sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Qayllah Nurdin Bilal, ambaye ni mtoto wa msanii wa Bongofleva, Shetta (Hutaniwa wamefanana na Kova), amechaguliwa kwa kishindo kuwa Mwenyekiti wa Chipukizi Taifa katika Chama cha Mapinduzi (CCM) leo Dodoma.Qayllah amepata kura 303 kati ya kura halali 429 zilizopigwa
Isack Mwigulu Nchemba ambaye ni mtoto wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba is ametangazwa kuwa mshindi wa Ujumbe wa Baraza Kuu La UVCCM Taifa
Isack Mwigulu Nchemba ambaye ni mtoto wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Nchemba is ametangazwa kuwa mshindi wa Ujumbe wa Baraza Kuu La UVCCM Taifa