe na wasiwasi, kwa kawaida magamba huwa hawako smart kwenye kuchakachua...........mwisho wa siku watafanya mistake ndogo sana ambayo itatia nyongo kwenye matokeo yote.
Clouds FM wametanganza sasa hvi CHADEMA inaongoza na CCM inafuatia,VIVa chadema,ila bado wataendelea kutanganza matokeo
Nape yupi tena? maana alizuiwa? alienda huko msibani na akaambiwa asikanyage?
You said it man, siku zote mtaji wa CCM ni umasikini na ujinga wa watanzania. Hapo ndipo ambapo huwa nazifagilia shule za kata. Naamini hizi shule zitaleta mwamko mkubwa sana huko vijijini maana zinazalisha ziro kibao ambazo zinabaki zinahang huko mitaani hazina mbele wala nyuma. Hizi ndizo zitakazoitafuna CCM miaka mitano ijayo.Hivi CCM inaposhinda vijijini na kushindwa Vibaya mjini hii ina maanisha nini? Ina maana CCM ina nguvu kwenye " less informed society" au? Hii ni aibu sana kwa Chama Tawala kutegemea "ujinga" au umaskini wa Watanzania kupata madaraka.
Jamani the downfall of ccm it has to be done effectively by shown the example in igunga.people power.....chadema timua hao wezi...aka ccm