Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

kumbe mchuchu fighter..

aina ya uandishi wako,imeniingiza chaka Madame.

Najaribu Ku imagine jinsi ulivyo strong woman...sipati picha aidha unafanana na Queen Darleen au Sister Fey ama Zari wa Chibu.?
Nope niko kama Nancy sumari ama flaviana matata kimuonekano
Very humble polite and all
Sema mavitabu nilosoma mayb
Halafu mmezoea wanawake au wasichana wengi kama kina wema sepetu au jackline wolper,ubongo makamas
Very primitive way of thinking
 
Nope niko kama Nancy sumari ama flaviana matata kimuonekano
Very humble polite and all
Sema mavitabu nilosoma mayb
Halafu mmezoea wanawake au wasichana wengi kama kina wema sepetu au jackline wolper,ubongo makamas
Very primitive way of thinking

..very humble,polite and all.

makamasi yamekujaje tena
Huna handkerchief.!?
 
Nimesema mmezoea wasichana wenye akil mbovu kama kina wema aka makamas
Avumaye baharin papa na wengine wapo
Tuko wanawake kibao smart tulikwenda shule na tunapiga kazi vibaya mno

Ngoja team wema watakujibu..

BTW unaonyesha uko quality,unajiamini na ni high classic..

nipe nafasi ya kuwa na mazoea na wewe The iron batterfly...

Yours Truthfulness
 
Long time sana.
Umenikumbusha na ghulam bus



Naam alwatani. Watoto hawajaweza jenga heshima aliyoacha mzee.
Na umenikumbusha kwa Kipanga mkuu

Ghulam walikuwa na gereji yao pale kama Msaranga hivi sijui KDC sipaelewi vizuri ingawa walikuwa rafiki zangu sana. Wale hawakuwa matajiri kiviile ila yale mabasi yao wakati huo yaliwapa jina mjini!!
 
Mitaa yangu hiyo ya kipindi hicho cha utoto kuna yule mwarabu alikuwa na Islam garage tena
Yea.
Alikuwa na watoto wa kiume wakipenda sana kutembelea jip flani hivi jeusi.
Nafikiri around 2001.
 
Ghulam walikuwa na gereji yao pale kama Msaranga hivi sijui KDC sipaelewi vizuri ingawa walikuwa rafiki zangu sana. Wale hawakuwa matajiri kiviile ila yale mabasi yao wakati huo yaliwapa jina mjini!!
Kwa wakati ule unawaweka.
 
Kuna chali yangu tumesoma wote secondary mwanza,baadae alipomaliza shule akaingia kwenye mgodi wa tanzanite,imepita miaka 3 juzijuzi nikapewa taarifa kuwa alipewa chakula cha sumu na wenzake wawili ,wote wakafariki,daa dogo sijui kilimpata kitu gani?
 
Back
Top Bottom