Matokeo ya uchaguzi Ccm chipukizi: Mtoto wa msanii Shetta na Mwigulu Nchemba wang'ara

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
Qayllah Nurdin Bilal, ambaye ni mtoto wa msanii wa Bongofleva, Shetta (Hutaniwa wamefanana na Kova), amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa katika Chama cha Mapinduzi (CCM) leo Dodoma.Qayllah amepata kura 303 kati ya kura halali 429 zilizopigwa

GBXxo56W8AEEwKx.jpeg




Isack Mwigulu Nchemba ambaye ni mtoto wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba is ametangazwa kuwa mshindi wa Ujumbe wa Baraza Kuu La UVCCM Taifa

GBx77HjW8AAj6cY.jpeg
 
Qayllah Nurdin Bilal, ambaye ni mtoto wa msanii wa Bongofleva, Shetta (Hutaniwa wamefanana na Kova), amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa katika Chama cha Mapinduzi (CCM) leo Dodoma.Qayllah amepata kura 303 kati ya kura halali 429 zilizopigwa

View attachment 2848650



Isack Mwigulu Nchemba ambaye ni mtoto wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba is ametangazwa kuwa mshindi wa Ujumbe wa Baraza Kuu La UVCCM Taifa

View attachment 2848651

Majizi ya fedha za uma matarajiwa !
 
Maandalizi ya kuja kusema "Tulikipigania chama" miaka 20 ijayo hawa ndio watakuwa wakuu wa wilaya na mawaziri wakati baba zao ni baraza la wazee wa CCM. Siasa chini ya CCM inalipa sana. Wakati raia wanateseka na ajira hawa watoto washaandaliwa ajira hapo kupitia siasa.
CCM kutolewa madarakani ni kazi sana mkuu, jamaa wana mipango miaka 30 mbeleni.
 
Qayllah Nurdin Bilal, ambaye ni mtoto wa msanii wa Bongofleva, Shetta (Hutaniwa wamefanana na Kova), amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa katika Chama cha Mapinduzi (CCM) leo Dodoma.Qayllah amepata kura 303 kati ya kura halali 429 zilizopigwa

View attachment 2848650



Isack Mwigulu Nchemba ambaye ni mtoto wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba is ametangazwa kuwa mshindi wa Ujumbe wa Baraza Kuu La UVCCM Taifa

View attachment 2848651
Yana mwisho na mwisho wake hauko mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CCM kutolewa madarakani ni kazi sana mkuu, jamaa wana mipango miaka 30 mbeleni.
CCM Watolewe madarakani na nani?, au CCM itoke halafu aje nani? kwasababu Tanzania hatuna upinzani makini!. Hiki Chuma kilipoingia tuu, tukawauliza watu humu Je, Kasi ya Magufuli itaua Upinzani Uchwara na Kuimarisha Upinzani Makini? - Prof. Kitila Mkumbo kisha tukawauliza tena Upinzani wa Tanzania ni Upinzani Makini wa Kweli, au ni Upinzani Uchwala?. Kasi ya JPM Itaua Upinzani Uchwala na Kuibua Upinzani Makini wa Kweli Au..? jibu likawa ni Tanzania hatuna upinzani wowote makini na wa maana wa kuing'oa CCM, hivyo tukawaeleza watu ukweli halisi wa kitu kilichopo ni CCM only and only CCM hivyo Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!. kwasababu CCM sio tu ni chama tawala, bali pia ni chama Dola! na kufuatia members wengi humu wamejiunga juzi juzi, angalieni hili la CCM kutawala milele, tumeanza kulizungumza lini Watch TBC Live!. " William Malecela na Ndoto ya CCM Kutawala Miaka 50!. na Wenye Matumaini na Upinzani Kushika Dola! Sahauni! CCM Inajiandaa Kuua Kabisa na Kuuzika Jumla Chuma kilipoingia utekelezaji wa hili ulifanyika The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja watu walikuwa na mategemeo sana na Chadema, tukawaeleza ukweli kuwa Chadema hakuna kitu pale Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?, kama vitu vidogo tuu kama Handling of Serious Security Issues: Kama CHADEMA Takes Things For Granted Kwa Uzembe Hivi!, Jee Ikulu Yetu Wangeiweza?.

Ila pia msikate tamaa kabisa, uchaguzi Mkuu wa 2030 bado kuna fursa Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!
P
 
Qayllah Nurdin Bilal, ambaye ni mtoto wa msanii wa Bongofleva, Shetta (Hutaniwa wamefanana na Kova), amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa katika Chama cha Mapinduzi (CCM) leo Dodoma.Qayllah amepata kura 303 kati ya kura halali 429 zilizopigwa

View attachment 2848650



Isack Mwigulu Nchemba ambaye ni mtoto wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba is ametangazwa kuwa mshindi wa Ujumbe wa Baraza Kuu La UVCCM Taifa

View attachment 2848651
Nzuri sana. Lkn sisi waislam tusisahau kuwasimamia watoto mafunzo ya kiislam ili waweze kujitambua na kujielewa wao ni nani na kwanini wakaumbwa na baada ya kufa nini kitafata. Haya mengine ukifumba jicho tu hakuna tena msaada.
Kitu kizuri kumuachia mtoto ilmu ya dini yake.
LEO NI HAYO. AU NAKOSEA WADAU?
 
Maandalizi ya kuja kusema "Tulikipigania chama" miaka 20 ijayo hawa ndio watakuwa wakuu wa wilaya na mawaziri wakati baba zao ni baraza la wazee wa CCM. Siasa chini ya CCM inalipa sana. Wakati raia wanateseka na ajira hawa watoto washaandaliwa ajira hapo kupitia siasa.
wengine ni kuzurura tu na manung'uniko kibao, huku watoto wao wakila bata ng'ambo, eti bongo jotroo na hakuna maisha wanasahau kua hayo ni maandalizi ya walalamikaji wasiojua chochote baadae
 
Maandalizi ya kuja kusema "Tulikipigania chama" miaka 20 ijayo hawa ndio watakuwa wakuu wa wilaya na mawaziri wakati baba zao ni baraza la wazee wa CCM. Siasa chini ya CCM inalipa sana. Wakati raia wanateseka na ajira hawa watoto washaandaliwa ajira hapo kupitia siasa.
Hiki kizazi kinachokuja ni tofauti na chetu mkuu.

Jamaa wanajiamini na wanauliza almost kila jambo, hawatakubali kuburuzwa.

Haya unayoyaona sasa yataishia kizazi hiki ila trust me huo ujinga hautakuwepo huko mbeleni.
 
Back
Top Bottom