Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Matokeo ya Uchaguzi mdogo Igunga (matokeo ya awali)

Status
Not open for further replies.
habari nilizo zipata hivi sasa, novatus makunga anatafutwa kwa kutoa habari za uongo. hua analala wanapo lala ccm. Akipatikana anakabiliwa na kichapo cha nguvu. Matokeo mengi ya vituo kimoja kimoja yanaonyesha cdm imeshinda. Tusaidiane kuhusu hili.

nimekupata mkuu, inaonekana ametumwa aseme hivyo , otherwise alitakiwa ataje kituo kwa kituo na siyo kata.
 
Habari nilizo zipata hivi sasa, Novatus Makunga anatafutwa kwa kutoa habari za uongo. Hua analala wanapo lala CCM. Akipatikana anakabiliwa na kichapo cha nguvu. Matokeo mengi ya vituo kimoja kimoja yanaonyesha CDM imeshinda. Tusaidiane kuhusu hili.
Una uhakika na hii story? Na kweli yeye ndiyo amekata watu stimu kabisa.
 
Mkuu hesabu naona zimewapiga chenga. Kwa haraka ccm wana jumla ya 5975 na cdm wana 4692. Tofauti ni 1283. Hivyo kama matokeo ni hayo ccm wamwshinda
 
Mashabiki papa ya Magwanda yamesepa jamvi vimebaki vidagaa tu
 
Huo ndiyo ukweli

Hivi CCM inaposhinda vijijini na kushindwa Vibaya mjini hii ina maanisha nini? Ina maana CCM ina nguvu kwenye " less informed society" au? Hii ni aibu sana kwa Chama Tawala kutegemea "ujinga" au umaskini wa Watanzania kupata madaraka.
 
Haya, ninachokiona hapa matokeo katika vituo kadhaa vya mjini Igunga yanaonyesha CHADEMA inaongoza na hali ni shwari sasa ila viongozi wengi wa CCM wameondoka hapa mjini igunga kila ukupita mitaani sasa ni CHADEMA mwendo mdundo. Mjini ndio kuna wapiga kura wengi hapa Igunga.

CCM wamekimbia mji hoteli waliyofikia vigogo ipo kimya. Kwa sasa nasubiri vituo vya vijijini.


Other updates:

06:00 PM Misururu ya vijana imeonekana mida ya jionijioni, yawezekana idadi ya waliopiga kura ikaongezeka.
vijana wametuangusha cdm
 
majina ya vituo sija yakamata vizuri
ila:
CDM 93 CCM 63
CDM 75 CCM 80
CDM 56 CCM 31
CDM 21 CCM 69
CDM 84 CCM 79
CDM 16 CCM 7
CDM 73 CCM 63
CDM 62 CCM 47
CDM 91 CCM 71
CDM 106 CCM 37
CDM 95 CCM 48
CDM 73 CCM 63
CDM 86 CCM 65
CDM 90 CCM 80
CDM 115 CCM 79
CDM 104 CCM 78
CDM 31 CCM 40

CUF sijaiweka maana ni uchafu,kura kama unahesabu ngamia tanzania
.
hahahhahhahhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaambavu zangu
mie saint
 
we mimi njombe naifahamu,wale watu wa pale sio kabisa,kwanza wanautajiri wa ushirikina,unategemea wanaakili hao? Angalia mbunge mmoja wapo wa jimbo la njombe jah people hana shule kabisa,sasa njombe kuna watu pale?
sehemu gani mkuu ambayo utajiri wao hautegemei ushirikina? hamna, tena hamna kabisaaa.....,uchawi si lazima
uroge au uue,hata kutumia eti pete zenye mawe ya bahati,huo pia ni uchawi.labda kama huna exposure ya kutosha.
 
man to man na CCM hamuwawezi hao Mkapa alitumwa kwa makusudi huko.
 
mkuu matokeo ya baada ya uchakachuzi yameshatoka au bado..
 
Haya matokeo yametoka ya kata zote au bado hapaeleweki...
 
Haya, ninachokiona hapa matokeo katika vituo kadhaa vya mjini Igunga yanaonyesha CHADEMA inaongoza na hali ni shwari sasa ila viongozi wengi wa CCM wameondoka hapa mjini igunga kila ukupita mitaani sasa ni CHADEMA mwendo mdundo. Mjini ndio kuna wapiga kura wengi hapa Igunga.

CCM wamekimbia mji hoteli waliyofikia vigogo ipo kimya. Kwa sasa nasubiri vituo vya vijijini.


Other updates:

06:00 PM Misururu ya vijana imeonekana mida ya jionijioni, yawezekana idadi ya waliopiga kura ikaongezeka.
\
Kuondoka kwao sio dalili njema hii inaashiria ya kua wanajiaanda kuchakachua matokeo kwa vile wanaogopa mwisho na reaction ya wapiga kura kuogopa mkong/oto wameukimbia mjii.MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom