Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,395
- 13,266
Kwa hiyo ni bora kuwa kama Chenge aka joka la makengezaukitegemea pesa halali wewe kutoboa ni ndoto hii naisema kila siku, ukijifanya sijui fanya kaza sana utachoka tu bure
Kwa hiyo ni bora kuwa kama Chenge aka joka la makengezaukitegemea pesa halali wewe kutoboa ni ndoto hii naisema kila siku, ukijifanya sijui fanya kaza sana utachoka tu bure
Yaani kama 'warumu' pale ndio Makao yao.
Ulomi hali yake ya kibiashara ni tete sana sasa hivi.Riz 1 ana hisa tuu pale panone ni ya ulomi ni jamaa fulani hivi hata miaka40 bado ila matusi yake balaaa
BM ni ya nani?
Asee huyu aliyetokewa najua anapoishi ni 1km na nyumban kwetu kibosho panaitwa kwa DaudiPapa Alifikia uwanja wa Memorial unaambiwa ulijaa sana watu wakitaka kumuona
Mtazamo wangu tutawaona wengi sana biashara zao zikiyumba. Huu ni muendelezo wa mikakati ya awamu iliyopita. Lakini awa wa sasa hivi hawapo patient na wameamua kufanya wazi wazi.Ulomi hali yake ya kibiashara ni tete sana sasa hivi.
Aseee nilpata taarifa asee kirama, sumari wameshafariki. Munisi anasukari kumbe daahMunicy nadhan amestaafu,anasumbuliwa na sukari sana
Babu wa bialojia mwl Kirama alishafariki amezikwa pale kwake Kombo
Umeongea kweli cathbert swai mmliki wa ahsante tours wamemchukulia acre 14 kimashuku aliyefanya hivo ni DC wa hai sabayaMtazamo wangu tutawaona wengi sana biashara zao zikiyumba. Huu ni muendelezo wa mikakati ya awamu iliyopita. Lakini awa wa sasa hivi hawapo patient na wameamua kufanya wazi wazi.
Ulimsikia juzi Cathebert Swai juzi akilia lia. Halafu nilisoma Yule Mama mkubwa hapo Moshi baada ya kufungua kikao akasepa. Hii inaonyesha anajua aliyofanyiwa ni uonevu lakini hana nguvu ya kumfanya chochote.
Week iliyopita Macha naye kanyanganywa Gorofa lake hapa Dar. Mke wa malalamikaji mpaka katoa ushahidi mahakamani against Mume wake . Kadai mumewe alikopa pesa nyingi kwa mlalamikiwa na hatimaye kumuuzia ghorofa Macha. Sijui walitaka ushahidi gani zaidi?!
Wanajua Kaskazini inapata kipato kizuri kwenye utalii. Wameanzisha mkakati wa mbuga nyingine kwao wakiamini itaimaliza Kaskazinj...ni mission impossible.
I’m really confused kwasababu kuna wanayofanya awamu hii ambayo Nina unga mkono lakini wanayofanya dhidi ya Kaskazini sio mazuri!!
Kudeda nichaa kikihoso kuhiyoo mbarimu hahahaOdee Che warumu n Warimu tena Mbarimu Kuchuu
Mtazamo wangu tutawaona wengi sana biashara zao zikiyumba. Huu ni muendelezo wa mikakati ya awamu iliyopita. Lakini awa wa sasa hivi hawapo patient na wameamua kufanya wazi wazi.
Ulimsikia juzi Cathebert Swai juzi akilia lia. Halafu nilisoma Yule Mama mkubwa hapo Moshi baada ya kufungua kikao akasepa. Hii inaonyesha anajua aliyofanyiwa ni uonevu lakini hana nguvu ya kumfanya chochote.
Week iliyopita Macha naye kanyanganywa Gorofa lake hapa Dar. Mke wa malalamikaji mpaka katoa ushahidi mahakamani against Mume wake . Kadai mumewe alikopa pesa nyingi kwa mlalamikiwa na hatimaye kumuuzia ghorofa Macha. Sijui walitaka ushahidi gani zaidi?!
Wanajua Kaskazini inapata kipato kizuri kwenye utalii. Wameanzisha mkakati wa mbuga nyingine kwao wakiamini itaimaliza Kaskazinj...ni mission impossible.
I’m really confused kwasababu kuna wanayofanya awamu hii ambayo Nina unga mkono lakini wanayofanya dhidi ya Kaskazini sio mazuri!!
Wakinga ndo kiboko ya Wachaga KariakooSiku hizi wakibosho ndio wameinuka kwa kasi sana kwa ukwasi wa kwenda nje kuleta bidhaa.
Wamachame wizi hadi leo ndio kupau mbele chao.
warombo wao wanakimbia na biashara ya baa na nyama choma!
Amna kitu sisi ni maborn town kitambooWakinga ndo kiboko ya Wachaga Kariakoo
Ni kweli kama matajiri wengi wa Arusha walianzia Moshi.Kweli mkuu moshi nyakati hizi imepoa sana, sijui miaka kumi ijayo itakuwaje.
Mi nakumbuka matajiri walikuwa wanawika moshi mjini na vijijini pia. Pia hawa wanaonekana leo huku mikoa mingine walianzia moshi.
Mambo yao kwasasa sio mazuri sana , wanarandaranda mtaani tu , na magari yao ya zamani LEYLAND MASTER OLD MODEL
Ni kweli alitokewa na Bikira?Asee huyu aliyetokewa najua anapoishi ni 1km na nyumban kwetu kibosho panaitwa kwa Daudi
Endelea kuiunga mkono.Mtazamo wangu tutawaona wengi sana biashara zao zikiyumba. Huu ni muendelezo wa mikakati ya awamu iliyopita. Lakini awa wa sasa hivi hawapo patient na wameamua kufanya wazi wazi.
Ulimsikia juzi Cathebert Swai juzi akilia lia. Halafu nilisoma Yule Mama mkubwa hapo Moshi baada ya kufungua kikao akasepa. Hii inaonyesha anajua aliyofanyiwa ni uonevu lakini hana nguvu ya kumfanya chochote.
Week iliyopita Macha naye kanyanganywa Gorofa lake hapa Dar. Mke wa malalamikaji mpaka katoa ushahidi mahakamani against Mume wake . Kadai mumewe alikopa pesa nyingi kwa mlalamikiwa na hatimaye kumuuzia ghorofa Macha. Sijui walitaka ushahidi gani zaidi?!
Wanajua Kaskazini inapata kipato kizuri kwenye utalii. Wameanzisha mkakati wa mbuga nyingine kwao wakiamini itaimaliza Kaskazinj...ni mission impossible.
I’m really confused kwasababu kuna wanayofanya awamu hii ambayo Nina unga mkono lakini wanayofanya dhidi ya Kaskazini sio mazuri!!
Mungu yupo aseee.Ni kweli alitokewa na Bikira?
Umeongea kweli cathbert swai mmliki wa ahsante tours wamemchukulia acre 14 kimashuku aliyefanya hivo ni DC wa hai sabaya