Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,021
- 132,763
CCM ikishaanza kuongoza kabla giza halijakolea, saa hizi giza limeishakolea, then waneshamaliza kazi rasmi, kesho asubuhi subirini tuu matokeo.Mkuu kura kwa jumla ni hizi hapa ila kwa mjibu wa sheria za uchaguzi kura zote zikitoka kwenye kituo zinapelekwa moja kwa moja kwa msimamizi mkuu wa uchaguzi kwa ajili ya majumuiosho yote na siyo kuyapeleka kwenye kata ila hapa mtangazaji kasema kayatoa kwenye kata ambavyo siyo labda hayo ni yale feki mkuu matokeo hadi sasa ni CDM 5435,, CCM 6652