Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Yap lile ni ghofu but ndani lina facilities zote na za thamani lakini halali mtu. Kuna kipindi walijaribu kuwafuata Chuo cha Ushirika ili iwe kama Hostel,wanafunzi walipolala hakukulalika kabisa.
Nimesoma Moshi Primary kipindi hicho. Tunaenda kuokota Makungu pale nje ya Fensi. Ukicgungulia ndani ya Fensi huoni mtu zaidi ya mkata nyasi tena kwa kutumia mashine kipindi hicho tunashangaa na kujiuliza labda wanaishi wazungu. Maana hatukuwa kuona mazingira ya kuishi watu. Kumbe balaa lake ndiyo hilo? Ahsante Mkuu.
 
Kuna Machame Safari na Machame Investment. Yule wa Machame Safari anaitwa somebody Mengi na anaishi Moshi,huyo wa Machame Investment jina lake limenitoka but anaishi Kondoa.
Machame investment km sikosei ukoo wake ni Kweka.Machame safari huwa nikikosa Kilimanjaro bus,napanda hzo maana wanahuduma nzuri Sana tho sikujua km uyo ndio muhusika.
 
Nimesoma Moshi Primary kipindi hicho. Tunaenda kuokota Makungu pale nje ya Fensi. Ukicgungulia ndani ya Fensi huoni mtu zaidi ya mkata nyasi tena kwa kutumia mashine kipindi hicho tunashangaa na kujiuliza labda wanaishi wazungu. Maana hatukuwa kuona mazingira ya kuishi watu. Kumbe balaa lake ndiyo hilo? Ahsante Mkuu.
Yaani kama 'warumu' pale ndio Makao yao.
 
Hivi jonh lekule wa majengo yupo wapi sk hizi?
Mambo ya magari yanayopotea nairobi na kuonekana moshi...!


hao jamaa walikomolewa na wanafunzi wa shule nzima...baada ya NDUGU yao kukabaka kadenti kenzao...

Na tangia kipindi hicho,jamaa wamefifia.

John ukimwona ni mpolee..yaani hata mnyama Kobe hamfikiii...ila ni hataree weka mbali na magari
 
Huwa napita mara chache kama transit nikiwa na safari zangu naiona Moshi imebadilika

Japo mji umekua lakini ule uchangamfu wake wa miaka ile haupo tena

Yaelekea mzunguko wa pesa pia ni mgumu. Baadhi ya machalii angu wa huko wamechoka na maisha yamewapiga hasa

Wengi wa wanaofanya vizuri ni wale waliotoka nje ya mji huo na kutafiuta maisha kwengine

Unajua Moshi watu waliamka longtime na fursa nyingi za biashara kwa pale mjini zipo saturated. Watu walishawahi almost everything
Uko sahihi, nawashangaa sana wale wanaosema Moshi iko vilevile. Hata sijui wanachomaanisha. Hata mimi nimekuta huge difference. Hilo la machalii kuwa impacted linafahamika, na pia nadhani ni issue ya nchi nzima kwa ujumla, sema uchaggani wanabanwa Zaidi.Tena ukizingatia na huyu mkulu wa sasa anasema wasubiri maendeleo kwasababu eti "walishaendelea"?
 
Back
Top Bottom