Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Matajiri wa Moshi miaka ya 90 hadi 2000's

Huyu jamaa ni R. Sawaya!! Ana garage yake kitambo sana majengo kama unaenda kwa Mtei pale, enzi hizooo hakuna english medium

Alianza na vicosta vya kwenda Rombo na Marangu enzi hizooo viliitwa Neema!!

Baadae akaadvance akaanza na basi kubwa kutoka mkoa hadi mkoa akabadili jina zikaitwa Sawaya ambalo ni jina lake la ukoo!!

Basi la Sawaya miaka ya 90 lilipata ajali kubwa sana likau watu wengi na kabla ya hapo alikuwa na viajali vidogo vidogo so baada ya hiyo ajali kubwa akabadili jina akaita Kilimanjaro zilikuwa na rangi ya Kijani mgomba na nyuma alipaka kama nyeusi hivi zilitalakaa sana mpaka Mbeya, Singida zilifika!!

Baadae akayauza yote hasa baada ya kupata kashfa ya wizi wa matairi, akaja na mfumo huu wa basi chache mpya na Luxury!! Ambao kwa namna moja au nyingi amepiga bao la hatariii
Ndio huyu mwenye mabasi ya kilimanjaro hadi sasa?
 
Matajiri wengi wa kichagga siwatilii maanani kwani utajiri wao unapatikana kwa njia za hajabu sana hata nduguze Mshana Jr (wapare) na ni tata mno, bila umwagaji damu na matunguli biashara haifanyiki. Nawapotezea tu.
Siyo wote, maneno ya wakosaji. Mbona kuna ambao wanauwa Albinos lakini wapi? Piga uwa kuna kufanya kazi kwa bidii. Maana ingekuwa hiyo ndo issue, sehemu zenye umaarufu kwa uchawi kama Sumbawanga na huko Shinyanga ndo wangekuwa matajiri wakubwa kabisa.
 
Tungekuwa tunaelewa tungewalea hawa Madon na kuwa 'role models' wetu kiaina kwa kuwaambia wachague biashara halali za kifanya sababu tayari wana mitaji badala ya kuwaua. Walikuwa na akili nyingi sana. Kutoboa sio mchezo. Sometimes napenda uhalifu na wahalifu wenye akili.
 
Siyo wote, maneno ya wakosaji. Mbona kuna ambao wanauwa Albinos lakini wapi? Piga uwa kuna kufanya kazi kwa bidii. Maana ingekuwa hiyo ndo issue, sehemu zenye umaarufu kwa uchawi kama Sumbawanga na huko Shinyanga ndo wangekuwa matajiri wakubwa kabisa.


Ni kweli si wote ila asilimia kubwa yao ni kama hivyo, watata sana.
 
Hivi jonh lekule wa majengo yupo wapi sk hizi?
Mambo ya magari yanayopotea nairobi na kuonekana moshi...!
Alikua partner na sawaya enzi ya zile kilimanjaro bas za kijani

Walipopiga tairi nadhan kila mtu akala kona yake
Mzee Lekule alikua na mabasi enzi hizo

Mwanae mpole ni kinura,John na marehemu Deo walikua mawe hasa
 
usingetaja jina ingependeza na umekosea sana kumtaja Mzigua90 huyu ananogesha tu jukwaa but yuko njema sana, kuna wapo wachache sana wanafanya vizuri, lakini wale wanaojifanya makungwi wengi wao ni zero brain kwenye ulimwengu wa uchumi, zaidi ya kupanua mapaja ili wapate za kusugulia kucha na kujirusha.
wanatembea na maduka yao..wao wanasema
Nimemshangaa kweli kuniweka kwenye mfano wake. Anyway hata nikiongelea mapenzi na yeye akiongelea anachokijua kupanga ni kuchagua.
 
Kawaida mbona because am smart
Mie naandika na kupresent maripot daily huku serikalin
So huwez kuta naandika kama kina nanihii
Nimepikwa nikapikika
Halafu mmezoea watu smart ni me tu
So pathetic
Nimeandika vitabu 5 hadi nagraduate
So it's normal
I know kujipresent
Siandikagi sentensi zenye xoxo kama kina f f f f
Nimesema nilijua we ni Me wala hamna sehemu nimesema we ni smart ndo maana nikakufananisha mwandiko wako na mwanaume.
Mbona wanaume kibao huku wanaandika mashudu?
 
Nimemshangaa kweli kuniweka kwenye mfano wake. Anyway hata nikiongelea mapenzi na yeye akiongelea anachokijua kupanga ni kuchagua.
mimi huwa nakuelewa sana, nafikiri ni wachache mno wanakuelewa kwa kiwango changu.
msamehe ameteleza rafiki yangu
 
Nimesema nilijua we ni Me wala hamna sehemu nimesema we ni smart ndo maana nikakufananisha mwandiko wako na mwanaume.
Mbona wanaume kibao huku wanaandika mashudu?

kipenzi potezea mpendwa
 
Labda ya yule mzee Mwacha? Yule mzee aliyekuwa na watoto wake kina Ben Mwacha the late.
Hapana si huyo,lile ghorofa nilisikia ni la Mkibosho fulani hivi jina limenitoka kidogo alianza Ujenzi baada ya hatua fulani alashindwa kulimalizia so akamtafuta Mwarabu fulani wakaingia nae mkataba kuwa alimalizie then afungue hotel wapeane miaka Mwarabu wa kulitumia baada ya hapo Mkibosho achukue chake.

Sasa lilipoisha tuu Mkibosho akamgeuzia kibao Mwarabu kuwa hawana mkataba wowote, Mwarabu hapa alizidiwa sababu jamaa alishakamata vyombo vyote vya Dola wakati ule RPC Kilimanjaro ni Chiko. Mwarabu akaaga kuwa anaenda kwao na harudi tena Tanzania lakini cha Moto atakiona. Kweli Mwarabu akaondoka zake, kuanzia pale ikawa halali mtu mule ndani kuanzia Mmiliki wala wageni na pia jamaa hamkuwahi kupata usingizi kwa miaka kazaa mpaka anakufa.
 
Back
Top Bottom