babu M
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 5,222
- 3,176
Unaongelea marehemu Nyaga?Mawalla kijana wake anaendeleza vyema legacy,kwan ni advocate
Halafu kijana mstaarabu sana ukimwona huwez dhania anasimamia mamilion ya shillingi
Unaongelea marehemu Nyaga?Mawalla kijana wake anaendeleza vyema legacy,kwan ni advocate
Halafu kijana mstaarabu sana ukimwona huwez dhania anasimamia mamilion ya shillingi
Mzee maleko alikuwa na mtoto wa kike mzuri sana..utasema kachorwa!Ngoja niendeleze list kidogo,
Temba watch
Solani & sons
Boisafi
Deo Lekule
Ibra Shayo
Maleko enterprises
Marenga investment
Machare
Umenikumbusha Emmanuel Kisinane; alifanya biashara ya ku export kahawa na baadae kufungua kiwanda cha kahawa na bia. Alikwea sana pipa wakati ilikuwa kwenda mamtoni ilikuwa issue, lazima unakwenda kufanya sherehe kijijini na familia nzima na majirani wanakusindikiza airport!Kisinane - shanti town hiyo!
Huyu enzi za uhai wake alikuwa akiingia baa Kesho yake inakuwa gumzo siku nzima!Daaa uyuu mzee aseee,mzee kibo breweries enzi hizo
Waliusikaje?Pesa ya alishabab yeye na mawalla wa Aratuga ziliwatokea puani
Kama ni ile ya kushoto kama unakwenda Rau ni ilikuwa ya Mwacha aliyekuwa na bakery ya mikate.Pale njia panda ya Chuo cha Ushirika,CCP na Shanti opposite na Shule ya JK Nyerere?Mimi sizungumzii Mimi nazungumzia njia ya Rau ukitokea YMCA kupitia Keys Hotel na St Mary Goreth
Na alijenga lile jengo la Kahawa, tanki la maji la chuo cha ushirika na kama sikakosea uwanja wa chuo cha ushirika na baadhi ya bara bara za lami. Hayo yote kwenye miaka 80/90. Huyu tungetakiwa tumwone sasa hivi akiwa kwenye project kubwa...lakini sijui na yeye alikosea wapi!Khambaita alikuwa Mwindi. Alikuwa na Kampuni kubwa ya ujenzi wakati ule. Alijenga barabara na majengo pia. Alitoa mpaka ajira kwa watu kibao.
Umenikumbusha mbali 504 nyekundu. Halafu sijui Volkswagen Golf ndio iliyoshinda.Nakumbuka alipoingia na Jeep, ila walipopata ajali, ni ile waliyoingia na ile 504 nyekundu waliyokuwa wameisuka. Kama sikosei ilikuwa ya mzee Mosoi
Mkuu inaonesha Moshi unaijua sio kidogo,tokea enzi za akina Njiwa hardwareUmenikumbusha mbali 504 nyekundu. Halafu sijui Volkswagen Golf ndio iliyoshinda.
Mkuu wewe ni kama cyclopedia..ubarikiwe!
Mimi Moshi naifahamu kiasi lakini niliipenda sana.Mkuu inaonesha Moshi unaijua sio kidogo,tokea enzi za akina Njiwa hardware
Huyu kivyake vyake enzi hizo. Halikuwa sio mtu wa kujichanganya kwenye mabaa. Ulevi wake ulikuwa wanawake na anawaganda kama kupe!Anaishi Sowote hivi sasa. Yuko vizuri ofcourse kuna miaka nyuma kati aliyumba sana hadi mke akamkimbia. Sasa hivi kampuni yake ya ujenzi iko vizuri sana, pia ana kiwanda cha kutengeneza chokaa. Mtaa anaokaa Soweto wote lami hadi getini.
Hafadhali hata huyu wa sasa hivi anaonyesha wazi wazi lakini yule aliyepita naye aliwabana sana kisiri siri na bado alikuwa bado anawachekea.Uko sahihi, nawashangaa sana wale wanaosema Moshi iko vilevile. Hata sijui wanachomaanisha. Hata mimi nimekuta huge difference. Hilo la machalii kuwa impacted linafahamika, na pia nadhani ni issue ya nchi nzima kwa ujumla, sema uchaggani wanabanwa Zaidi.Tena ukizingatia na huyu mkulu wa sasa anasema wasubiri maendeleo kwasababu eti "walishaendelea"?
Atakuwa anaongelea Yule demu wake alikuwa anaitwa Helen(sina huhakika na jina) alikuwa na rangi ya mtume!Charles?
Madame umeolewa?Nope niko kama Nancy sumari ama flaviana matata kimuonekano
Very humble polite and all
Sema mavitabu nilosoma mayb
Halafu mmezoea wanawake au wasichana wengi kama kina wema sepetu au jackline wolper,ubongo makamas
Very primitive way of thinking
Kweli mkuu moshi nyakati hizi imepoa sana, sijui miaka kumi ijayo itakuwaje.Mimi Moshi naifahamu kiasi lakini niliipenda sana.
SAsa hivi ni ipo kimya sana.
Halafu uongozi wa awamu Iliyopita waliimaliza kabisa na huyu ndio kama anapigilia the final nail in the coffin!
Ulomi ni wa miaka zaidi ya 40.Riz 1 ana hisa tuu pale panone ni ya ulomi ni jamaa fulani hivi hata miaka40 bado ila matusi yake balaaa
Hahahah safi
Wengine wamekimbia uzi wanaogopa kutafutwa
Jamen hii ni history kwasasa sijui manake nina muda toka nitoke mo town
Huyu machare ni yule wa morogoro mjini ama?Ngoja niendeleze list kidogo,
Temba watch
Solani & sons
Boisafi
Deo Lekule
Ibra Shayo
Maleko enterprises
Marenga investment
Machare
Huyo dogo..Mawalla advocate sio ndio alifariki mwaka juzi huko nairobi?