Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

HUWEZI KUWA TAJIRI KWENYE NCHI MA$IKINI.
kuna mzee mmoja mjasiriamali hapa bongo ni tajiri kupindukia kwa sasa ana miaka (75-80)anaheshimika sana ni mtu wa DINI tena sana, miaka ya 70 katikati alikamatwa kwa uwindaji haramu wa pembe za NDOVU akafikishwa kwa, Ticha, akamuuliza; wewe kijana ni yatima na unajinasibu kama mjasiriamali, kwanini unatia AIBU hii familia yako!? baba yako hakuwa hivi, bali mzalendo sana kwa nchi na taifa lake.mshua akamsamehe, lakini 60% ukwasi wake imetokana na DEAL HARAMU, na sasa anakubalika na kupendwa HA$WA, kwakua amejificha kwenye DINI.
Nakuelewa mkuu
 
Na mimi huu uzi niliupitia sk za nyuma nimeuridia tena. Kilichonifurahisha zaidi ni watu walivyomkumbuka yule mhindi aliekuwa anavaa kaptura duka la juisi pale opposite NMB!!
Shirazi , ukienda anakuuliza , "unataka kubaaa dogoo? Ukisema dogoo anairusha juu anafungua alafu anapiga mruzi anajifanya imetoa gesi.
Sasa hivi wanajenga ghorofa mwaka wa 10 haliishi tu.
Alikuwa anauza tambuu na kuberi.
 
Back
Top Bottom