The iron batterfly
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 1,952
- 2,527
- Thread starter
- #21
Huyo ni exceptionBakhressa kweli alikuwa anashona viatu!!!!
That's y nimetolea mfano hai wa mo town
Huyo ni exceptionBakhressa kweli alikuwa anashona viatu!!!!
Uyu don alikua akisali parokia ya karanga,mazishi ya Mzee wake ilikua ni hatari apo moshi foleni kuanzia kanisani mpaka nyumbani kwakeBabuu Sambeke
Mji ulizizimaUyu don alikua akisali parokia ya karanga,mazishi ya Mzee wake ilikua ni hatari apo moshi foleni kuanzia kanisani mpaka nyumbani kwake
utakufa maskini wwHapana tulikuwa tunaamin katika Mungu na kufanya kazi kwa bidii,kumbe wenzetu wanasali huku wanaweka jitihada binafsi za halamu
Vicent RemoiBabuu Sambeke
Hahaha na walikua vizuri kwenye kutoa michango ya kanisa lakiniMji ulizizima
Hawa jamaa ilikuwa kitu cha kawaida kuona paroko anawatembelea nyumban
Pesa hii! !!
Hahah sana tuHahaha na walikua vizuri kwenye kutoa michango ya kanisa lakini
Mji ulizizima
Hawa jamaa ilikuwa kitu cha kawaida kuona paroko anawatembelea nyumban
Pesa hii! !!

We mie sio bwashee banaaaiiseee.! Sasa bwashee na ww umesha make mkwanja wa kutosha kama wa hao ma Don wa ZAMANI.??
au ndio unazidi kuwaharibia kwa Mzee Magu.?![]()
We mie sio bwashee bana
Hamna siwaharibii wala nn
Hawa watu ni rafiki zangu sana toka utoton
Walinifunza kufight na kujivunia chako hivo tu
Hahahah hata ukinimockbasi sawa..Bwashee
Ngoja niendeleze list kidogo,lucas Tarimo
Vïcent lasway
mawalla
Mberesero
mremi wa dar exp
Bosco Chuwa
Panjwani.
Hari singh
Rajinder
Mchuku wa Mangi.
Hahahah safiNgoja niendeleze list kidogo,
Temba watch
Solani & sons
Boisafi
Deo Lekule
Ibra Shayo
Maleko enterprises
Marenga investment
Machare
Siku kama mbili hivi nilisikia masela wakimzungumzia enzi zake.Babuu Sambeke
umekumbuka piki piki lake enzi zile wakati linavuka namangaBabuu Sambeke
Hahahha acha waogope tu, honestly Moshi nimepamiss sana,plan zangu ni kurudi kuishi MoshiHahahah safi
Wengine wamekimbia uzi wanaogopa kutafutwa
Jamen hii ni history kwasasa sijui manake nina muda toka nitoke mo town
Hahahah hata ukinimock
Nimeishi huko nimesoma vizuri tu
Na kazi nimepata nzuri tu, Mungu ni mwema
Lamuhimu uwe bwashee ama nani kama zimo utatoboa tu
Maisha ni kupanga
Nimejenga, nina plots kibao huko kwenu na dsm,haohao wananipa michongo mingi huku Dsm,mimi bwashee kwani niliamua kuwafanya rafiki nifikie malengo yangu
Peace and love
Usihofu, Babuu ndege yake ilipata ajali ikapiga chini, kama ilichezewa kabla ya, au ni ajali kama zingine sisi hatujui!Sky usije niletea matatizo mwenzio hahah
Mie sijataja majina
Nomekumbuka tu enzi nakuwa tulivyokuwa tunachapwa bakora mweeehh